Kenya yapitwa mara mbili na Tanzania katika mobile money transactions


Bro usipotoshe, kwa hapo jumla ya miamala ni mi 3.
 
Saafi kabisa, hapo umeweza kutofautisha kati ya miamala na thamani ya miamala.
Ni huu ndio mtihani mkubwa uliopo kwa wachangiaji, nashangaa wanavyoshangaa thamani za hii miamala wakati nchi kama South Africa ni thamani ya siku 4
 
ujinga ni watanzania kutokuwa na elimu na kufikiria kama hizo chawa zimejaa kwa BRT yenyu

2019: Mobile money transactions equivalent of half of Kenya’s GDP Hii mwaka wakenya walikuwa wakituma $108 million kwa siku

2020: Value of mobile money transactions hit record Ksh.392 billion in June alone - Citizentv.co.ke

Kenya alone accounts for 54% of all mobile money transactions in east africa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…