Mna hele nyinyi?Hela yetu ndio inatupea jeuri ya kudeka tunavyotaka, acheni ukajanja boresheni mazao yenu kaama mnataka soko.
Tatizo letu kubwa ni kutojua tu namna ya kuzitumia raslimali zetu vizuri kwa ajili ya maendeleo yetu.Natunajiita nchi ya viwanda.... Japo hili neno msimu huu wa pili halisikiki kabisa
Ni kweli tuna rasilimali za kutosha.. yatupasa kuzitumia inavyotakiwa mapemaTatizo letu kubwa ni kutojua tu namna ya kuzitumia raslimali zetu vizuri kwa ajili ya maendeleo yetu.
Hili ndilo linalotusumbua, lakini najua hatimaye tutalipatia ufumbuzi.
Hawa Kenya kuhangaika kwao kote huko ni kujua jinsi nchi yetu ilivyo na neema.
Kadri tunavyozidi kuwabana wasifaidi neema yetu kwa wizi na ulaghai, ndivyo wanavyozidi kuhangaika.
sasa hii picha inatakiwa ikuweke sawa wewe.sio sisi.[emoji28][emoji28][emoji28]unakuwaga mjinga sana weww.Hii picha iwafundishe kwanini hamfai kutunisha misuli kwa hili..... mtumie ubongo na busara
Kama haujui kingereza tafuta mtu akutafsirie.
hata mkijua hakuna sumu,mtawauzia kinguvu??Tuache siasa katika mambo ya kisayansi, let us tests our produce na kuwaprove wrong. Tuache kengele zisizo na mashiko. Nasikia ndio wanajifaragua kuanza kupima hii inamaana hata watanzania inawezekana tulikuwa hatarini kwa kula mahindi ambayo hayajapimwa. Ni hatari sana. Nimeona matangazo za madawa ya kukaushia mahindi na watu wasiyaweke au kuanikia juu ya udongo watumie vifaa vya kuanikia kuavoid hizo shida.
Binafsi ningependelea hizi raslimali tuzitumie haraka kujenga raslimali nyingine za kudumu zaidi, kama raslimali watu.Ni kweli tuna rasilimali za kutosha.. yatupasa kuzitumia inavyotakiwa mapema
Hapana. Bali kwa asilimia kubwa Tanzania, Uganda, Kenya na nchi nyingi za Afrika 90% wanatumia kama unga. Faida ipo zaidi kwenye unga in other words.Hivi kazi ya mahindi ni unga pekee?
Huyo jamaa sijui kama kichwa chake kipo timamu, kwake hata ukabila wa Kenya anaugeuza kuwa mtaji wa kujisifu dhidi ya Tanzaniasasa hii picha inatakiwa ikuweke sawa wewe.sio sisi.[emoji28][emoji28][emoji28]unakuwaga mjinga sana weww.
Sawa sawa mkuuHapana. Bali kwa asilimia kubwa Tanzania, Uganda, Kenya na nchi nyingi za Afrika 90% wanatumia kama unga. Faida ipo zaidi kwenye unga in other words.
Unaacha kula ugali? Au unategemea mahindi ya kununua?Umenena kweli kabisa. Serikali yetu ilifanya kuna kipindi ilikosea sana, yaani maafisa kilimo wale wa mpaka vijijini waliondolewa, kwa sehemu kubwa kwa sababu ya maslahi binafsi ya wanasiasa wachache, so wakulima wameendelea kulima with no utalaamu na uhifadhi na matokeo yake ndiyo hayo.
Wewe cheki tu hata Tanzania, yaani cancer mpaka vijijini, kuna hiki kituo cha ufafiti ya kilimo ukiwatembelea hakika utaacha kula ugali. Mimi tangu nijue hilo nilishaacha kula ugali wa mahindi ni muhogo kwenda mbele.
Nadhani wizara ya kilimo waweke mkakati maalumu, wawarejeshe au waajiri maafisa kilimo waende vijijini wasaidie wananchi namna ya kuvuna na kuhifadhi chakula. Yaani hata kwenye maghala yetu ni tatizo.
Kuna jamaa yangu mzigo wake wa tani moja ya karanga ulizuiliwa kuingia UK, ikabidi urudi bongo na kuuteketeza.
Na nzige walikula mazao yaoKenya watakula nini sasa maana bila Tz chakula hawapati
sasa hii picha inatakiwa ikuweke sawa wewe.sio sisi.[emoji28][emoji28][emoji28]unakuwaga mjinga sana weww.
huna akili mdogo wangu.Mimi ni mteja mwenye hela yangu na uhuru wa kuchagua wapi pa kununua, hiyo picha inapaswa ikuonyeshe wewe MATAGA unayeuza kwamba kwa wote hao wateja wako, mimi ndiye baba lao na nikichomoa unang'aka kweli kweli.
Nadhani hakuna maziwa ya unga kutoka Kenya yanayoingia Tanzania, maziwa ya kampuni ya brookeside yalikuwa yanakuja lakini kwa sasa siyaoniSoon ndege za Kenya zinapigwa ban hahaha
Rais wetu njoo huku umechokozwa...
........updates......
Maziwa ya unga yoka Kenya tayari yanajadiliwa kutoingizwa nchini