vulcan
JF-Expert Member
- Apr 2, 2012
- 1,742
- 2,459
Yes, kuna soko la Tanzanite yenye chapa za Tanzania, hilo nakubali.
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yes, kuna soko la Tanzanite yenye chapa za Tanzania, hilo nakubali.
Sent using Jamii Forums mobile app
Pia mlikuwa mnauza Tanzanite kushinda Tanzania. Ila kwa Sasa takwimu zinasoma vipi?
Tulia sio muda mrefu takwimu za parachichi utaziona tu. Halafu acha Kuhamisha magoli. Kusali ni kawaida yetu.
Umeshafua mask ulizookota?
Sent using Jamii Forums mobile app
Ngoja atafute tweet akujibu 😆 😆😆😆Sasa TAHA wenyewe wanasema you are producing only 7000 tonnes annualy ...hizo ni takwimu za Serikali yenu kaka.
siyo mimi kusema
View attachment 1424156
View attachment 1424157
Watu wa maajabu sana hawa... 7000 tonnes hata wakiuza yote Kenya itakuwa 7000 / 110000 ....a measly 6 % ..Ngoja atafute tweet akujibu 😆 😆😆😆
Kulikoni zingeoza, bora zikaliwe
Hiyo ni production kwenye wilaya moja tu ya Siha mkuu. Bado mikoa mingine. Huko Njombe kuna production kubwa sana na ndio mnako source parachichi na kuzifanyia packaging ya lebo yenu.Sasa TAHA wenyewe wanasema you are producing only 7000 tonnes annualy ...hizo ni takwimu za Serikali yenu kaka.
siyo mimi kusema...
Commercial production of avocados is dominated by RAC and Africado Limited, which is based in Siha District, Kilimanjaro Region.
The two companies jointly produce more than 5,000 tonnes per year.
Kwa hivo wakulima wanazalisha 2000 tonnes only...
View attachment 1424156
View attachment 1424157
Hiyo ni production kwenye wilaya moja tu ya Siha mkuu. Bado mikoa mingine. Huko Njombe kuna production kubwa sana na ndio mnako source parachichi na kuzifanyia packaging ya lebo yenu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Can you read well...TAHa says tz produces only 7,000 tonnes... Go argue with themHiyo ni production kwenye wilaya moja tu ya Siha mkuu. Bado mikoa mingine. Huko Njombe kuna production kubwa sana na ndio mnako source parachichi na kuzifanyia packaging ya lebo yenu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Can you read well...TAHa says tz produces only 7,000 tonnes... Go argue with them
kwa hivo kama tunanunua avocado zenu.. Zetu tunapeleka wapi.
Jiwe ni game changerNa KIA imeanza usafirishaji wa mazao [emoji23]
Mbona safari hii itajulikana nani ni nani [emoji23]
Ndio maana hawampendi 😂 anawanyoosha mno.
Ndio maana hawampendi [emoji23] anawanyoosha mno.
Wajiandae kisaikolojia 😂Jiwe bado hajaanza kuwanyoosha hapa yupo anaziba gape zao tu
The great massacre is coming akikamilisha mitego yake
Sent using Jamii Forums mobile app
tunasubiri mwakani 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Wajiandae kisaikolojia 😂