Kenya yatajwa kuongoza kijeshi nchi za Afrika Mashariki

Kenya yatajwa kuongoza kijeshi nchi za Afrika Mashariki

una argue kijinga sana ata unatia aibu...Hivi nkuulize,uko na any millitary experience?alafu tactics unazoongelea ni gani,maana haueleweki?unazungumzia tactics za jeshi kule somali wanakopigana au kuhusu mambo ya intelligence?sasa kupenya kwa alshabaab kenya na tactics za kupigana kule somali zinashikana vipi?chambua kitu kimoja mwanzo
Hta kutumia intelligence nayo ni tactic au sijakupa mfano wa jinsi UG walivyocounter na kuhalt terrorist attacks huko jinja !!! Kwani hao kenya hawana intelligence huko somalia??

Tactic nayoongelea ni jinsi ya kuandaa formation ya kumshambulia adui..... ndio hapo kenya hawawezi na ndio maana nmesema earlier kuwa kenya wana casualties wengi somalia kuliko AMISOM combined hujawahi kujiuliza???

Sina military experience ila ni observation ya kawaida tu na thats why nmesema kenya ni best army in terms of resources ila tactically rwanda na UG hawana match hapa E africa but sielewi nni ambacho mnabisha wakati u know tactics develop from experience and as far aa am concerned rwanda na ug zimepigana more battles na rebels/insurgents kuliko kenya au TZ ssa mnabisha nni kuwa mmezidiwa experience??? Wwe niambie kma kenya ingeweza ingia DRC na kupiga kuanzia kivu hadi kinshasa in 2 weeks kma alivyofanya kagame tena twice afu ndio uje hapa ujisifu kuwa kenya inatactics.
 
Wanajeshi wa Kenya sijasikia wakiwa kwenye international mission yeyote
 
mm ni mTanzania Tanzani atuwezi ifananisha na kenya cc tunakila kitu lkn tuko nyuma sana kimaendeleo Tuwe wakweli tuu tusipende ubishana tufanye juhudi na cc tuwazidi wa Kenya na c vinginevyo...
Watanzania hawana akili za kijinga km zako,please
 
Hta kutumia intelligence nayo ni tactic au sijakupa mfano wa jinsi UG walivyocounter na kuhalt terrorist attacks huko jinja !!! Kwani hao kenya hawana intelligence huko somalia??

Tactic nayoongelea ni jinsi ya kuandaa formation ya kumshambulia adui..... ndio hapo kenya hawawezi na ndio maana nmesema earlier kuwa kenya wana casualties wengi somalia kuliko AMISOM combined hujawahi kujiuliza???

Sina military experience ila ni observation ya kawaida tu na thats why nmesema kenya ni best army in terms of resources ila tactically rwanda na UG hawana match hapa E africa but sielewi nni ambacho mnabisha wakati u know tactics develop from experience and as far aa am concerned rwanda na ug zimepigana more battles na rebels/insurgents kuliko kenya au TZ ssa mnabisha nni kuwa mmezidiwa experience??? Wwe niambie kma kenya ingeweza ingia DRC na kupiga kuanzia kivu hadi kinshasa in 2 weeks kma alivyofanya kagame tena twice afu ndio uje hapa ujisifu kuwa kenya inatactics.
waaah....sasa apa ndio najua your judgement is very skewed.USA wamepoteza wanajeshi wangapi afhghanistan?zaidi ya elfu,does that mean they are useless?The same USA walikimbia somali.does that mean they are useless?answer hizo questions mwanzo.alafu kuhusu kenya kupoteza casualities wengi naomba ufanye research ya vile hiyo amisom imegawanywa huko somali,the number of soldiers manning a certain area..kama unaelewa hiyo hutakurupuka bila ushahidi.
2)kenya pia wamecounter attacks nyingi apa ndani ya nchi zaidi ya uganda but we cant use that to tilt the balance of rankings in favour of kenya against ug.
3)al shabaab sio rebels/insurgents..this is a different type of war..rebells ni kama wale kina shifta ama sldf waliopigwa na gsu ama wale m23 wenye am very sure kenya wangetumia gsu na sio kdf so again unachanganya mada.
i suggest uachie wasee wako na experience ya millitary wa analyze hii issue..
 
