The Quonquerer
JF-Expert Member
- May 14, 2009
- 777
- 111
But by another indicator by Geary - Khamis in international dollar (ina maana yake) inaonyesha kuwa kwa kipimo cha mwaka 2007. Tanzania ni 84% ya uchumi wa Kenya. This one is realistic since it combimes both PPP and prices of commodities. Kenya ni 11 kwa Africa na sisi ni wa 12, tena tunafuatana. ni 76 duniani na sisi wa 82..wao wana 57,700 na sisi 48,900 kwenye dola ya kimataifa. We can do it! sasa tusijidharau, if mr kantai can tie a tie, why can't i tie a tie?......