Mac Bully 001
JF-Expert Member
- Jun 26, 2012
- 6,537
- 13,004
Nitajie huyo m'bongo mmoja anayepata hayo mabilioni ya pesa kwa kuuza parachichi akiwa peke yake!🤣🤣🤣Yaani hela ya jumla .itafananisha na hela anazopata MTU mmoja mmoja?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nitajie huyo m'bongo mmoja anayepata hayo mabilioni ya pesa kwa kuuza parachichi akiwa peke yake!🤣🤣🤣Yaani hela ya jumla .itafananisha na hela anazopata MTU mmoja mmoja?
Nitajie huyo m'bongo mmoja anayepata hayo mabilioni ya pesa kwa kuuza parachichi akiwa peke yake![emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Jombaa ulitaka kuwajua wakulima ambao ni matajiri wa mapachichi nchini Kenya. Nilishatupia majina yao na 'experiences' zao hapo juu. Ndio hawa tena. [emoji1] Finance graduate making up to Sh70,000 in three days from avocado farming and supplyHayo muulize ndugu yako.aliyesema mkulima wa parachichi anapewa pesa ndefu.
Mzee unapiga kelele biashara ya ksh4b tu kweli?. Mzee biashara ya parachichi bado hatujatoa ripoti yetu. Mnakimbiana humu.Jombaa ulitaka kuwajua wakulima ambao ni matajiri wa mapachichi nchini Kenya. Nilishatupia majina yao na 'experiences' zao hapo juu. Ndio hawa tena. [emoji1] Finance graduate making up to Sh70,000 in three days from avocado farming and supply
![]()
Former Teacher Earning Millions from Hass Avocado Farming in Tetu Nyeri - Oxfarm
In this life, one has to plan for his future after retirement. Mr Kabue has made a good life out of Hass avocado farming.oxfarm.co.ke
![]()
Home - FarmBiz Africa
Editors Pick Smart farms Editors Pick Tools Editors Pick Yields Editors Pick Marketfarmbizafrica.com
KES 4.26 BILLION ya exports za zao moja tu la parachichi kwa miezi mitatu jombaa. Ongezeko la 93% ukilinganisha na exports za muda kama huo mwaka uliopita. Itabidi utie bidii, hilo povu halijatosha ongeza na matusi juu yake tafadhali.Hili nalo la kuanzishue thread!? Nadhani siku zijazo mtatuletea taarifa ya mama Ngina ameenda chooni!?
Kwani kuna mtu ambaye anangoja ripoti yenu? Mwaka uliopita hamkufikia hata 10% tu ya mauzo ya Kenya kwenye export ya maparachichi achia mbali uzalishaji wa zao hilo.Mzee unapiga kelele biashara ya ksh4b tu kweli?. Mzee biashara ya parachichi bado hatujatoa ripoti yetu. Mnakimbiana humu.
Mzee zao gani jingine mnategemea ku export!? Hiyo Ksh4B ni hela ndogo sana kwenye nchi yenu maskini.KES 4.26 BILLION ya exports za zao moja tu la parachichi kwa miezi mitatu jombaa. Ongezeko la 93% ukilinganisha na exports za muda kama huo mwaka uliopita. Itabidi utie bidii, hilo povu halijatosha ongeza na matusi juu yake tafadhali.
Una uhakika na hiki unachoongea!? Mimi sipendi tabia za kuongea vitu hewani hewani. Weka ushahidi wa hiki unachokiongea.Kwani kuna mtu ambaye anangoja ripoti yenu? Mwaka uliopita hamkufikia hata 10% tu ya mauzo ya Kenya kwenye export ya maparachichi achia mbali uzalishaji wa zao hilo.
Mzee usipende kuongea vitu bila hata evidence. Jiepushe sana na mambo hayo.Kwani kuna mtu ambaye anangoja ripoti yenu? Mwaka uliopita hamkufikia hata 10% tu ya mauzo ya Kenya kwenye export ya maparachichi achia mbali uzalishaji wa zao hilo.