This is so funny indeed hivi unajua uganda ilienda kucounter insurgency CAR,S Sudan, RDC na pia walipigana chini ya mwavuli wa AMISOM hapo somalia na kuweza kuhalt attacks za al shabaab hapo mogadishu !!!! Au hayo yote umeyasahau kwa ushabiki wa eti kenya WANA VIFAA!!!!

Hoja yangu ni kuwa kenya al shabaab imeingia mara nyingi na kuwahumiliate ila kampala ilihappen once na toka hapo UPDF iliweza kuzima further attacks za al shabaab huko uganda ila nyie vp?? Mpaka watoto wa shule wanachinjwa kma kuku ndio unakuja kuwasifia hawa KDF

Mimi sikatai kenya ni jeshi zuri ila kwa paperwork ila tactic hamna kitu ni sawa useme man city ni best team in the world eti kisa wana pesa na wachezaji wa bei ghali sana hapa duniani!!!! That doesnt work my friend if that was the case RPf Isingeweza kuwatwanga burundi,RDC na hutu government ya rwanda at once between 1994-1999????

Kwa tactics rwanda and uganda are so far..... ndio maana al shabaab haijaweza kupenya kwenye nchi zao kirahisi kma wanavyofanya kenya!! Eti wavamie mall kubwa kma ile kigali au kampala then warudi tena wavamie chuo kikuu leave alone kulipua basi???? Not kagame or museveni that i know.....

Anyway hapa tutadebate mpaka asbuhi kma utaamua kwenda kishabiki ila ukitaka kuwa REALISTIC kwenye jeshi its all about tactics not silaha au number of manpower u have kasome case study ya hawa watu ndio utanielewa

Field marshall karl mannerheim
Marshal Von Manstein
Marshal zhukov
Marshal montgomery

Ukimaliza ndio uje hapa na hoja eti KENYA IS THE BEST BECAUDE IT HAS HIGH MILITARY BUDGET AND VIFAA THAN THE OTHER EAST AFRICAN COUNTRIES!!!!!! SMH

Ubongo ni vizuri kutumia saa zingine. Hizo taifa zote unataja hapo, ngapi zinashare border na Somalia?
Before Alshabab wafike Uganda, lazima wapitie Kenya. In short, Uganda is safe from Alshabab because of a strong Kenya.
Ukisema hatuna tactics sijui ata kama unajiskiza ukiongea. Zaidi ya miaka 3 sasa bila any serious terror attack in Kenya. Unadhani tumefika hapa bila strategy?
KDF wameeua maelfu ya Alshabab bila strategy?
KDF wamekomboa towns hizo zote Somalia bila strategy?
Tumeinvest billions kwa hii operation bila strategy?
Alshabab wanauana wenyewe kwa wenyewe wakisema kuna spies wa Kenya. Hii yote wadhani ni bila strategy?
Na hii yote kumbuka tunapigana na watu ambao mchana ni raia usiku ghaidi.
Kama hii ndio matokeo ya kukosa tactics na strategy, wacha tukae bila.
France yenyewe imekuwa na more attacks kuliko Kenya.

Na hii Uganda unasema wana army better, miaka ngapi sasa hawajaweza kumaliza Kony?
Enda usome KDF wetu walimaliza wale maghaidi wa Mt Elgon na siku ngapi.

Kusema Alshabaab hawawezi vamia mall Uganda ama Rwanda inaonyesha ata huelewi kazi ya jeshi. Hio ni a matter of internal security. Yaani polisi.
Kazi ya jeshi ni kumaliza hii threat nje ya taifa.

