Kenya yapunguza viingilio vya utalii ili kufufua sekta ya utalii iliyoathiriwa sana na Corona

Kenya yapunguza viingilio vya utalii ili kufufua sekta ya utalii iliyoathiriwa sana na Corona

Hakuna mtalii mtoto watu waelewa na dunia sasa hv kijiji sasa we baki na karatasi yako ya cheti cha mzungu watu wanajua kama Kenya ipo kwenye hali mbaya
Sasa nyie mnaoficha data za maambukizi na taarifa kuhusu upimaji ndio mna afueni? Kenya inawaza kuhusu uwazi na kuwapa watalii confidence. Jana ukaguzi wa kwanza umefanywa kwenye uwanja wa ndege wa JKIA, Mombasa na Kisumu pia na ukaguzi mwingine utafanywa wiki ijayo. Anga ya Kenya bado haijafunguliwa, shughuli ya kutimiza vigezo vyote vinavohusiana na kuzuia maambukizi ya virusi kwa wasafari ndio inaendelea. Hatukurupuki na kuruka ruka ovyo ovyo bila mikakati inayoeleweka kama ilivyo kawaida yenu.
 
Sasa nyie mnaoficha data za maambukizi na taarifa kuhusu upimaji ndio mna afueni? Kenya inawaza kuhusu uwazi na kuwapa watalii confidence. Jana ukaguzi wa kwanza umefanywa kwenye uwanja wa ndege wa JKIA, Mombasa na Kisumu pia na ukaguzi mwingine utafanywa wiki ijayo. Anga ya Kenya bado haijafunguliwa, shughuli ya kutimiza vigezo vyote vinavohusiana na kuzuia maambukizi ya virusi kwa wasafari ndio inaendelea. Hatukurupuki na kuruka ruka ovyo ovyo bila mikakati inayoeleweka kama ilivyo kawaida yenu.
Kwetu mambo ni Moto na nishasahau hata kuvaa barakoa napiga pesa asante muheshimiwa Magufuli ,na wengine wanakula raha zao tu hata hamna anaepatwa na ugonjwa wa hofu
 
Sasa nyie mnaoficha data za maambukizi na taarifa kuhusu upimaji ndio mna afueni? Kenya inawaza kuhusu uwazi na kuwapa watalii confidence. Jana ukaguzi wa kwanza umefanywa kwenye uwanja wa ndege wa JKIA, Mombasa na Kisumu pia na ukaguzi mwingine utafanywa wiki ijayo. Anga ya Kenya bado haijafunguliwa, shughuli ya kutimiza vigezo vyote vinavohusiana na kuzuia maambukizi ya virusi kwa wasafari ndio inaendelea. Hatukurupuki na kuruka ruka ovyo ovyo bila mikakati inayoeleweka kama ilivyo kawaida yenu.
Hiyo juzi tarehe moja ,sasa huo ni uthibitisho kama Tanzania Corona ipo 0.00001 sasa fanyeni ninyi kama hvi kama hospital zenu hazijakua fulu
 
Imetoka bei gani now iko bei gani nataka kuja kutalii huko nipeni taarifa kamili majirani.
Pimwa Kwanza
Hakuna nchi inayoweza kushindana na tz afrika mashariki kwenye utalii ndo maana tunaingiza hela nyingi kuliko nchi yoyote.
Hakuna anayeshindana na nyinyi, Kila mtu apambane Hali yake.
 
Kwa taarifa yenu Kenya ni kati ya nchi tatu za Afrika ambazo zimepata idhini na muhuri, 'safe travel stamp', ya WTTC(World Travel and Tourism Council) shirika la kimataifa la utalii na usafiri. Nchi zingine ni Tunisia na Egypt, hiyo travel stamp inahusisha serikali na wadau wengine kwenye sekta ya utalii kama hoteli na kampuni za usafiri kwenye protokali mpya za utalii na usafiri wakati wa janga la Corona. Mambo yanafanywa kitaaluma zaidi nchini Kenya, sio ubabe ubabe na siasa za peni mbili, kila nchi ifate sera zake na kila mtu apambane na hali yake. Matokeo tutayajua baadaye mwakani. #SafeTravels: Global Protocols & Stamp for the New Normal | World Travel & Tourism Council (WTTC)
Wakenya mnapenda sana makaratasi ya Muzungu, sawa si tunaendelea mbele bila Corona, Tulimtwisha MUNGU Mzigo mzito katupatia wa kwake mwepesi(Amani na Furaha).
 
