Kenya yataka nchi za Africa zisuse mkutano ujao wa Commonwealth...

Kenya yataka nchi za Africa zisuse mkutano ujao wa Commonwealth...

ndugu yangu kit kinachonishangaza kwenu nyie wakenya ni jinsi mnatuchukulia sisi wa TZ,hizo hekima na busara za kikwete mnazitambua pale tu mnapomhitaji kuwaunga mkono kujitoa ICC? busara hizo ndio alizitumia kumshauri kagame na akaishia kutukanwa na hakuna kiongozi yeyote wa kenya aliesema kitu! leo mnamuona wa maana kwa sababu anasema lugha mnayoipenda kuisikia? Na mtu mwenye akili hawezi kumwamini museveni kuhusu ICC kwani si ni serikali yake ndio ilipeleka kesi ya JOSEPH KONY kule ICC? kwanini hakumshtaki kwenye mahakama za uganda? Huu mchezo mnaofanya tunaujua vizuri na ni kwa nini nhakuna mtu anaezungumzia wale victims wa post election violence watapata wapi haki yao? au wao hawana haki?

Lakini haya,,ni ya rais Kikwete,,,,yeye mwenyewe,,,kuyajibu,,,
usitulaumu sisi,,,,,hakuna mtu aliyemlzimisha kufanya vile alivyofanya
.:smile-big:

Kama amefanya makosa sana,,,kwanini hatujaona maandamano
TZ,,dhidi ya rais Kikwete,,ama watu hawawezi kuandamana
Tanzania.

Sijasikia popote pale watu wamemulaumu kwa ku support
AU na Uhuru.

Chuki dhidi ya Uhuru iko hapa katika hii forum,,,na ni
wachache tuu ambao,,hawana uwezo wowote,,ni
kuteta tuu lakini baadae,,,itabidi wakubaliane na
yale yatakayo,,tokea.

Uhuru na Kazi.
 
Unaongea kishabiki zaidi na ukweli huujui... pole sana ndugu... Marekani anatoa msaada wa Kijeshi kanda nzima na aliyekudanganya kenya haijapata msaada wa Marekani vita ya Somalia kukuacha gizani...

Kenyatta akajibu tuhuma zake wewe unamtetea kwasababu hujauliwa ndugu zako huko kenya... Muuaji ni muuaji na hatoacha kuua

Sasa ndugu,,,haujanisaidia kwa njia,,yeyote.

wataka mimi Jammu Africa,,,niamini ambacho chatoka katika kinywa chako
bila wewe ku support your argument with evidence.

Hii ni 2013,,,,the Age of Internet and Information.

Kama saa hii,,ninaweza kuingia katika internet,,na
kusoma kuhusu mambo yalio fanyika katika vita vya
Tanzania na Uganda,,,,,zaidi ya miaka 35,,,

Kwanini iwe vingumu kwako,,,kunitumia link,,,ama
information yeyote,,,ambayo unayo kuhusu Kenya
kusaidiwa na Marekani katika vita vyake na Somalia,,

Miaka miwili Tuu??????????????????????😱😱


Kwanini ni si,, dismiss ya argument,,kama porojo tuu???

Pin me down,,with concrete evidence.Lakini si,,maneno
matupu,,,hayasaidii.
 
Wakuu,...mfa maji haachi kutapatapa....juzi juzi waliitisha mkutano wa AU kususa ICC afu ikawaje?...wakashindwa kufikia uamuzi wa kuongea kwa sauti moja....sasa leo hii kodi ya walalahoi inatumika tena katika hii 'lobbying' ambayo tayari is dead on arrival....hivi Mkuu wa Kaya ameingia mkataba na hawa mahayawani baada ya kelele yote ya kuitenga Tz kutoka EAC?...kwa kuiondoa Kenya katika Commonwealth, je serikali ya Uhuruto ilijituma kusikia maoni ya raia?Huu ubinafsi na ubabe utawatumbukia nyongo hawa watu wawili na wanataka kuchukua nchi nzima, kama sio bara zima laAfrica lizame nao!Mtu mzima hovyo!!!

Mkuu Ab-T ndio maana nasema UK yuko naive kwenye mambo mengi tu, nataka niwe muwazi hapa sio kwamba namsema vibaya lakini ukweli unabaki pale pale, sasa sijui matatizo yake yanatokana na malezi au nini sijui - weakness yake hiyo ndio inakuwa exploited fully na akina PK na M7 wanamuendesha PUTA, wanayo yafanya sasa hivi wasingeweza kuthubutu wakati wa enzi za Mh.KIBAKI.