Rwanda na Uganda are not primary targets for Alshabab. Alafu they don't share a 700km long border with Somalia.

Ukweli usemwe. Kama vita ingekuwa baina ya Kenya na nchi ingine, hapo ndio tungejua nguvu kamili.
In this case, kama ingekuwa Kenya vs Tanzania, huu wimbo wako wa KDF hawana tactics ungeisha saa mbili asubuhi after all your airbases have been flattened.
 
Takwimu za makaratasi mbali na uwezo binafsi mbali.
Kenya ni nchi amabayo ina jeshi dhaifu,waoga na wasio weledi kabisa kuliko hata Burundi.
Kupigwa kama watoto wa dogo na jeshi la wavaa yebo yebo Al shabab ni dhahiri uwezo wa kenya upo kwenye makaratasi tu.
Magaidi wamevamia mall,wao wamepeleka vifaru!
We!!!!!! Alshababu ni kitunyingine tena namshukuru sanaJK kwa busara zake kutopeleka jeshi somali nasi saa hizi tungekuwa kama wakenya utoka kwenda sokoni huna uhakika wa kurudi nyumbani, muulize Trumpo kapiga bomu kubwa Afghanistan ambalo maraisi wa Amerika walio mtangulia hawakuwahi kutumia kauwa watu 30 tu, jamaa wale wakajibu shambulio wakauwa takriban watu mia3 ikiwemo na idadi kubwa ya askari wa kimarekani waliopo Afghanistan
 
This is so funny indeed hivi unajua uganda ilienda kucounter insurgency CAR,S Sudan, RDC na pia walipigana chini ya mwavuli wa AMISOM hapo somalia na kuweza kuhalt attacks za al shabaab hapo mogadishu !!!! Au hayo yote umeyasahau kwa ushabiki wa eti kenya WANA VIFAA!!!!

Hoja yangu ni kuwa kenya al shabaab imeingia mara nyingi na kuwahumiliate ila kampala ilihappen once na toka hapo UPDF iliweza kuzima further attacks za al shabaab huko uganda ila nyie vp?? Mpaka watoto wa shule wanachinjwa kma kuku ndio unakuja kuwasifia hawa KDF

Mimi sikatai kenya ni jeshi zuri ila kwa paperwork ila tactic hamna kitu ni sawa useme man city ni best team in the world eti kisa wana pesa na wachezaji wa bei ghali sana hapa duniani!!!! That doesnt work my friend if that was the case RPf Isingeweza kuwatwanga burundi,RDC na hutu government ya rwanda at once between 1994-1999????

Kwa tactics rwanda and uganda are so far..... ndio maana al shabaab haijaweza kupenya kwenye nchi zao kirahisi kma wanavyofanya kenya!! Eti wavamie mall kubwa kma ile kigali au kampala then warudi tena wavamie chuo kikuu leave alone kulipua basi???? Not kagame or museveni that i know.....

Anyway hapa tutadebate mpaka asbuhi kma utaamua kwenda kishabiki ila ukitaka kuwa REALISTIC kwenye jeshi its all about tactics not silaha au number of manpower u have kasome case study ya hawa watu ndio utanielewa

Field marshall karl mannerheim
Marshal Von Manstein
Marshal zhukov
Marshal montgomery

Ukimaliza ndio uje hapa na hoja eti KENYA IS THE BEST BECAUDE IT HAS HIGH MILITARY BUDGET AND VIFAA THAN THE OTHER EAST AFRICAN COUNTRIES!!!!!! SMH

