Kenya yapunguza viingilio vya utalii ili kufufua sekta ya utalii iliyoathiriwa sana na Corona

Hakuna mtalii mtoto watu waelewa na dunia sasa hv kijiji sasa we baki na karatasi yako ya cheti cha mzungu watu wanajua kama Kenya ipo kwenye hali mbaya
Sasa nyie mnaoficha data za maambukizi na taarifa kuhusu upimaji ndio mna afueni? Kenya inawaza kuhusu uwazi na kuwapa watalii confidence. Jana ukaguzi wa kwanza umefanywa kwenye uwanja wa ndege wa JKIA, Mombasa na Kisumu pia na ukaguzi mwingine utafanywa wiki ijayo. Anga ya Kenya bado haijafunguliwa, shughuli ya kutimiza vigezo vyote vinavohusiana na kuzuia maambukizi ya virusi kwa wasafari ndio inaendelea. Hatukurupuki na kuruka ruka ovyo ovyo bila mikakati inayoeleweka kama ilivyo kawaida yenu.
 
Kwetu mambo ni Moto na nishasahau hata kuvaa barakoa napiga pesa asante muheshimiwa Magufuli ,na wengine wanakula raha zao tu hata hamna anaepatwa na ugonjwa wa hofu
 
Hiyo juzi tarehe moja ,sasa huo ni uthibitisho kama Tanzania Corona ipo 0.00001 sasa fanyeni ninyi kama hvi kama hospital zenu hazijakua fulu
 
Imetoka bei gani now iko bei gani nataka kuja kutalii huko nipeni taarifa kamili majirani.
Pimwa Kwanza
Hakuna nchi inayoweza kushindana na tz afrika mashariki kwenye utalii ndo maana tunaingiza hela nyingi kuliko nchi yoyote.
Hakuna anayeshindana na nyinyi, Kila mtu apambane Hali yake.
 
Wakenya mnapenda sana makaratasi ya Muzungu, sawa si tunaendelea mbele bila Corona, Tulimtwisha MUNGU Mzigo mzito katupatia wa kwake mwepesi(Amani na Furaha).
 
Huyu ndio Minister,
Mbona anakaa mwalimu wa high school
 
Dummy Kigwa is nowhere to be seen...

Always Kenyans seem to play this dummy two steps ahead,everytime....
 
Nani atakuja Kenya na maambukizi yamefika elfu Saba huko hahahah...
Hata wakiweka bure haji mtu huko
 
Wakenya mnapenda sana makaratasi ya Muzungu, sawa si tunaendelea mbele bila Corona, Tulimtwisha MUNGU Mzigo mzito katupatia wa kwake mwepesi(Amani na Furaha).
WTTC ndio unawaita muzungu? Council ambayo inahusisha nchi kutoka bara zote duniani? Isiwe ishu lakini hamna jipya, tumezoea uswahili wenu. Jana walikuwa mabeberu, leo wazungu, kesho wawekezaji wapendwa na kesho kutwa watalii wanaoipenda sana nchi yetu ya asali na maziwa.
 
aiseee dah ..ni shedah mazeee!πŸ˜‚
Huyu ni waziri mzigo ndani ya serikali ya magu! tunajua magu huwa anapitiapitia humu, huyu jamaa anakuchelewesha tu , piga huyu jamaa chini! no ideas no policy!
 
Meingiza sh ngapi?
 
aiseee dah ..ni shedah mazeee!πŸ˜‚
Huyu ni waziri mzigo ndani ya serikali ya magu! tunajua magu huwa anapitiapitia humu, huyu jamaa anakuchelewesha tu , piga huyu jamaa chini! no ideas no policy!
Magu hafati ushauri wa popoma kama wewe
 
Visa elfu tisini (90,000) unataka Nani aje afe huko?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…