Vichwa kweli sio mchezo. Anaitwa Waziri Najib Balala, mikakati na sera za kueleweka kwanza, hata sekta ya usafiri wa anga bado hajaifunguliwa. Jirani walianza kwa kufungua anga yao ili wawakomeshe wapinzani. 😁 Kisha waziri wao wa utalii akaanza kukesha kwenye uwanja wa ndege. Ona waziri mwenyewe alivojichokea akiwangoja watalii. [emoji1][emoji1][emoji1]
2419332_Screenshot_20200606-100106_Twitter.jpg
Huyu ndio Minister,
Mbona anakaa mwalimu wa high school
 
Kenya jana imetangaza kupunguza ada za kuingia mbuga kuu za wanyama pori kwa watalii kutoka ndani na nje ya nchi hiyo ili kuhimiza sekta ya utalii iliyoathiriwa sana na janga la COVID-19.

Taarifa iliyotolewa na Shirika la huduma za Wanyamapori nchini Kenya (KWS) limesema hatua hiyo itadumu kwa mwaka mmoja.

Pia shirika hilo limewaruhusu wamiliki wa nyumba za kulala wageni kwenye hifadhi za wanyama pori wasitishe kulipa kodi kwa mwaka mmoja kuanzia tarehe Mosi mwezi Julai hadi tarehe 30 mwezi Juni mwaka ujao.

Waziri wa utalii na wanyama pori wa Kenya Najib Balala amewataka wamiliki hao kuboresha huduma za watalii na kukuza biashara zao kwa kutumia akiba inayotokana na usitishaji wa kodi.
Dummy Kigwa is nowhere to be seen...

Always Kenyans seem to play this dummy two steps ahead,everytime....
 
Nani atakuja Kenya na maambukizi yamefika elfu Saba huko hahahah...
Hata wakiweka bure haji mtu huko
 
Wakenya mnapenda sana makaratasi ya Muzungu, sawa si tunaendelea mbele bila Corona, Tulimtwisha MUNGU Mzigo mzito katupatia wa kwake mwepesi(Amani na Furaha).
WTTC ndio unawaita muzungu? Council ambayo inahusisha nchi kutoka bara zote duniani? Isiwe ishu lakini hamna jipya, tumezoea uswahili wenu. Jana walikuwa mabeberu, leo wazungu, kesho wawekezaji wapendwa na kesho kutwa watalii wanaoipenda sana nchi yetu ya asali na maziwa.
 
Vichwa kweli sio mchezo. Anaitwa Waziri Najib Balala, mikakati na sera za kueleweka kwanza, hata sekta ya usafiri wa anga bado hajaifunguliwa. Jirani walianza kwa kufungua anga yao ili wawakomeshe wapinzani. 😁 Kisha waziri wao wa utalii akaanza kukesha kwenye uwanja wa ndege. Ona waziri mwenyewe alivojichokea akiwangoja watalii. [emoji1][emoji1][emoji1]
2419332_Screenshot_20200606-100106_Twitter.jpg
aiseee dah ..ni shedah mazeee!😂
Huyu ni waziri mzigo ndani ya serikali ya magu! tunajua magu huwa anapitiapitia humu, huyu jamaa anakuchelewesha tu , piga huyu jamaa chini! no ideas no policy!
 
WTTC ndio unawaita muzungu? Council ambayo inahusisha nchi kutoka bara zote duniani? Isiwe ishu lakini, hamna jipya tumezoea uswahili wenu. Jana walikuwa mabeberu, leo ni wazungu kesho wawekezaji wapendwa kesho kutwa watalii wanaoipenda sana nchi yetu ya asali na maziwa.
Meingiza sh ngapi?
 
aiseee dah ..ni shedah mazeee!😂
Huyu ni waziri mzigo ndani ya serikali ya magu! tunajua magu huwa anapitiapitia humu, huyu jamaa anakuchelewesha tu , piga huyu jamaa chini! no ideas no policy!
Magu hafati ushauri wa popoma kama wewe
 
Visa elfu tisini (90,000) unataka Nani aje afe huko?
 
Back
Top Bottom