Mkuu kwanza niradhi mie sio kabwe ni zitto junior kabwe ni zitto . Back to topic hakuna aliesema kenya ni dhaifu nilichosema kuwa kenya is better kwenye paperwork yaani wana vifaa na manpower and money kuliko all other EA armies kwani nimekataa!!!! Ila nlichosema ni kuwa tactically hawaizidi rwanda au uganda sasa hapo upumbavu wangu ukwapi??? Nmekupa mfano wa jinsi al shabaab walivyokuwa intercepted mara kibao huko uganda ssa nisiwape credit waganda kwa hilo??? Mbona inaeleweka tu kwa akili za kawaida hakuna aliye expert hapa maana sijawahi hta shika bunduki toka nmezaliwa ila nakupa my observation tu kuendana na battles ambazo zimetokea hapa EA!!!! Whether KDF imewaweza al shabaab au haijawaweza haibadilishi kuwa jeshi is abt tactics na ndio maana kenya has the highest death toll kuliko other armies zilizopo AMISOM combined!!!!! afu ndio nije kuwasifia hapa???

Lemme make it clear again Kenya is the best army basing on resources and manpower but TACTICALLY they r not the best......... so hulazimishwi kukubali till the day kenyatta amvamie museveni or kagame ndio tutapata majibu

Sasa kama Ugandan army iko na strategy bora kushinda Kenya, mbona basi hawa hawajawamaliza Alshbb huko Somalia?
Let me inforn u this again, it is the Kenyan army that turned the tides of war against the militants in Somalia, including routing them out of Mogadishu. I think I already pointed out above that the Ugandan army was manning only small portions of Mogadishu, before Kenya waded into the struggle against the Alshbb. So much for the Ugandan army u claim has better military "tactics" than Kenya!

U have pointed out that u are no expert on millitary matters. But I believe that u have not even read that report, thus your mouth- farts, your opinions based on nationalistic jealousy.
Good millitary tactics require efficient logistical capabilities, right? U can read for yourself in the condensed report I have pasted below.
The global firepower hav not based their opinion on the budget, manpower size and the military assets alone. They also touched on the logistics, which they have stated very explicitly that Kenya has its neighbors totally beat interms of that as well.

If Kenya military is weak, on account of the few attacks that have occurred on the Kenyan soil, thanks to some loopholes within the Kenyan security system.....(the Kenyan army is not responsible for the internal security btw, that is the work of the police. And those loopholes have since being identified and improved), then even the French, Turkish and the German army are just as weak. The security challenges facing Kenya are not different from those facing ie the French, whereby it is the people within the country, radicalized by the mujahidin ideology of hate and violence. Does that imply that the Kenyan army is weak really? Would I be unfair to u if I called u a slowpoke?

below Kenya ranked East Africa’s most powerful military force
 
This is so funny indeed hivi unajua uganda ilienda kucounter insurgency CAR,S Sudan, RDC na pia walipigana chini ya mwavuli wa AMISOM hapo somalia na kuweza kuhalt attacks za al shabaab hapo mogadishu !!!! Au hayo yote umeyasahau kwa ushabiki wa eti kenya WANA VIFAA!!!!

Hoja yangu ni kuwa kenya al shabaab imeingia mara nyingi na kuwahumiliate ila kampala ilihappen once na toka hapo UPDF iliweza kuzima further attacks za al shabaab huko uganda ila nyie vp?? Mpaka watoto wa shule wanachinjwa kma kuku ndio unakuja kuwasifia hawa KDF

Mimi sikatai kenya ni jeshi zuri ila kwa paperwork ila tactic hamna kitu ni sawa useme man city ni best team in the world eti kisa wana pesa na wachezaji wa bei ghali sana hapa duniani!!!! That doesnt work my friend if that was the case RPf Isingeweza kuwatwanga burundi,RDC na hutu government ya rwanda at once between 1994-1999????

Kwa tactics rwanda and uganda are so far..... ndio maana al shabaab haijaweza kupenya kwenye nchi zao kirahisi kma wanavyofanya kenya!! Eti wavamie mall kubwa kma ile kigali au kampala then warudi tena wavamie chuo kikuu leave alone kulipua basi???? Not kagame or museveni that i know.....

