Sadock Kabuko
JF-Expert Member
- Mar 26, 2013
- 1,166
- 1,075
We sio mtanzania Tanzania hatuna akina chiko mkunungu utakua mkikuyu wewemm ni mTanzania Tanzani atuwezi ifananisha na kenya cc tunakila kitu lkn tuko nyuma sana kimaendeleo Tuwe wakweli tuu tusipende ubishana tufanye juhudi na cc tuwazidi wa Kenya na c vinginevyo...
ukweli utabakia ukweli tuu cku zote..We sio mtanzania Tanzania hatuna akina chiko mkunungu utakua mkikuyu wewe
Kma resources ndio kigezo mbona hawasemi Tanzania ndio nchi tajiri kuliko zote East Africa maana tuna resources valuable kuliko nchi zote za East africa!!!Wapasua matofali sijui mnapinga nini. Kenya ina ndege na helicopter nyingi, vifaru vingi na bajeti yao ndio kubwa a.mashariki. hivo ndo vigezo muhimu kwenye kuangalia ubora wa jeshi.
Kwa vigezo ganihapo hakuna kesi...jeshi la kenya hatari aisee...
Kwanza mi sio mkenya. Halafu Haijalishi una resources gani kama hujawekeza kwenye jeshi. Kenya wamewekeza asilimia 5 yao pato lao kwenye jeshi. Bajet ya jeshi la tz haijafika hata nusu ya kenya. Na pia wametuzidi kiuchumi. Tactically huwezi kujua nani zaidi kwasababu nchi za E.Africa hazina uzoefu na vita. Tz haijapigana vita against a real army (achana na hivi vikundi vya waasi ). Halafu tz jeshi kwetu sio priority ndo mana serekali inaona bora kuwekeza hela kwenye mambo mengine. Hakuna threat yoyote kwa usalama wetu. Kenya wanapambana na ugaidi wa alshabab ndio mana wamewekeza sana kwenye jeshi. Kenya asilimia 5 ya bajet yao inaenda kwenye jeshi. Sisi ni asilimia 0.8...sijui kwanini watu wanataka kupindisha ukweli.Kma resources ndio kigezo mbona hawasemi Tanzania ndio nchi tajiri kuliko zote East Africa maana tuna resources valuable kuliko nchi zote za East africa!!!
Ndio maana kuna mtu humu kasema kenya ni bora kwenye makaratasi ila naamini tactically na strategies hta wanayarwanda au waganda hamuwawezi
Wewe bajeti ya jeshi letu JW ni nani alikuambiaKwanza mi sio mkenya. Halafu Haijalishi una resources gani kama hujawekeza kwenye jeshi. Kenya wamewekeza asilimia 5 yao pato lao kwenye jeshi. Bajet ya jeshi la tz haijafika hata nusu ya kenya. Na pia wametuzidi kiuchumi. Tactically huwezi kujua nani zaidi kwasababu nchi za E.Africa hazina uzoefu na vita. Tz haijapigana vita against a real army (achana na hivi vikundi vya waasi ). Halafu tz jeshi kwetu sio priority ndo mana serekali inaona bora kuwekeza hela kwenye mambo mengine. Hakuna threat yoyote kwa usalama wetu. Kenya wanapambana na ugaidi wa alshabab ndio mana wamewekeza sana kwenye jeshi. Kenya asilimia 5 ya bajet yao inaenda kwenye jeshi. Sisi ni asilimia 0.8...sijui kwanini watu wanataka kupindisha ukweli.
Tanzania People's Defence Force - WikipediaWewe bajeti ya jeshi letu JW ni nani alikuambia
Du hiyo elimu yako hata kusema niya darasa la 7 ni aibu bora ungesema unamatatizo ya akili hivyo ujasoma kabisa atiii KENYA ILIPATA FURSA HIYO KWA SABABU YA DHANA BORA WALIZONAZO kwani hiyo ni fursa kuipigania USA masilai yaoHongera zao tatizo wengi wa watz sio wote hatuna mwekekeo sahihi wa kauli zetu...kwa mfano kdf walipata nafasi hiyo kwa sababu ya kuwa na zana za kisasa zaidi lakini ni vipi kama na sisi hapa tungenunua hata helicopter za urusi destroyers na pengine ndege za kisasa zaidi wangekuja watu hapa kuleta mada tofauti mara madawati, mara shule za kata hazitoshi mara njaa kali tunapaswa tujue kila kitu kina umuhimu wake...nawasilisha kwa elimu yangu ya darasa la saba nasubiri Kupewa mkoa
Aah
Mambo ya bajet ya jeshi sio siri hata nchi kubwa kama Russia, usa, china wanatangaza bajet zao utakuwa tz? Mi nimeweka Wikipedia kwasababu ndio result ya kwanza Iliotokea kwenye Google. Unaweza hata wewe kusearch kwenye source zingine na kujiridhishaAah
Izo taarifa si anaweza kuweka ata mlevi wa wanzuki unaziamini vp
Mambo ya bajet ya jeshi sio siri hata nchi kubwa kama Russia, sa, china wanatangaza bajet zao utakuwa tz? Mi nimeweka Wikipedia kwasababu ndio result ya kwanza Iliotokea kwenye Google. Unaweza hata wewe kusearch kwenye source zingine na kujiridhisha
Mh hata ukienda Afghanstan utakuta wataleban na al caeda wanatumia AK 47 US na Washirika wabahenya miakaka mingapi? , China wamesumbuliwa na Jimbo la Taiwan mpaka Mchina amelegea... Al Shaabab usiwachukulie poa, nakumbuka sio muda mrefu majambazi walitusumbua kdg tu hapo Tanga si tuliona JWTZ walienda na mizinga usiku kucha wanaifyatua tu... Hawakumpata jambazi hata mmoja, ila askari kama wanne waliuawa. Kenya kusumbuliwa na Al Shabab sio kipimo cha udhaifu wa Jeshi.Una kipimo gani cha kuamua kuwa Alshabab wamekubuhu?
Jeshi ni nidhamu na nyenzo.Sasa kwa nyenzo walizo nazo wakenya,wanapigwa na wahuni wanaotumia AK-47,hawana ndege wala vifaru,hata kama wamekubuhu vipi kama jeshi imara wanafyekwa tu