Nyinyi mna mnapenda mboga, Hilo siyo tatizo Kwa hakuna asiuependa.mboga. lakini tatizo hamna huko mboga zaidi ya sukuma wiki tu. Matunda mpaka mje kuyanunua Tanzania. Machungwa, mananasi, embe, ndizi mnanunuwa Tanzania. Tena afadhali watu wa pwani ya Kenya kidogo, Hilo Wana matunda matunda kiasi, pwani wana zile apple mangoes na viembe vingine kidogo na nazi kiasi. Ardhi yenyewe ya kulima pwani mnayo? Labda Wakikuyu wale wenye uhusiano na koo zilizoshika madaraka huko (ndiyo wenye pesa nje ya wazungu, Waarabu na wahindi) kidogo wamshheinunua na iliyobaki ya Salehe nguru.