Anyway hapa tutadebate mpaka asbuhi kma utaamua kwenda kishabiki ila ukitaka kuwa REALISTIC kwenye jeshi its all about tactics not silaha au number of manpower u have kasome case study ya hawa watu ndio utanielewa

Field marshall karl mannerheim
Marshal Von Manstein
Marshal zhukov
Marshal montgomery

Ukimaliza ndio uje hapa na hoja eti KENYA IS THE BEST BECAUDE IT HAS HIGH MILITARY BUDGET AND VIFAA THAN THE OTHER EAST AFRICAN COUNTRIES!!!!!! SMH[/QUOTE

On one side you're ok, but I don't want to believe that, the slightly loose kati ya KDF na Alshabab then u count KDF is weak NO.kwa sababu Alshababu walisema inchi itakayo peleka majeshi somali itapambana nayo mpaka wa withdraw their armies, Uganda na Rwanda walipeleka majeshi Somalia walipo uliwa askari wawo kule somalia and some of Alshababu activities penetrate in their countries walitoa majeshi yao somalia na nchi zao zikatulia na mashambulio ya Alshababu, ila kenya bado yapo majeshi yao wawo hawakutowa,
 
Hta kutumia intelligence nayo ni tactic au sijakupa mfano wa jinsi UG walivyocounter na kuhalt terrorist attacks huko jinja !!! Kwani hao kenya hawana intelligence huko somalia??

Tactic nayoongelea ni jinsi ya kuandaa formation ya kumshambulia adui..... ndio hapo kenya hawawezi na ndio maana nmesema earlier kuwa kenya wana casualties wengi somalia kuliko AMISOM combined hujawahi kujiuliza???

Sina military experience ila ni observation ya kawaida tu na thats why nmesema kenya ni best army in terms of resources ila tactically rwanda na UG hawana match hapa E africa but sielewi nni ambacho mnabisha wakati u know tactics develop from experience and as far aa am concerned rwanda na ug zimepigana more battles na rebels/insurgents kuliko kenya au TZ ssa mnabisha nni kuwa mmezidiwa experience??? Wwe niambie kma kenya ingeweza ingia DRC na kupiga kuanzia kivu hadi kinshasa in 2 weeks kma alivyofanya kagame tena twice afu ndio uje hapa ujisifu kuwa kenya inatactics.
See what a slowpoke u are? Sasa tukio moja ya Jinja ndio inafanya Uganda kuwa na better strategy than Kenya? Kenya imezima mipango ngapi ya ugaidi? Pack of rubbish, hauna hoja.
 
See what a slowpoke u are? Sasa tukio moja ya Jinja ndio inafanya Uganda kuwa na better strategy than Kenya? Kenya imezima mipango ngapi ya ugaidi? Pack of rubbish, hauna hoja.
Mkuu nimetoa mfano tu mmoja maana umedai intelligence is different from tactics sa nikuelezeje??? Ndio nmekupa mfano kuwa not only intelligence ilifanya kazi ila pia walihalt attack kwa actual battleground kitu ambacho kenya hawajahi fanya as far as al shabaab is concerned.

Ila kuhusu tactics nmekupa mifano ya UPDF ilipopigana CAR,chad,somalia pia (wao ndio walikuaa wakwanza kufika na wakwanza kuikomboa mogadishu) also walipigana DRC na battle zote hizo imekuwa a huge success sasa nipe track record ya kenya hapa kma sio kukimbilia kismayo sijui kismayu!!!! Hivi wwe unajua museveni kapigana na rebels wangapi tokea ashike power hadi leo?? Hyo experience kenya wanayo??? Ndioo maana nkasema kenya is the best lakini kwa STRATEGY rwanda and uganda wako mbali!!

Unaposema naongea rubbish coz of patriotic jealous mbona mmi nmeisifu rwanda na ugands wakati mmmi ni mtanzania???? Kma patriotism si ningesifia tanzania??

