Nikweli Tanzania Inakodi Ndogo SanaNimesoma ni billion 80
Tanzania kodi ni ndogo sana
Yes hiyo ndio maana ya nchi.Nikweli Tanzania Inakodi Ndogo Sana
Hiyo 80 BL nikwa Mwezi
Inamaana Nizaidi ya 900BL kwa Mwaka
Kodi hii ndio inafanya Vifurushi Kuwa nafuu sana Tanzania na Bado Serikali Mwezi Ujao Inakuja na Kitu kipya kwenye Vifurushi Kupunguza Zaidi
Sasa unapingana na data?acha kuishi kimazoea
Ni kama 80bHahahaahaha. Hapo serikali inapata kodi kiasi gani!?
Ukishakejeli hua unafaidi nn?uzembe uzembe tuHehehe acheni kujipiga nyeto na takwimu za kuokoteza, Tanzania ipite Kenya mara mbili kwa money transactions??? Kha basi JF haitakua na maana tena, maana humu huwa nakuja tu ili kuwakejeli Wabongo, huwa sina kusudi lingine, sasa itokee mtushinde mara mbili basi haitakua na maana tena humu hehehe
Hizi hapa taarifa zenu rasmi kwa hicho hicho kipindi ambacho mumesema Kenya Tanzania Mobile Money Transactions Reached Record Value of 4.9bn USD in September 2020 - TanzaniaInvest
Tunatoa takwimu za 2021 wewe unaleta za mwaka Jana. Ama kweli umerogwa.Hehehe acheni kujipiga nyeto na takwimu za kuokoteza, Tanzania ipite Kenya mara mbili kwa money transactions??? Kha basi JF haitakua na maana tena, maana humu huwa nakuja tu ili kuwakejeli Wabongo, huwa sina kusudi lingine, sasa itokee mtushinde mara mbili basi haitakua na maana tena humu hehehe
Hizi hapa taarifa zenu rasmi kwa hicho hicho kipindi ambacho mumesema Kenya Tanzania Mobile Money Transactions Reached Record Value of 4.9bn USD in September 2020 - TanzaniaInvest
Tunatoa takwimu za 2021 wewe unaleta za mwaka Jana. Ama kweli umerogwa.
Ukishakejeli hua unafaidi nn?uzembe uzembe tu
80 billion tzsHahahaahaha. Hapo serikali inapata kodi kiasi gani!?
ndo ujinga wake...Tanzania makampuni ma3 yanashindanaSafaricom inapata faida kubwa kuliko mitandao na mabenki yote ukijumlisha
Sent from my TECNO W2 using JamiiForums mobile app
Tunapambana tulikua pabaya sana tunajikazaHehehe huwa raha sana bana yaani kuona matakwimu tunaelekea kuwapiga double kwenye GDP asikuambie mtu.......
Sasa si itakua sawa na bure?Nikweli Tanzania Inakodi Ndogo Sana
Hiyo 80 BL nikwa Mwezi
Inamaana Nizaidi ya 900BL kwa Mwaka
Kodi hii ndio inafanya Vifurushi Kuwa nafuu sana Tanzania na Bado Serikali Mwezi Ujao Inakuja na Kitu kipya kwenye Vifurushi Kupunguza Zaidi
Sasa kwa taarifa yako hakuna pres alietuchoma kama yule mkwereWakati wa JK mlikua mnakuja kwa kasi, niwe mkweli wakati huo niliwaona mkijongea jongea, yaani mpaka kuna siku ukuaji ulichezea kwenye 8.3% huku Kenya ikiwa sijui 4.7%
Lakini kwa zama hizi za leo za kutumbuana na makelele mengi sioni kabisa, namba zenu hazisomi ukiondoa makelele ya kampeni twende kwenye uhalsia wa takwimu, mumeganda sana.
Nyeto ni nini!? Inaelekea unapenda sana nyeto.Wewe umedandia na kunogewa bila hata kuelewa nini kinazungumzwa kuhusu....
Mumetoa takwimu za 2021 na kulinganisha na takwimu za Kenya za 2020
Mimi nimelinganisha takwimu za Tanzania mwezi huo mlioweka za Kenya.
Za Kenya zikitolewa za 2021 na pia za Tanzania zitolewe rasmi za 2021 ndio tulinganishe.....kwa sasa endeleei na nyeto.
Kumbe basi ni trending inayoeleweka, sababu kama September 2020 tulifika dollars billion 5 haishangazi kuona 2021 tupo na billion 8, kimahesabu inaleta mantikiHehehe acheni kujipiga nyeto na takwimu za kuokoteza, Tanzania ipite Kenya mara mbili kwa money transactions??? Kha basi JF haitakua na maana tena, maana humu huwa nakuja tu ili kuwakejeli Wabongo, huwa sina kusudi lingine, sasa itokee mtushinde mara mbili basi haitakua na maana tena humu hehehe
Hizi hapa taarifa zenu rasmi kwa hicho hicho kipindi ambacho mumesema Kenya Tanzania Mobile Money Transactions Reached Record Value of 4.9bn USD in September 2020 - TanzaniaInvest
Kipindi cha Kikwete kulikua na miradi ipi ya maendeleo? Uchumi haupimwi kwa takwimu za kwenye makaratasi.Nyeto ni nini!? Inaelekea unaoenda sana nyeto.
Utakuwa umekosea quote yako.Kipindi cha Kikwete kulikua na miradi ipi ya maendeleo? Uchumi haupimwi kwa takwimu za kwenye makaratasi.