Kenya yapiga marufuku uchimbaji wa Tanzanite, zilikuwa zinauzwa kiharamu Tanzania

Kenya yapiga marufuku uchimbaji wa Tanzanite, zilikuwa zinauzwa kiharamu Tanzania

Acha kupaniki, Tanzanite ni jina la madini ambayo yanapatikana chini ya ardhi yenye sifa na tabia fulani hivyo madini yoyote yale yenye sifa na tabia kama za tanzanite yataitwa tanzanite na haijalishi yanapatikna wapi, kwa maana ndiyo jina lake lilipopewa na aliyegundua hayo madini ni kama vile Dhahabu, Shaba, Tungsten, Germanium n.k sasa unashngaa Kenya, Pakistani pia kuna madini ya tanzanite na wanachimba na kuuza!
Tofauti hapa ni kwamba ni nani aligundua kwanza kama yangenduliwa kwanza huko Narok na yakaitwa Narok... hata sisi leo hii Mererani tusingeyaita tanzanite bali tungeyaita Narok ni rahisi kihivyo tu!
Jibu hoja kwa nini sisi hujinadi kuwa madini haya hupatikana Tanzania pekee? Yaani hakuana sehemu katika hii dunia utakapopata madini haya ila ni Tanzania. Jibu
 
Ulafi, ubinafsi, umimi ni roho mbaya sana inayotakiwa kupingwa kwa nguvu zote.

Juzi tu hapa tulikuwa tunajiuliza zile shehena za mizigo ya transit kwenda nchi jirani imepungua! Kumbe mchezo watu walikuwa wanaingiza mizigo hapa nchini, wanadanganya inaenda nje kumbe wanapiga u turn tu mambo yao yanaendelea!

Ulafi umekomaa sasa tunaambiwa Tanzanite inapatikana kenya. Since when? Au imegundulika baada ya watu kuanza kunusa mikataba ya migodi huko mererani? Migodi iliuzwa/ilichukuliwa kienyeji tu sasa balaa lake ndio kukimbilia kuichimba kenya?
 
Yanaweza yakapatika popote pale Duniani hata kwenye Sayari Mars sema kama nilivyokwishandika ni kwamba thamani ya soko la Tanzanite ni dogo sana Duniani kuweza kuwekeza fedha nyingi kuyazalisha na ndiyo maana unaona mpaka sasa hakuna utafutaji wake mkubwa, thamani yake Duniani ni dola za Kimarekani miloni 500 tu na hii ni soko lake Dunia nzima sasa linganisha na dhahabu thamani ya mgodi wa Buzwagi peke yake ulioko Kahama ni milioni 300 USD nafikiri labda unapata picha ya tofauti na ndiyo maana Dhahabu iko sehemu nyingi kwa maana inalipa kuitafuta!

Sasa tunachopaswa kufanya sisi kama nchi ni kuwekeza kwenye utafiti wa haya madini na labda tunaweza kugundua matumizi mengine ya tanzanite mbali na urembo labda yangeweza kutumika kwenye kutengezea microelectronics au space vehicle hapo sasa ndiyo thamani ingepanda lkn inahitaji uwekezaji mkubwa kwenye Research & Development ya haya madini!
Haya madini tuliyonayo mengi kasoro dhahabu,hatuna matumizi nayo ya moja kwa moja bali hupata thamani kutokana na yanavyohitajika huko nje kulingana na maendeleo ya teknolojia. Hivyo hata hao wanaoingia mikataba wakati mwingine si busara kuwalaumu pale tunapohisi kwa ujinga wetu kuwa tumepunjwa.Ndio maana siyo madini yote huwa na ulipaji wa milabaha.
Dhahabu toka wazo la biashara kuingia katika kichwa cha mwanadamu, imekuwa ni kipimo cha kiwango cha utajiri wa mtu au nchi. Hivyo nchi kuwa na dhahabu ni ishara ya uwezo wake kiuchumi.Hivyo dhahabu tunaweza kuwa na matumizi nayo ya moja kwa moja.
 
Barbarosa,spin student,nenda kawasaidie Lumumba Team kwenye uzi unaomhusu Jesca.
 
This thread right here is 100% proof that it is impossible to have an intelligent and logical argument with a Tanzanian. lol
 
Mtoa uzi umekurupuka.ukitaka kuweka mada mezani ifikirie kwanza
 
what the hell???just bcz its called tanzanite then it can never be found outside tz?waah...Kweli hapa ndo nimejionea maajabu ya mwisho.inakaa geography haikusaidia watu kabisa
 
This thread right here is 100% proof that it is impossible to have an intelligent and logical argument with a Tanzanian. lol


Naweza kukubaliana na wewe kwa namna moja au nyingine wengi tunasukumwa na hamaki na siyo logic hilo ndiyo tatizo! Watu wanashindwa kuelewa vitu rahisi sana kwa mfano kama Tanzanite iko Mererani Arusha kwa nini ikosekane km 30 mbele yake Kenya wakati mwamba (geological system) ni hiyo hiyo?
Lakini kuhusu ulivyoandika siyo Watanzania tu ndiyo tuna hili bali ni Waafrika kwa ujumla hata Wakenya wengi tu na nimekutana nao wengi sana hawatumii logic bali wanasukumwa na hisia tu, unaweza kusema ni sisi Waafrika karibia wote tuko hivyo na ndiyo maana tunashindwa kutatua matatizo madogo sana ambayo yanahitaji logic ndogo tu nafikiri ni upungufu ktk malezi yetu au Elimu tunayopewa haitujengei uwezo wa critical thinking ndiyo maana matatizo tena madogo madogo hayaishi, kila siku tuna shida zile zile tu!
 