Anyway nipe track record ya kenya vitani maana naona mfano wako ni kismayu tu na kulazimisha kenya kubadilisha tide wakati u know very well uganda waliweka foundations and opened up ways for other troops to enter somalia afu unasahau unawasifia hao KDF ambao death toll yao huko somalia kwa hii miaka mitatu is higher than the UPDF casualties who have operated in somaloa for 10 years now!!!! Then i hear best
 
Sasa kama Ugandan army iko na strategy bora kushinda Kenya, mbona basi hawa hawajawamaliza Alshbb huko Somalia?
Let me inforn u this again, it is the Kenyan army that turned the tides of war against the militants in Somalia, including routing them out of Mogadishu. I think I already pointed out above that the Ugandan army was manning only small portions of Mogadishu, before Kenya waded into the struggle against the Alshbb. So much for the Ugandan army u claim has better military "tactics" than Kenya!

U have pointed out that u are no expert on millitary matters. But I believe that u have not even read that report, thus your mouth- farts, your opinions based on nationalistic jealousy.
Good millitary tactics require efficient logistical capabilities, right? U can read for yourself in the condensed report I have pasted below.
The global firepower hav not based their opinion on the budget, manpower size and the military assets alone. They also touched on the logistics, which they have stated very explicitly that Kenya has its neighbors totally beat interms of that as well.

If Kenya military is weak, on account of the few attacks that have occurred on the Kenyan soil, thanks to some loopholes within the Kenyan security system.....(the Kenyan army is not responsible for the internal security btw, that is the work of the police. And those loopholes have since being identified and improved), then even the French, Turkish and the German army are just as weak. The security challenges facing Kenya are not different from those facing ie the French, whereby it is the people within the country, radicalized by the mujahidin ideology of hate and violence. Does that imply that the Kenyan army is weak really? Would I be unfair to u if I called u a slowpoke?

below Kenya ranked East Africa’s most powerful military force
Naquotw part of the staement

''Global Firepower, an agency that assesses the military strength of nations, ranks Kenya as the most powerful nation in East Africa based on its manpower, range of weaponry, logistical flexibility and budgets.''

Je hapo ni wapi GFP imesema kenya wapo vzuri tactically??? Wapi wameongelea margin of error au casualty count control kma moja ya vigezo au ukishinda vita huku mmekufa kma kuku unakuwa best army???

Hawa hawa GFP walirank best army ever kuwa ni Wermacht/Heer (nazi germany) kwa sababu tu walikuwa na best tactics even though outnumbered by russians and allied forces!!!! Na pia wakalinganisha death toll ya germany soldiers compared to Allies wakagundua though germany lost ila walikuwa na efficient army sasa naomba uniambie wapi wamesema kenya has the best tactics?????

Mkuu acheni upotoshaji kenya imewekwa hapo because of high military budget na equipment ila tactically hawaiwezi ug au rwanda thats for sure na ndio maana hawajaweka strategy kma moja ya crieria ya kutengeneza hizo rankings!!!!!

Hivi hujiulizi why DRC congo is ahead of kenya??? Kma DRC is the better than kenya mbona wameshindwa control internal conflicts hadi wanasaidiwa na UN and still its better than kenya na ipo top 10???? Hujiulizi Y sudan ambayo darfur kumeshindikana na rebels wamejaa huku karibu na chad na imebidi UN ilete wanajeshi kumsaidua bashiri kumaliza waasi ila ipo ahead of kenya hujiulizi tu?? Anyway ckulazimishu uamini maneno angu ila kma unaona kenya is indeed the best basi usihangae sudan na drc kuwa the best pia hta kma wamepigwa hadi wamesaidiwa na UN!!!!!

Anyway bado nasubiri unipe track record ya jeshi la wakenya nje ya borders and somalia exclusive maana ndio only example unayolazimisha kuleta ur point kuwa ur army is the best
 
Hta kutumia intelligence nayo ni tactic au sijakupa mfano wa jinsi UG walivyocounter na kuhalt terrorist attacks huko jinja !!! Kwani hao kenya hawana intelligence huko somalia??