Back 2 the point, UK hasicho kijua ni umahili wa Waingereza kulipiza kisasi, watafanya lobbing kali kwa kuhakikisha jamaa anabuluzwa the Hague unceremonously na possibly kufungwa au akijifanya mjanja watawekea vikwazo vya kiuchumi Kenya kama ilivyo Zimbabwe - yaani matatizo ya mtu mmoja nataka kuiletea balaa Taifa lake na Africa, yuko prepared to bring down the whole continent with him!! Sijui hii ni akili ya namna gani? Uzuri mkuu wa kaya wetu ana akili sana always anakuwa two steps ahead of them, hawezi kuingia kichwa kichwa mapendekezo ya binadamu walio lewa VODKA - ukiwekea maanani mambo ya kina M7,PK na Uhuru ya kutaka kuitenga/dhalilisha Taifa lake.

Kama ulivyo sema mfa maji haachi kutapatapa anashikiria mpaka unyasi anafikili utamunusuru kuzama - mpaka wanafikia kuleta mapendekezo ya kuchekesha kabisa. Mimi namshauri aende akajitetee haachane na kujaribu kutumia mbinu za kitoto kujinusuru, kama hana makosa anaogopa nini! Juzi juzi ndipo Uhuru alinihacha hoi!! - Anasema eti "hawezi kwenda the Hague kwa kuwa anashughulikia operation ya kuwatia mbaroni magaidi wa Kimataifa!!" Uhuru bwana!! Anajitia eti kuahangakia eti kuwakamata magaidi walio wauua wa Kenya na wageni wasio zidi 67 kwenye Supermarket lakini inapokuja kwenye suala la Wakenya zaidi ya elfu moja na ushee kupoteza maisha yao na wengine zaidi ya nusu millioni kupoteza makazi yao kwenye machafuko ya kisiasa, ambayo yeye ni mtuhumiwa namba moja, hayo Kenyatta anaona si kitu, Wakenya wenye maana ni wale walio poteza maisha yao kwenye ugaidi kwenye Supermarket - hapa sielewi, hivi suala la supermarket Kenyatta analivalia njuga kwa kuwa alipoteza blood relative wake au?

Kwa nini Kenyatta Ugaidi/mauaji ya Wakenya wakazi wa lift Valley kwenye mwaka 2007/8 anauchukulia lightly as far as Uhuru is concerned Wakenya walio poteza maisha ndani ya Rift Valley hao si binadamu.
 
wakati wa kibaki kenya kapewa msukule badala ya kiongozi. hii nafahamu kdf watalalama kwa matamshi haya kwa amewatekelezea mengi. ukweli kibaki alikua anti people. ndio. haku chukua nafasi yake kushugulikia waathiriwa wa ghasia. mavi ya kuku ni hiyo
 
Lakini haya,,ni ya rais Kikwete,,,,yeye mwenyewe,,,kuyajibu,,,
usitulaumu sisi,,,,,hakuna mtu aliyemlzimisha kufanya vile alivyofanya
.:smile-big:

Kama amefanya makosa sana,,,kwanini hatujaona maandamano
TZ,,dhidi ya rais Kikwete,,ama watu hawawezi kuandamana
Tanzania.

Sijasikia popote pale watu wamemulaumu kwa ku support
AU na Uhuru.

Chuki dhidi ya Uhuru iko hapa katika hii forum,,,na ni
wachache tuu ambao,,hawana uwezo wowote,,ni
kuteta tuu lakini baadae,,,itabidi wakubaliane na
yale yatakayo,,tokea.

Uhuru na Kazi.

waswahili wanasema mchagua janga hula na wa kwao! huyu uhuru atawasababishia matatizo mengi sana,mlimchagua mkidhani mnawakomoa wazungu sasa mkae tayari kugombana na majirani na ameanza kuisambaratisha EAC,wew jiulize haya mambo ya kuwatenga wanachama wengine wa EAC kwa nini yamekuwa makubwa kipindi hiki cha Urais wa uhuru? mark my words brother msipoangalia na kuwa macho uhuru na ruto wataisababisha kenya matatizo makubwa sana huko mbele ya safari,msifumbwe macho na ukabila mkaacha kuona ukweli kwamba walioshtakiwa the hague ni mr.UHURU MUIGAI KENYATTA na mwenzake WILLIAM SOMOE RUTTO kama watu binafsi na wanapaswa kukabiliana na kesi yao kama walivyo ahidi wakati wa kampeni.
 
Because Al Bshir may have committed whatever accused of,,when still the
president of Sudan and every one may have seen what happened in Darfur.

But Uhuru Kenyatta was not a president,,nor a presidential candidate in 2007
,,for the truth will always,,remain that,,,

Chaos of 2007 was caused by disputes of elections results where Uhuru
nor,,Ruto were not,,,candidates.


So no one knows what happened in Kenya,,Museveni cannot tell,,Jonathan
Goodwill of Nigeria doesn't know,,nor the president of South Africa.

Because they asks,,,how can a person,,accused of,,,inhumanity,,,where,,,,,,
he wasn't a presidential candidate in 2007,,go ahead and win,,overwhelmingly,,
the presidency of the same country,,in the next,,,very peaceful
general elections of 2013


That is why many African leaders,,cannot understand,,,akina,,Kagame,,Museveni,,
who knows betters what goes around,,in this region,,than those damning western
countries.

