Kenya yapiga marufuku uchimbaji wa Tanzanite, zilikuwa zinauzwa kiharamu Tanzania

Kenya yapiga marufuku uchimbaji wa Tanzanite, zilikuwa zinauzwa kiharamu Tanzania

Tanzanite is part of the zoisite mineral species and is only found in East Africa. Discovered in 1967 in the Umba Valley near the Usambara Mts. in Tanzania. Tanzanite may be colourless, yellow-green, brown, or blue to violet when found; the crystals are heat treated to enhance their colour. Colour:Tanzanite is noted for its remarkably strong trichroism, appearing alternately sapphire blue, violet, and sage-green depending on crystal orientation. (Trichroism is the property possessed by certain minerals of exhibiting three different colours when viewed from three different directions under white lights. However, most tanzanite is subjected to artificial heat treatment to improve its colour and this significantly subdues its trichroism.


Hivi kwa nini sisi Watanzania hatuna akili namna hii? Hivi inawezekanaje madini yanayotokana na miamba chini ya ardhi yapatikane sehemu moja tu ya Dunia wakati miamba ni miamba na inapatikana Dunia nzima? Kwanza wala siyo Duniani tu hata huko kwenye Sayari nyingine kama Mars kuna Madini ambayo yako pia hapa Duniani, unaweza kukuta madini yenye sifa na tabia kama Tanzanite huko Sayari ya Mars pia sasa utapinga kuyaita Tanzanite?!
 
Kenya wana Tanzanite? How? That ornament mineral, if exists, should be Kenyanite or something else but not Tanzanite. Ni yale yale ya Mlima Kilimanjaro uko Kenya chezeni na hawa jamaa.
Mkuu nimesoma hichi kibandiko cha huyu jamaa nikacheka sana eti Kenya wana Tanzanite ambayo wachimbaji walikuwa wanakuja kuuza TZ.

Mara nyingi Tanzanite huenda kuuzwa Kenya sasa nikajiuliza Tanzanite from Kenya to TZ, never.

Hawa jamaa wangekuwa na hii kitu dunia nzima ingekuwa inajua.

MOTOCHINI
 
ya kenya inaitwa KENYANITE ya Tanzania inaitwa TANZANITE huoni tofauti; Jiongeze
Hiyo siyo tanzanite ni madini tofauti na tanzanite ila upatikanaje wake ni adimu ndiyo maana yamepewa jina Tsavorite na wala si tanzanite kaangalie upya source ya habari. Tanzanite ni moja ya mererani tu.
 
Mkuu nimesoma hichi kibandiko cha huyu jamaa nikacheka sana eti Kenya wana Tanzanite ambayo wachimbaji walikuwa wanakuja kuuza TZ.

Mara nyingi Tanzanite huenda kuuzwa Kenya sasa nikajiuliza Tanzanite from Kenya to TZ, never.

Hawa jamaa wangekuwa na hii kitu dunia nzima ingekuwa inajua.

MOTOCHINI
Wana Tsavorite siyo tanzanite na muonekano wake ni tofauti
 
Bali ulimaanisha nini embu fafanua zaidi kama ukipenda!
Tanzanite iko Kenya kwa sababu tunapakana nayo
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38].
Akili nyingine mzigo
 
mweehhh...nyumbu tz wengi mno hata uelewa wa vitu vidogo tabuuuu!..magu una kazi kubwa..
 
Tanzanite iko Kenya kwa sababu tunapakana nayo
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38].
Akili nyingine mzigo


Mbona bado sikuelewi hoja hasa ni ipi? Jaribu kufafanua ili nikuelewe kama ukipenda!
 
Msipoteze muda wenu kuelewesha mtu ambaya hataki kuelewa...
 
WAKENYA HATUTAWAWEZA KWAKUWA WANATUMIA VYEMA RESOURCE ZAO SISI TAYARI ARDHI IMEKUWA MASHIMO BILA MANUFAA
 
Kenya wana Tanzanite? How? That ornament mineral, if exists, should be Kenyanite or something else but not Tanzanite. Ni yale yale ya Mlima Kilimanjaro uko Kenya chezeni na hawa jamaa.

Yes, if at it is also found in Kenya, it has to have a different name. Kenyanite suits the purpose!!! hahahaaa!
 
Acha kupaniki, Tanzanite ni jina la madini ambayo yanapatikana chini ya ardhi yenye sifa na tabia fulani hivyo madini yoyote yale yenye sifa na tabia kama za tanzanite yataitwa tanzanite na haijalishi yanapatikna wapi, kwa maana ndiyo jina lake lilipopewa na aliyegundua hayo madini ni kama vile Dhahabu, Shaba, Tungsten, Germanium n.k sasa unashngaa Kenya, Pakistani pia kuna madini ya tanzanite na wanachimba na kuuza!
Tofauti hapa ni kwamba ni nani aligundua kwanza kama yangenduliwa kwanza huko Narok na yakaitwa Narok... hata sisi leo hii Mererani tusingeyaita tanzanite bali tungeyaita Narok ni rahisi kihivyo tu!

Kaombe hansard za bunge uone mawaziri walivyokuwa wakitulisha matango pori kuhusu upekee wa tanzanite kuchimbwa tanzania tu.
 
Back
Top Bottom