Tactic nayoongelea ni jinsi ya kuandaa formation ya kumshambulia adui..... ndio hapo kenya hawawezi na ndio maana nmesema earlier kuwa kenya wana casualties wengi somalia kuliko AMISOM combined hujawahi kujiuliza???

Sina military experience ila ni observation ya kawaida tu na thats why nmesema kenya ni best army in terms of resources ila tactically rwanda na UG hawana match hapa E africa but sielewi nni ambacho mnabisha wakati u know tactics develop from experience and as far aa am concerned rwanda na ug zimepigana more battles na rebels/insurgents kuliko kenya au TZ ssa mnabisha nni kuwa mmezidiwa experience??? Wwe niambie kma kenya ingeweza ingia DRC na kupiga kuanzia kivu hadi kinshasa in 2 weeks kma alivyofanya kagame tena twice afu ndio uje hapa ujisifu kuwa kenya inatactics.
Unajua Uganda wako shielded na countries ngapi, Kenya being one of them... Kenya tumepakana na Somalia kabisa... Tafakari hayo
 
Kenya imepoteza KDF mia tatu. 112 kule El Adde. 22 Kulbiyow. 5 kwa ajali ya Ndege kule Liboi. 3 Garissa University. 2 Lamu attack. Na wengine sehemu tofautitofauti. Hii ni kwa sababu wako kwenye offensive. Wakishapacify place SNA ndio yaja kulinda.
 
Unajifanya manalyst huku unaongea tu matope. Sasa hawa Ugandan, Burundi na Etiopian army, hizo miaka yoote walikuwa Somalia kabla ya Kenya kuingia hiyo vita, ni kitu gani kiliwashinda kutwaa eneo nzima la Mogadishu, makao makuu ya Alshbb Kismayu, territory magharibi mwa Somalia iliokuwa ikikaliwa na Alshbb, kama kweli hawa ndilo jeshi lenye strategies?

Uganda na Burundi huko Mogadishu si zikikuwa zikidhibiti tu mitaa karibu na airport, presidential palace na port? Ethiopia nayo ilijikita eneo ndogo tu karibu na mpaka wao na Somalia, hawkuwa wakifanya mashambulizi ya maana ndani ya Somalia dhidi ya Alshbb.
Mambo yalibadilika pale Kenya ilipoingia vita hivi na Somalia.

1. Maeneo karibu yote, magharibi mwa Somalia ambako Alshbb walikuwa wakicontrol ilitwaliwa- na KDF.

2. Makao makuu ya Alshbb Kismayo ilijokombolewa single- handedly, by the KDF, kupitia bahari, kwa kimombo inaitwa amphibious tactic, jeshi la kwanza kabisa kutumia mbinu hilo Africa.

3. Jeshi la Kenya ulisaidia katika kuwafurusha Alshbb Mogadishu, na kuweka usalama kwenye mji huo, kiasi cha kwamba serikali ya Somalia inayokubalika dunia nzima iliweza kurudi huko kutoka Nairobi kutawala.

4. Jeshi la Kenya kupitia zana zao wamepata kuwaangamiza wanaalshbb wengi sana katika kambi zao. Na ndilo jeshi la Amisom linalotumia zana zenye nguvu zaidi kukabiliana na waasi hawa hujo Sonalia. Uganda iko fighter jets ngapi huko?


Kwanini Kenya ndio ionekane dhaifu ilhali juna majeshi mengine Sonalia, zenye idadi na miaka mingi zaidi ya kuhudumu huko? Hebu kwanza taja accompliahments zao huko?