Jombaa ulitaka kuwajua wakulima ambao ni matajiri wa mapachichi nchini Kenya. Nilishatupia majina yao na 'experiences' zao hapo juu. Ndio hawa tena. [emoji1] Finance graduate making up to Sh70,000 in three days from avocado farming and supply
![]()
Former Teacher Earning Millions from Hass Avocado Farming in Tetu Nyeri - Oxfarm
In this life, one has to plan for his future after retirement. Mr Kabue has made a good life out of Hass avocado farming.oxfarm.co.ke
![]()
Home - FarmBiz Africa
Editors Pick Smart farms Editors Pick Tools Editors Pick Yields Editors Pick Marketfarmbizafrica.com
Ashakutolea mfano tayari, wewe niletee jibu langu hapa! 🤣 🤣 🤣Hayo muulize ndugu yako.aliyesema mkulima wa parachichi anapewa pesa ndefu.
Hehe, 4b Ksh mkiletewa nyinyi wakulima wa Tz si mtahisi raha kweli! 🤣 🤣 🤣 🤣Mzee zao gani jingine mnategemea ku export!? Hiyo Ksh4B ni hela ndogo sana kwenye nchi yenu maskini.
Kwenye hiyo 4b, 60% data zimepikwa.
Exports tu za Kenya za maparachichi kwa mwaka(kufikia Dec 2020) zilikuwa na thamani ya $125Million, sasa hapo bado utabisha kwamba hiyo $12M yenu haijafikia 10% ya exports za Kenya? [emoji1] KENYA: Avocado export prices surge 33% – TFNet – International Tropical Fruits NetworkMzee usipende kuongea vitu bila hata evidence. Jiepushe sana na mambo hayo.
Sasa hivi ni zama za technology.
Sasa $12m ni 10%
View attachment 1767416
Mzee 4b ni sawa na Tsh 40b hizo ni pesa za ndogo kwenye nchi.Hehe, 4b Ksh mkiletewa nyinyi wakulima wa Tz si mtahisi raha kweli! 🤣 🤣 🤣 🤣
Nikuulize, wasema ni kidogo, kwani zilikuwa zigawanywe nchi nzima,au wadaishaje. Wewe hapo wasema ndogo, wakulima wakizipata washaridhika. 😂 😂 😂Mzee 4b ni sawa na Tsh 40b hizo ni pesa za ndogo kwenye nchi.
Hizi hapa takwimu za 2019 kuhusu avocado za Tanzania.
View attachment 1767461
Nimemtolea mifano, yaani zaidi ya moja ya mamilionea wa maparachichi nchini Kenya. Huyo ni sampuli ya watu wa kupuuzwa tu. Hana uwezo wa kung'amua kilichoandikwa kwenye hizo link hata akizifungua kwa bahati mbaya. Hana hoja, hana takwimu ni umbea tu. Ndio maana sasa anauliza hao matajiri wana nyumba ngapi na magari mangapi. [emoji1] Bure kabisa!Ashakutolea mfano tayari, wewe niletee jibu langu hapa! [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787]
Unaweza kuleta taarifa kutoka kwenye official website!? Mzee mambo ya IT Mimi ni mbobezi. Huwezi kuniletea website uchwara.Exports tu za Kenya za maparachichi kwa mwaka(kufikia Dec 2020) zilikuwa na thamani ya $125Million, sasa hapo bado utabisha kwamba hiyo $12M yenu haijafikia 10% ya exports za Kenya?KENYA: Avocado export prices surge 33% – TFNet – International Tropical Fruits Network![]()
Mzee soma thread yako na uangalie contradictions ndio ujue taarifa zenu ni za kutengeneza.Nimemtolea mifano, yaani zaidi ya moja ya mamilionea wa maparachichi nchini Kenya. Huyo ni sampuli ya watu wa kupuuzwa tu. Hana uwezo wa kung'amua kilichoandikwa kwenye hizo link hata akizifungua kwa bahati mbaya. Hana hoja, hana takwimu ni umbea tu. Ndio maana sasa anauliza hao matajiri wana nyumba ngapi na magari mangapi. [emoji1] Bure kabisa!
Sawa tumejua sasa wewe ni mbobezi wa IT,! 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣Unaweza kuleta taarifa kutoka kwenye official website!? Mzee mambo ya IT Mimi ni mbobezi. Huwezi kuniletea website uchwara.
Unaona unavyo ji contradict!?
Umesema:-
The value of Kenya’s avocado exports jumped 93 per cent to Sh4.26 billion in the first quarter of this year.
Do you 93% maana yake!?