Accused,,by the same Holy,,western countries???? who are using drones to kill
children and women in other parts of the world????

If Uhuru is innocent, then why is he afraid to to to The Hague?
He can go to The Hague and prove his innocence and put this matter to rest once and for all.
The guilty are and will always afraid of the justice
 
waswahili wanasema mchagua janga hula na wa kwao! huyu uhuru atawasababishia matatizo mengi sana,mlimchagua mkidhani mnawakomoa wazungu sasa mkae tayari kugombana na majirani na ameanza kuisambaratisha EAC,wew jiulize haya mambo ya kuwatenga wanachama wengine wa EAC kwa nini yamekuwa makubwa kipindi hiki cha Urais wa uhuru? mark my words brother msipoangalia na kuwa macho uhuru na ruto wataisababisha kenya matatizo makubwa sana huko mbele ya safari,msifumbwe macho na ukabila mkaacha kuona ukweli kwamba walioshtakiwa the hague ni mr.UHURU MUIGAI KENYATTA na mwenzake WILLIAM SOMOE RUTTO kama watu binafsi na wanapaswa kukabiliana na kesi yao kama walivyo ahidi wakati wa kampeni.

Ningelipenda,,,Mungu akupe maisha marefu,,,ndivyo ujionee,,mambo Kenya.

Nina heshimu maoni yako,,kwani..nimaoni tuu,,lakini,,yangu ni kutafautiana
na wewe kabisa.

Kwanza,,,Uongozi wa Uhuru unaleta mshikamano mkubwa katika East and
Africa,,as a whole.

Kwanza,,,,,Railway line ya kisasa,,,,,,itaanzia Mombasa na kufika mpaka
Kigali,,Rwanda,,ikiwa imeshapita Uganda.

Ujenzi unaweza kuanzia mwaka huu,,na project yote,,hii,,kuisha mwaka wa 2017.

Kama haya si,,mafanikio,,,kwakua Tanzania hai usiki,,,basi hayo ni mengine,
kwani kwa wanainchi wa Kenya, Uganda, Rwanda na wengine,,kama S Sudan,
ni mafanikio kwa,,wingi.

Na,,,nikawaida kwa mwanadamu wakati ule mambo yanamwendea mrama,,yeye ufikiri
eti,,,,dunia ina isha. Dunia iko pale pale.

Tuliwachangua UhuRuto,,wakati mabwana wakubwa,,,katika hii dunia walipo
tuangiza eti,,tusifanye hivyo.

Walikua wakifanya hayo,,kwa manufaa yao,,wenyewe,,na si kwa manufaa
ya Kenya.

Kwahivyo,,,tungekua wajinga wa mwisho,,,kuwasikiza.

Tuliwahi kumenyana,,hapa kwa,,hapa na hawa mabeberu,,the British,,,,,,,,,,,
tunawajua kuliko mtu,,yeyote,na nikichekesho kwa mtu ambaye,,hajawahi
kuendesha ndege kufunza vile ndege,,hua ya endeshwa.

Ni Kenya na Algeria,,,katika bara la Africa,,,walio wahi,,,kumenyana na wakoloni
kutoka inje.

Hivi juzi,,waliwahi kuwalipa,,sehemu ya watu wengi walio,,wadhalilisha
wakiti hou,,,watu elfu 4,000,,wakalipwa kila mtu,,nusu millioni,,,kitu
ambach hakijawahi fanyika duniani kwani waingereza hawakua Kenya
tuu.

Kwahivyo,,,si Kenya,,,hatuja lala saana,,

Hawawezi,,wakati huu,,,,tuko mbele sana ndugu,,,,tuko 2013 na si 1940's,

Wengi wanaogopa hii combination ya,,,,UhuRuto,,,,kama kwenu,,ni namba
mbaya,,,,na kuhakikishia ya kwamba,,,,,

1.It is the Magic Number,,,,the Only one which wrestled down,,,Simba wa
Masimba,,,,Jaduong, Rt,,,Hon,,,,Raila Amolo Odinga,,eti,,Darling of
the ,,,West,,,,na kibko ya Moi na Kibaki:smile-big:and,,,,,,,,,,,,,,in first round.

This is after,,,,all threats and arm twisting by the Gods of this world.

Can youimagine,,,a british high commissioner,,storming into a tallying station,,during the last
elections,,,,, demanding things to be done,,,in a certainway???????????as if,,Kenya,,
was Scotland???????

We were almost going that route,,but It will never happen,,,that we go back into 1950's
and 60's and start being ordered around by these thugs.


We taught them,,,,,a BIG LESSON>


And,,,,,,,,,,,,Africa was,,,,watching
.

