Akili yako ndogo sana mzee
Ukinitumia elfu 10 huo ni muamala mmoja, katika hiyo elfu 10 nikimtumia demu wangu elfu 5 huo ni muamala mwingine, katika hiyo elfu 5 akinunua vocha ya elfu 3 huo ni muamala tofauti
TCRA watahesabu
10,000
5,000
3,000
Jumla miamala 18,000
Akili mtapata lini?
Yenye thamani ya shilling ngapi?Bro usipotoshe, kwa hapo jumla ya miamala ni mi 3.
Saafi kabisa, hapo umeweza kutofautisha kati ya miamala na thamani ya miamala.Yenye thamani ya shilling ngapi?
Ni huu ndio mtihani mkubwa uliopo kwa wachangiaji, nashangaa wanavyoshangaa thamani za hii miamala wakati nchi kama South Africa ni thamani ya siku 4Saafi kabisa, hapo umeweza kutofautisha kati ya miamala na thamani ya miamala.
haswa kwa umbea na umasikini
haswa kwa umbea na umasikini
umasikini wa chakula ndio wa hovyo kuliko wa chini ya $1 kwa siku.haswa kwa umbea na umasikini
ujinga ni watanzania kutokuwa na elimu na kufikiria kama hizo chawa zimejaa kwa BRT yenyuHahahaha, akili zenu ni hovyo kabisa, mwaka mzima Kenya inaongeza only $5B katika uchumi wake wote(6%) ya GDP, ni mtu mjinga kama wewe ndiye anayeweza kufikiria kwamba $4.2B ni mwezi mmoja, hata Nigeria na South Africa combined haziwezi kufanya hivyo ndani ya mwezi mmoja, hizo akili zenu zimevurugwa na ukabila wenu, hazina uwezo wa kufikiria mambo makubwa.
Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app