Siko kwenye jina. Nielewe.

Kwahiyo kama tuna-share mipaka lazima Tanzanite itapatikana Kenya kwa mujibu wa maelezo yako.

Vipi huko Pakistan uliposema
Wakubwa naombeni nisolve
Ni kwamba hakuna sehemu nyingine yote duniani ambapo tanzanite inapatikana zaidi ya tanzania
Kwa kufikiria nlidhani wakenya wanaongea juu ya madini ya tsavorite ambapo yanatabia karibia sawa na tanzanite
 
Serikali ya Kenya imepiga marufuku uchimbaji wa madini ya Tanzanite na biashara yake Loita, kamishna wa Narok amesema wachimbaji walikuwa wanachimba bila vibali na wafanyabiashara wasio waaminifu walikuwa wanaziuza kiharamu nchini Tanzania.



=========
Kuna watu wakiona hii habari watachanganyikiwa, kila siku huwa nasema nchi yetu haina upekee wowote ule kila tulicho nacho wengine pia wanacho tumelishwa propaganda miaka yote kwamba nchi yetu ni tajiri Afrika nzima, haya Kenya nao kumbe wana Tanzanite habari hiyo hapo chini!
Kila nchi ina Rasilimali na siyo nchi yetu tu, tofauti ni jinsi unavyoitumia hiyo Rasilimali kujinufaisha!
mheshimiwa hii habari umeitoa wapi
 
Serikali ya Kenya imepiga marufuku uchimbaji wa madini ya Tanzanite na biashara yake Loita, kamishna wa Narok amesema wachimbaji walikuwa wanachimba bila vibali na wafanyabiashara wasio waaminifu walikuwa wanaziuza kiharamu nchini Tanzania.



=========
Kuna watu wakiona hii habari watachanganyikiwa, kila siku huwa nasema nchi yetu haina upekee wowote ule kila tulicho nacho wengine pia wanacho tumelishwa propaganda miaka yote kwamba nchi yetu ni tajiri Afrika nzima, haya Kenya nao kumbe wana Tanzanite habari hiyo hapo chini!
Kila nchi ina Rasilimali na siyo nchi yetu tu, tofauti ni jinsi unavyoitumia hiyo Rasilimali kujinufaisha!
hii habari inaweza kuwa na ukweli au ni uongo wa jamaa na propaganda zao za mlima kilimanjaro upo kenya....inawezekana madini yakawepo maana ni mwamba miamba haitachagua kuwa sasa inataka kufika kenya ipinde kona irudi Tz so its possible kuwepo...lakini all those years wakae kimya tu??wamegundua lini wana Tanzanite au madini yanayofanana na Tanzanite....ma geologist wetu waende kuangalia zaidi huko mipakani inawezekana kuna maeneo mengi ya yakawepo kama kweli jamaa wanayo
 
Serikali ya Kenya imepiga marufuku uchimbaji wa madini ya Tanzanite na biashara yake Loita, kamishna wa Narok amesema wachimbaji walikuwa wanachimba bila vibali na wafanyabiashara wasio waaminifu walikuwa wanaziuza kiharamu nchini Tanzania.



=========
Kuna watu wakiona hii habari watachanganyikiwa, kila siku huwa nasema nchi yetu haina upekee wowote ule kila tulicho nacho wengine pia wanacho tumelishwa propaganda miaka yote kwamba nchi yetu ni tajiri Afrika nzima, haya Kenya nao kumbe wana Tanzanite habari hiyo hapo chini!
Kila nchi ina Rasilimali na siyo nchi yetu tu, tofauti ni jinsi unavyoitumia hiyo Rasilimali kujinufaisha!

inabidi iitwe Kenyanite na sio tanzanite
 
Hata south pia yalikuwepo ila sauz yalivunwa na makaburu hd yakaisha
 
Mwamba ni uleule umekwenda mpaka Kenya ndiyo maana na wao wamegundua, sema wao watanufaika sana kwa sababu wana akili sana kutuzidi
Hata huku watu wanafaidika ila hawana akili.mtu anapata mil700 anaenda kufunga ndoa ufaransa!mwaingine akakodi taxi za mji mzima eti zibebe washkaji waende viwanja ela itaacha kuisha
 
Back
Top Bottom