 
Halafu Raila aliwambia Wakenya kwa nini mnataka kuchagua watu wataowaongoza kwa njia ya Skype wakati wakiwa The hague wakaona si wa maana. " How can you trust someone who is telling you he is going to run your government through Skype from the Kenyan embassy in The Hague?" Raila.
"But I know its going to cause serious challenges to run the government via skype from the Hague" - Raila
"I appeal to Kenyans this (ICC) is not a laughing matter. You must ask yourself whether the vote is for Kenya or for an individual" - Mudavadi

Sasa baada ya uchaguzi ndo wanajua kumbe walifanya makosa kuchagua watuhumiwa wa The Hague. Acha wajitetee wenyewe siyo kutaka huruma ya nchi nyingine
Sasa
Hawa Uhuru na Ruto kwa nini wasijibidiishe kuhakikisha kuwa wanashinda kesi lkn badala yake wanatumia siasa? Viongozi wa Afrika wawe mfano kwa kuheshimu sheria, mashitaka ya Mahakamani yaishie Mahakamani, Uhuru na Ruto waithibitishe dunia kuwa wao ni safi kwa kushinda hiyo kesi, hizi vurugu na uchochezi wanaofanya yaweza kuwa ni kweli hao jamaa walihusika na ghasia za baada ya uchaguzi 2008, mtu asiye na hatia hapaswi kuogopa Mahakama, na hasa Mahakama za Kimataifa ziko fair sana kuliko zile za kwetu.
 
And,,,because Africa had seen it all,,,,in broad day light,, what was happening in Kenya,,,,,,
and because UhuRuto are digital and were aware that Africa was aware of what was taking
place in Kenya,,,,,

UhuRuto did not sleep but took advantage of it all,,went around,,Africa,,and it was not that
hard to do the convincing,,,for they had seen,,it all.

From Nigeria to South Africa,,,they all flocked into Nairobi,,for UhuRuto swearing
in,,,something which caught many,,in their biggest surprises.

The same people,,,who were threatening Kenya,,,,started calling UhuRuto and
congratulating them.

Africa has never,,,,,never spoken in one voice and,,,,, get heard,,,as this time,,
,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,, WHY?????????

UhuRuto,,,for they are special,,with a special mission for Kenya and Africa

Thank you lord,,for giving us these people,,,to,,,,,,,,,

But,,the US,,British and their funny bros,,,,Hawatuwezi,,,hata kama sisi ni wadogo
lakini tunajui,,nguvu zetu,,,na,,tunajua,,,,,their weaknesses,,,

We dare them,,,,to,,,try especially these,,heavenly times when the big African lion,,,

THE AFRICAN UNION,,,,,

Is roaring,,,,and defending Kenya


Tuko,,,Tayari kwani,,,sisi,,,,, ni David...yaaani,,,Daudi,,,tutamuhaibisha
huyu,,Goliath,,na yeyote atakae shirikiana naye,,,,,,,,

This time in a big way,,,,,,,Once more and,,,forever.

AMEN.
 
Wakuu,

Huyu Uhuru Kenyatta inabidi nimvue nguo, japo kiduchu...maana hizi kelele zake dhidi ya wazungu zimezidi na anatuona wehu wa kumsikiza bila kuhoji.

...Kwanza kabisa, the biggest neo-colonialist in Africa baada ya mabebru kuondoka si mwengine bali Mzee Jomo Kenyatta, babke Uhuru Kenyatta. Hilo hata Mwalimu Nyerere alituambia. Baada ya wazungu kuondoka alipora mashamba yote walocha nyuma na kuwapa jamii yake na marafikize. Hata hao mashujaa wa Mau Mau waliambiwa wachukue time. Sasa leo hii kelele zote ni za nini za kuwasifia wapambanaji dhidi ya wakoloni, huku bado umekalia ardhi yao!...haingii akilini kabisa hio.

...Pili kelele zote hizi anapiga, huku tukianaglia timu yake ya mawakili huko ICC imejaa hao wazungu/wakoloni/westerners...hamna mbantu hata mmoja! Sasa nani katawaliwa na kasumba za hao wakoloni ambao kila kukicha tunazidi kusoma magazetini ukiwaponda wewe Uhuru Kenyatta.

..Tatu, ile public relation team ya Uhuru Kenyatta kabla kura ya BTP, ilikua imejaa wazungu tupu kutoka Britain. Line up hii hapa kwa mujibu wa nyuzi nyengine kulele kule 'Kenya Politics"
1. Mark Pursey-Briton, Head of BTP kenyan operations.
2. Charles Anglin-Advisor(Briton)
3. Simon Waddington-Strategist(Briton)
4. Milan Starcevic-Strategist(Briton)
5. Charlie Tarr-Strategist(Briton)
6. Anuuret Rai- Strategist (Briton)

Sasa tukueleweje mtoto wa Kenyatta na hii longo longo unayoleta kuwakandia wazungu ilihali biashara zako zote pale CMC na spare za Landrover zinatoka kwa muingereza? Yaani uanona watu wamezembea tu kuskiza huu upuzi kila siku? ICC mlijipeleka wenyewe! Raila na Kibaki wakaomba mfanye tume local hapo Kenya na ikishindikana Bongo pia ingekua poa. Mkachuna na kupiga kelele kibao eti "Lets not be Vague, Go to Hague'. Ruto mwenyewe huyu hapa akisema 'Why I prefer the Hague Route" ....

