Kenya yazidi kupaa "Ease of doing business", hamjakoma bado


Mchane huyo dogo, mwambie kwa siasa za kisayansi na mikakati ya bongo ni hapo kwao tu hatujatia timu, ila 2022 tutafanya maajabu kwa kuweka mtu wetu..kama tulivyofanya sehemu nyingine zinazotuzunguka.
 

Huyo Lowassa si niliskia alikua kwenye mission, na karudi "home"
 
Huyo Lowassa si niliskia alikua kwenye mission, na karudi "home"
That is your problem. Unasikia, sijui unasikia wapi.

Siasa za Tanzania huwezi kuzielewa. Wewe chill down ujifunze mengi.
 
Hehee, we jamaa bhana, utapata tabu sana, mwanasheria ni mwepesi mnoo, angalia mkutano wao Leo mbagala, compare na 2015 mbagala, Enzi za lowasa. Utaelewa kitu nakwambia.
 
Hehee, we jamaa bhana, utapata tabu sana, mwanasheria ni mwepesi mnoo, angalia mkutano wao Leo mbagala, compare na 2015 mbagala, Enzi za lowasa. Utaelewa kitu nakwambia.

Kwa namna mlikua mnaendesha siasa yaani upinzani ulikua kama umezikwa vile, ilikua nusra wasahaulike, ila naona ghafla wameamka upya, mna kazi kwa mwanasheria.
 
Kwa namna mlikua mnaendesha siasa yaani upinzani ulikua kama umezikwa vile, ilikua nusra wasahaulike, ila naona ghafla wameamka upya, mna kazi kwa mwanasheria.
Hakuna kazi, hapo ni mteremko wa mlima kitonga
 
Hakuna kazi, hapo ni mteremko wa mlima kitonga

Duh ila kw hilo la Mbowe kufukuza TBC kuna kasoro hapo, upinzani kwenu hawajajipanga na watachelewa sana wakianza ugomvi na wanahabari. Wasiige ubabe wa CCM dhidi ya vyombo vya habari maana wale ndio wenye dola wana uwezo wowote, ila kwa upinzani wanahitaji sana sympathy ya media.
Kwa hilo tukio walijifunga bao la kwanza wakati wanafungua dimba.
 
mimi binafsi sikujua jamaa amefikiria nini!!

labda ni sehemu ya mikakati katika kutafuta sababu ya kuhalarisha kushindwa uchaguzi.
 
Uliona eh, ni kosa la kimkakati walilifanya jana, na ni baada Ya tbc kuchukua aerial pctr ya umati kutokea juu, which depicted their scarce supporters ukicompare na 2015.
Hivi kwa kazi alofanya magu inayoonekana, ni ngumu kushawishi uma eti waachane nae.
 
Aisee kumbe hii kitu iko manipulated!

World Bank wamefreeze hii report mpaka hapo watakapofanya marekebisho.

The dataset was cooked by the usual crooksπŸ™‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…