Kenya yazuia Unga wa ngano na Gas ya kupikia toka Tanzania

Kenya yazuia Unga wa ngano na Gas ya kupikia toka Tanzania

Mnalazimisha tukubali ngano yenu ya bure?Ntarudia tena,hatutakii chakula cha bure!hehe!Simwape wasudi kule Juba?


Kwanza we have done them a favor.....

http://m.ippmedia.com/en/news/study-most-tanzanian-population-faces-real-hunger

Tanzania: Magufuli Won't Give Food, 'Even to Those Facing Hunger'

They should be using that food to feed their people instead of forcing us to buy it. We wanted their maize, they refused to sell it to us, instead offering us wheat, as if we dont have that.
 
FB_IMG_1498635659059.jpg
 
t
Unapo ingilia masuala ya siasa nchi nyengine ndo matokeo yake haya.
Ni wazi mkuu anamsaidia rafikiye raila kushinda urais , matokeo yake ni haya.
Tusilaumu lakini tujiulize jee kenya na uhuru wangeweka msimamo uchaguzi wetu 2015 hasa kule znz na kumtambua Seif kuwa mshindi halali ingekuwaje ?
tusipotoshe umma ,magufuli hajaingilia mambo yao ya ndani km kenye,urafiki wao na yule jamaa ni wa muda na alimtembelea akiwa hana nyadhifa nzito ccm,mbona mamvi kasema yy anaunga mkono kenyatta je kuna bifu?wao ndo wanapenda kukomenti mambo yetu.
lakini ndo vizuri kwn biashara lazima tufanye na kenya?
pia tunapoteza muda,tungevunja tu mahusiano nao
 
Unapo ingilia masuala ya siasa nchi nyengine ndo matokeo yake haya.
Ni wazi mkuu anamsaidia rafikiye raila kushinda urais , matokeo yake ni haya.
Tusilaumu lakini tujiulize jee kenya na uhuru wangeweka msimamo uchaguzi wetu 2015 hasa kule znz na kumtambua Seif kuwa mshindi halali ingekuwaje ?
Yaani ukishataja Maalim Seif unazidi kunivuruga.
 
Isnt a member country entitled to do this in case it is experiencing a glut of a particular product in its market?


Kenya's grain production rebounds

Wheat imports banned, prices raise to protect local farmers


I tried to explain this in the past pages but got called "shoga" by that surly and Kenyaphobic character by the name Annael.

Would it make sense if we were selling to u maize at time when u are having good harvests and little market for your produce?

Ours was not intended to undermine Tanzania. I know that we are currently not in good terms, but things havent gotten to that level, it shouldnt.

Why all the war- cry and Kenya bashing here?
But isn't it high time that we in the EAC have a single market controlled for the most part by the forces of demand and supply?
 
Binadamu ametofautishwa na wanyama wengine kwa kigezo cha IQ na ustaarabu, ukiondoa hayo binadamu kwa sehemu kubwa anakua ni mnyama.

Kama kweli nchi hizi mbili (Tz na Kenya) zimepakana hapa hapa EA na hata baadhi ya watu wake wamefanya inter-marriage lakini nchi hizi zinashindwa kuelewana kwa mambo ya kisiasa ambayo kimsingi hayana tija sana ukilinganisha na maisha ya kila siku ya watu wao, sisi waafrika tuna tabu sana kuanzia IQ mpaka ustaarabu.

Leo sisi majirani hatuelewani kesho tunanunua bidhaa ya mzungu wa ulaya, hivi kipi bora kati ya kumsaidi jirani yako kuinuka au kumsaidia mtu wa mbali?

Hii ngozi ya kiafrika ni tatizo sana
 
Back
Top Bottom