31903_15-200x134.jpg


By Nation News Team, Saturday, February 21, 2009

Agriculture minister William Ruto wants the secret envelope containing names of the post-election violence suspects handed over to the International Criminal Court at The Hague without further delay.

Mr Ruto says the two-month period given by former UN secretary-general Kofi Annan to Kenya to make a new attempt at setting up a local tribunal to try the suspects was unnecessary.

Ruto: Why I prefer The Hague route

Je kwa kipindi hiki, mlitaka ushauri wa nchi kiafrika kabla maamuzi?...La hasha.

Afu wakati wa kampeni hii ishu mlisema 'its just a personal problem' ambayo haingeaathiri uongozi wa Kenya. Infact mlisema mtaongoza Kenya via Skype...hehehehe!...Leo kwani imekuaje tena waungwana?

YOU CAN FOOL SOME PEOPLE SOMETIME BUT YOU CANT FOOL ALL THE PEOPLE ALL THE TIME!
You are Good. kip it up!
thanks for the informations
 
KENYA LOBBIES COMMONWEALTH SUMMIT BOYCOTT


_68279235_67837227.jpg


Monday, October 21, 2013 - 00:00 -- BY NZAU MUSAU

KENYA is quietly lobbying African countries to boycott the upcoming 23rd Commonwealth Heads of Government Meeting in Colombo, Sri Lanka from November 15 to November 17, 2013.

Diplomatic sources told the Star that Kenya is pushing the move over the union's failure to take a decisive stance against the prosecution of President Uhuru Kenyatta and his deputy William Ruto at the ICC.

Already, Uganda, Tanzania, Rwanda, Nigeria, South Africa and Zambia have been roped into the plan and may miss out in the meeting. South Sudan and Burundi which had launched bids to join Commonwealth have suspended their bids indefinitely.

The Commonwealth is comprised of 53 member states, mostly former colonies of the British Empire. The Queen of England, Queen Elizabeth II heads it. Member states have no legal obligations to one another.

“Kenya is determined to force in a favorable and decisive action against the ICC trials against its president and deputy president. The Commonwealth miss would be part of this bigger agenda which the world must appreciate has been forced on Kenya by the court,” the source added.

Another government source confirmed: “It is almost a foregone conclusion by now that Kenya will not show up. And with it, East Africa and other African countries. By that time, the president is supposed to be at the ICC. The deputy president will be in charge here.”

The Commonwealth meeting would also be taking place three days after the start of Uhuru's trial on November 12. The meeting will the first in 40 years in which Queen Elizabeth II will not attend owing to old age. She is 87.

Her son Prince Charles will instead represent her. The meeting is already facing several other boycotts over the choice of Sri Lanka as the host country. Canada's Prime Minister Stephen Harper has already stated that he would not attend in protest of Sri Lanka's poor human rights record.

Harper has even gone ahead and threatened to stop contributing to the body if no action is taken against Sri Lanka. In the UK, parliament's foreign affairs select committee has called on Prime Minister David Cameron to boycott it over same reasons as Canada. Cameron has however said he will go.

In India, Prime Minister Manmohan Singh is yet to make up his mind on whether he will attend or not. An Indian snub would even be more devastating to Commonwealth as it is the Commonwealth's biggest member.
In Africa, Gambia, the home-country of ICC Chief Prosecutor Fatou Bensouda became the latest country to quit the Commonwealth early this month.

"The government has withdrawn its membership of the British Commonwealth and decided that the Gambia will never be a member of any neo-colonial institution and will never be a party to any institution that represents an extension of colonialism,” it announced.

The revelations on Kenya's offensive against the body comes barely a week after the African Union took a decisive action against the ICC by asking Uhuru to snub his trial in November. It also comes days after the court allowed Uhuru to skip most of the ICC sessions when his trial commences in November.

During the AU meeting in Addis Ababa, Uhuru gave a strong nationalistic speech in which he said Africa must “distrust the blandishments of those who have drunk out of the poisoned fountain of imperialism.”

He said described colonialism (which brings together the Commonwealth nations) as “most unjust of institutions.” He told of the irony of West preaching justice to “a people they have disenfranchised, exploited, taxed and brutalised.”

Uhuru said the philosophies, ideologies, structures and institutions that visited misery upon millions for centuries ultimately harm their perpetrators.

“Thus the imperial exploiter crashes into the pits of penury. The arrogant world police is crippled by shambolic domestic dysfunction. These are the spectacles of Western decline we are witnessing today,” he said in Addis.

The Kenyan snub on Commonwealth would also be in furtherance of Kenya's approach to the 68th United Nations General Assembly (UNGA) meeting in New York last month when Uhuru missed out citing ICC pressures.

At the time, Kenya justified the UNGA miss saying the President “cannot be out of the country at the same time as the deputy President.” Ruto's trial at the ICC was ongoing.