Kwahivo acha kuropoka upumbavu hapa, unaandika mambo mengi yenye upuzi mtupu.
achana nae hajui anachoongea. mm ni mwanajesh najua maana ya vita. watz wengi tunaishi kwa iman tukiamini kila kitu kipo kama tunavofikiri. no research no right to speak! ni kama tulivoamini serenget boys itashinda tu..tukakuta tunabamizwa..hatujakuwa na vita toka 1978..unapata wap ujasir wa kulinganisha jesh letu na kenya? kenya tunajua wako kwenye vita na alshaabab lazma jesj lao liwe imara otherwise hata kenya ingevamiwa. sisi mabomu tuliyokuwa nayo ni yale ya kizamani yaliyo exipire na kuuwa raia gongolamboto na mbagala unawezeje kulinganisha na kenya wanaonunua vifaa vya kisasa had leo?. achen utani wekeni ukweli. unaweza kuwa na tactics za kijeshi lakini huna nyenzo utamweza wapi mwenye silaha?. unless tumeingia kwenye vita vitakavyo tufanya tuwe active hatuwez lingamisha jeshi letu kwa namna yoyote na wenzetu. tuwe wakwel kwa hili.
 
jeshi letu tangu vita ya kagera alijapigana na nguvu ya jeshi ni Teknolojia na muundo wa jeshi Mfano Kenya Wana special force za kupambana na magaidi,Kenya wapi somalia wanaendesha operations wenyewe
huko kongo sudani unadhani wanaenda kufanya nini!
 
Yafaa mjue alshabaab wanapigana kitu inaitwa insurgency. Yaani ni raia wa kawaida... Baadaye anakugeuka na kukumaliza halafu anarudi kuwa raia. Sheria za jeshi ni kuwa hakuna kugusa raia. Vita hivyo ni vigumu. KDF kule El Adde kweli walishindwa lakini ni jamaa alifanikiwa kulipua VBIED katikati ya kambi na miili ya majeshi zilichomeka hata hazikupatikana. Ndani ya kambi kulikuwa na askari 160. Walionaswa ni 12. Waliokufa kwa risasi ni 68 ambao Alshabaab walihesabu mara ya kwanza. Hao wengine kwa sababu miili yao haitambuliki inasemekana wako Missing in Action. 36 pekee ndo walifanikiwa kufika nyumbani.
Hawa jamaa hata vita ya Man to o Man hamna kitu,
Kambi nzima ilivamiwa na wakauawa kama kuku,
Ile shambulio la Garisa, huku wakijua kuwa jamaa wapo ndani ya chuo wao walienda na Vifaru, the same thing happened pale westigate,
Waliendsha tanks kuelekea mall huku wakijua hakuna namna ya kuwapiga wale jamaa hadi uingie ndani ya Mall,
Weledi wao kwenye medani za Vita upo low. (Very Low)
 
Na ninakwambia tena Mr. Kabwe, fikiria kwa ubongo. Wewe mambo ya strategy kupigana na raia wenye vilipuzi, mbona basi hata America na Russia hawajapata kuwaangamiza hawa maghaidi? Kama KDF ni dhaifu juu ya kushindwa kuwamakiza kabisa Alshbb, basi hata America ni dhaifu juu imeshindwa kuwamaliza mujahidin Afghanistan.

Wewe unajua strategy gani kwenye operation za kijeshi, unaweza zitaja gano kutumika kukabiliana na maghaidi? Unajifanya expert nyuma ya keyboard, ilhali pumba tu!

Hao America ndio wanatengeneza haya makundi,
Usiwe Lofa kiasi hiki.
 
Nakumbuka miaka michache iliyopita wezi wa ng'ombe walifyeka police zaidi ya 40.kakimbia Dereva tu.
Halafu kuna kamishina wa polisi feki ,kachukua elikopta katinga eneo La tukio.

Hivi !inawezekana nchi yenye ulinzi imala anatokea mtu anaigiza kuwa general na anafanya kazi miaka hadi mitano bila ya wasiwasi!
Anachukua hadi elcopta na an anaenda anakotaka.
Utasema mwananchi yupo salama na anajivuna analindwa.
 
Back
Top Bottom