“Owing to these developments, Kenya will for the first time since our independence 50 years ago, not be represented at a political level during the High Level Week of the United Nations General Assembly that the President was scheduled to attend from 23rd to 27th September 2013,” a State House statement announced ahead of the meeting.

The snub, in wording and tone, was a silent protest to the failure of UN Security Council to defer the case against the president.

Ngoma wapige wao sisi tucheze,ujinga gani huu,mbona wanaanzisha Jumuiya yao kinyemela na kuitenga TZ,ni wakati wa kutowasikiliza kabisa hawa wapuuzi,mara kujitoa ICC leo kujitoa EAC leo kujitoa commonwealth,kesho watakuja na hoja ya kutaka tujitoe UN eti na sisi tuwasindikize,siyo wa kuwasikiliza kabisa hawa .Nitashangaa sana kama na sisi tutajiunga katika msafara wa hawa marais wauaji wezi wa kura wakagange yao huko The Hague.watuache tupumue.
 
If Uhuru is innocent, then why is he afraid to to to The Hague?
He can go to The Hague and prove his innocence and put this matter to rest once and for all.
The guilty are and will always afraid of the justice

Hakuna cha,,kujitetea,,,kwanani,,,hii,,he he he he,,,eti,,ICC,,,,,,,,
this Toy of the dying imperial powers??????

Hakuna wakati wa michezo ya aina,,,hiyo.

Kwani,,Uhuru haendi popote. Watu wasipoteze
wakati wakifikiri,,,hayo ya,,wezekana,,,,

It has never happened,,,we have broken many
world records,,,,but,,this one of our president
to be the first one to take himself,,with his own
legs,,,,to a foreign land,,,to be condemned,,,
rightly or wrongly,,,,


Let those who have never broken any record,,in this world,,,,
let them have it,,for free,,,but,,very sorry,,, not this one we do not
need it..

The president of Kenya,,,,the conqueror of Raila Odinga and the
British empire,,,his Excellency,,,,Simba wa mandovu,,,,,

UHURU KENYATTA.

The last savior and defender of Kenya's dignity.

They should have started,,,those,,funny sanctions of theirs,,if at
all,,they were ever serious,,the British,,US and co.

No one will,,ever,,able to harm,,us,,,NOBODY.

For they are the biggest,,COWARDS,,EVER IN OUR TIMES.



That is why,,they are tapping,,each other's,,,phones,,there
in their world,,that is in the west,,,led by the USA,,,,,for they
are never secure,,even of their brothers and friends.

Babylon is falling.


Foolish them,,all.
 
What has this got to do with Tanzania? Uhuru was addressing Kenyans during Uhuru or rather Mashujaa day, let Kenyans dance the tune of their drummer!

Sent from my BlackBerry 8900 using JamiiForums
 
People expected Uhuru kenyatta to go on TV and start addressing the nation,,,,
one of these evening:smile-big: ,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,

"Wanaichi watukufu,,kama vile mwa elewa kwamba kesho,,, ninaelekea Hague,,,,,,
kujibu mastaka ya Rape,,,,,,
na bunduki,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,"

Give me a big break bro,,,,,,,,,

It will never happen,,,in this days and age,,,,,president of Kenya,,,,the
most democratic country in Africa,,,,the economic powerhouse of
Eastern Africa,,,,Kiboko of the feared Al-Shabab???????

This is Kenya and not Congo,,nor is it Sierra Leon or Mozambique.

This is Kenya where the president was elected,,,getting 52% of Kenya people's
approval,,,in the glare of all cameras,including binoculars and microscopes of all who those
enemies and friends of Kenya,,led by the God of all gods,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,

The USA
.

This is not South Sudan where the president was just picked,,nor are
we,,even close to any one around us.

Even pharaohs in Egypt have been doing worse than us,,,and nobody talks
about them,,,,,,they toppled the government,, killed,,maimed,,detained
thousand of people,,,,,but when our enemies talk about Kenya,,,,they make it
look as if,,we are worse than Egypt,,worse than Syria,,,,,what Uhuru did
was hundred times than the sins of Al-Assad,,squared,,,,,when we all saw all,,
with our own eyes,,,,Al-Sad gassing his own people.

But you cannot say,,that confidently,,,that Uhuru did this or that,,,,, you
cannot,,,unless you hear it from Bint Sodas or that cocaine inhaling Argentinian.

We have been so democratic,,,,to much far that we have allowed,,,,foreigners,
space to poke their smelly and damned,,,,, noses.

But we warn them,,,,that it will no longer be the same.

We are far ahead,,in all quarters,,,and we know that.

We know our weakness and our strength.

The president of Kenya is answerable to Kenyans,,ONLY,,for are
the one who brought him,,where he is,,,and so,,ICC,,UN,,CORD nor
CORDESS have no powers over UHURU.

You fight Uhuru,,you are fighting more than 6,000,000,,
for the number keeps getting bigger by day,,,for,,,,,


They are all,,,defecting to JUBILEE.

UHURU NA KAZI,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,:smile-big:

Hurray,,,,,,,,,,,,,,,

Hatutishiki------na,,,,,tuko ngangari
 
Halafu uhuru anaonekana ni mlevi sana ndo maana anawaza kilevi mda wote. Angalia hayo macho yake na huo mdomo ulivyoungua kwa pombe kali utajua tu ni mlevi kupindukia.
 
Mimi nadhani haya mashtaka yamekaa kibinafsi zaidi kuliko tunavyodhani, wahusika wanajaribu kutumia mgongo wa siasa kupata nafuu ya mashtaka, tuchukulie mfano wangeshindwa uchaguzi, ndio tuseme kua wasingeenda huko the hague?? nadhani wangejaribu kupigania haki yao binafsi na kuiacha nchi na mataifa mengine mbali na mambo yao, haikushtakiwa nchi bali ni mtu katika ubinafsi wake na si vingine
 
Hakuna cha,,kujitetea,,,kwanani,,,hii,,he he he he,,,eti,,ICC,,,,,,,,
this Toy of the dying imperial powers??????

Hakuna wakati wa michezo ya aina,,,hiyo.

Kwani,,Uhuru haendi popote. Watu wasipoteze
wakati wakifikiri,,,hayo ya,,wezekana,,,,

It has never happened,,,we have broken many
world records,,,,but,,this one of our president
to be the first one to take himself,,with his own
legs,,,,to a foreign land,,,to be condemned,,,
rightly or wrongly,,,,


Let those who have never broken any record,,in this world,,,,
let them have it,,for free,,,but,,very sorry,,, not this one we do not
need it..

The president of Kenya,,,,the conqueror of Raila Odinga and the
British empire,,,his Excellency,,,,Simba wa mandovu,,,,,

UHURU KENYATTA.

The last savior and defender of Kenya's dignity.

They should have started,,,those,,funny sanctions of theirs,,if at
all,,they were ever serious,,the British,,US and co.

No one will,,ever,,able to harm,,us,,,NOBODY.

For they are the biggest,,COWARDS,,EVER IN OUR TIMES.



That is why,,they are tapping,,each other's,,,phones,,there
in their world,,that is in the west,,,led by the USA,,,,,for they
are never secure,,even of their brothers and friends.

Babylon is falling.


Foolish them,,all.

More than 25 African countries, including Kenya, actively participated in the formation of the ICC. Out of 15 judges of this organ, more than 6 are from Africa.
It would make a lot of sense for Uhuru had Kenya not participated in the formation of ICC from the beginning instead of barking on dismantling of ICC soon after he came into power.
Again, if Uhuru is innocent, then why can't he fly to the Hague and prove his innocence and put this matter to rest for good.
Uhuru must be held accountable for bankrolling mungikis to kill innocent non-gikuyus. Until ICC proves that he's innocent, then he has to face the wrath of justice in the Hague. Choices have consequences!
The guilty are afraid! Uhuru is scared of ICC
 
Hahahaha,,,eti,,Ulevi,,,,huu ni Ulevi wa,,,maaaana sana,,ulevi wa Faida tupu.

1.

Huu ulevi ndio ulimfanya amwangushe,,,eti,,he he he,,ha huuuu,,,Kinara Jakuom
Odinga Raila.

Huu ulevi ukamwangusha jakuom,,,kwani hata hakua na wakati wa kusikia
Uhuru,,akisema,,,

Chake Mate,,,,

Kwani Jakuom alijikuta amezirai chini,,aka amka,,kakimbia kwa wahisani wake,
the foreign diplomats,,,lakini hawakumsaidia,,,akakimbia Supreme Court,,,
hawakumsikia,,na sasa Jakuom amechanganyikiwa na hivi juzi alitaka
kumsaidia Uhuru eti kuondoa kesi.

2.

Ha ha ha,,ulevi wa faida tupu,,,,hivi sasa ma waziri wa kiafrika,,si Kenya,,,lakini
Africa ,,wakiongozwa na King of Kings,,the great Ethiopia,,,,,,,,wako,,,New York,,
wakiwa na message kwa,,,,the falling empire,,,,,,,,,,


Either you abandon those fullish charges against president Kenyatta of Kenya or,,,,,,,

Ulevi wa maana,,,hata mimi ningelitaka kua kama wewe,,,wana sema eti ni,,

Bhangi.

Bhangi ambazo zinasababisha marais 49 waje nyuma yako,,,,,

I love that kind of Bhangi and Ulevi.:smile-big::smile-big::smile-big:

This is great,,Africa,,,,,,,,,One Voice,,,,,because of Bhangi and Ulevi????????

Is it why that South American country is legalizing Bhangi?????i think they
know things we don't.

Viva Bhangi and Ulevi,,,,for making Kenya,,,,,Great.
....................................................................................................................................................................


Baada ya kuona eti watu,,hawacheki nao,,,,haka kajikorti,,,eti he he he
ICC,,,kameanza kuchanganyikiwa,,,na kuanza kusongesha date,,,he he
eti ya rais Kenyatta wakati angelifaa kuenda huko.

Tunawaambia,,,,,na Bado,,,,,,wacheni kupapatika,,,,kwani hata,,,
Earthquake haijaanza,,,kuweni wapole,,,wacha ma speedy:smile-big:.

I love seeing the imperialists and their damning supporters swimming
in the sees of,,,,,

Disappointment and Shame,,eti Rais wetu,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,mnacheza sana.

 
More than 25 African countries, including Kenya, actively participated in the formation of the ICC.
Out of 15 judges of this organ, more than 6 are from Africa.

We don't care,,,even if those damning judges,,were all Kenyans.

It is Kenyan who wants to fix their own comrades,,politically,,at Hague.

It would make a lot of sense for Uhuru had Kenya not participated in the formation of ICC from the beginning instead of barking on dismantling of ICC soon after he came into power.

USA was one of those countries which formed the ICC,,but withdrew from it,,withing
very short time of its formation.


So ICC is not that,,,,,,,,, Sacred.

Again, if Uhuru is innocent, then why can't he fly to the Hague and prove his innocence
and put this matter to rest for good.

These are the kind of statements i,, find,,very infuriating,,,very degrading and selfish.

How can a man,,,,elected by,,,more than 6,000,000 human beings,,,be answerable to juniors
like the ICC???????

Show us any example of,,when it happened,,where and which president of which country,,
who ever flew to some,,,Hague or whatever,,to answer charges,,,,whether Innocent or NOT.


And if any one expected Kenya to the first country to do so,,,because we love breaking all
kind of world records,,we say,,,,Nay, nay and never in our life times.


We have been a very open society,,,our press has been,,one of the most free even more
than countries in Europe,,like Turkey.

Then you want our president to stoop so low and be answerable to a worst Kangaroo
court,,ever in the history of mankind??????

The same charges as those of Taylor,,the same charges as of this former president of
Sierra Leon,,,the same charges to all African leaders,,as if everything happened in the
same place,,,,


Of rape, murder,,the same story as if it is,,,copy and paste,,,but you got it wrong,,for
this is Kenya.

Those charges,,eti Kenyatta bankrolled whatever,,,,if you have proof,,,,then you can
be very helpful to this former justice minister of Gambia,,where his president could
shot at any minister of his government and kill,,,laugh very loudly and approve
that pistol which had been given to him,,,as a present.

This former minister cum prosecutor,,,wanting to prosecute Kenyatta when
worst was committed in her own government of Gambia,,this Bint Sodas.

That is why we see hypocrisy everywhere,,,in UN,,ICC with this black painted
judges brought,,,from wherever to put a nail on their own black comrades
from Africa and we tell them all,,,,,,that,,,,,,,

We have our own god given minds,,,and we use them,,,we are not as dumb as
you deceives yourselves.

We will defeat your wicked maneuvers to try decolonize us,,,we are smarter
and more educated than ever.


I stood for hours,,,lining up to cast my vote for Uhuru,,,then some funny
skinned homos,,,wobbles from nowhere and heap charges on my president.

Shame on you,,,it will Not happen and ,,,,,,,,,,,, Never.

President of Kenya???????????? What a bad Joke,,,,let people wake up from
their Slumber,,,better,,wake up and face the harsh reality.


That ICC is becoming scared of Uhuru Kenyatta,,these days,,,first,,,

They allowed him to skip some sessions,,,then,,the next week,,,
pushing the date,,,,,eti commencement date,,,,

Wacheni kupapatika,,,,hata mchezo haujaanza.

Bottom line,,,,whether Uhuru is Innocent or Not,,,,he cannot,,,he will NOt
go so low and start taking orders from,,,,,juniors,,,,one being,,Bint
Sodas,,,but heko lady,,,,,

Siku hizi umejifundisha adabu mzuri,,,,huyu binti wa masilahi ya Mabepari wa
Ulaya.


Have a nice Christmas,,,Judge,,Uji,,,and,,,,,mrs Sodas,,,in Europe.
 
Ngoma wapige wao sisi tucheze,ujinga gani huu,mbona wanaanzisha Jumuiya yao kinyemela na kuitenga TZ,ni wakati wa kutowasikiliza kabisa hawa wapuuzi,mara kujitoa ICC leo kujitoa EAC leo kujitoa commonwealth,kesho watakuja na hoja ya kutaka tujitoe UN eti na sisi tuwasindikize,siyo wa kuwasikiliza kabisa hawa .Nitashangaa sana kama na sisi tutajiunga katika msafara wa hawa marais wauaji wezi wa kura wakagange yao huko The Hague.watuache tupumue.

Tanzania has had all the time and years to engage in meaningful promotion and development of the EAC but chose to ignore, you now feel vulnerable and you have been your own worst enemies, and now you are throwing the blame on the wrong group. blame yourselves.

a peaceful east african community free of conflicts, with booming economic development, and infrastructural transformation is possible
 
Back
Top Bottom