kadoda11
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 21,453
- 20,746
acha na nieleze kidogo uzoefu wangu kuhusu wajaluo na wakikuyu.
awali ya yote,kuna baadhi ya vijitabia vya wajaluo vinashabihiana kwa kiasi kikubwa sana na vijitabia vya jamaa fulani toka kabila moja maarufu kaskazini magharibi mwa tanzania kando kando mwa ziwa Victoria.
hakuna shaka kwamba wajaluo ni wasomi,wengi wamefanikiwa angalau kufika ngazi ya elimu ya chuo kikuu.
wajaluo ni watanashati sana,wanamajivuno sana,wanajisikia sana,wanapenda sifa sana.
ni kabila pekee nchini kenya ambalo watu wake hujisikia fahari sana kumudu kuzungumza kingereza hata kama kwa kuunda sentence mbili au tatu za lugha hiyo.
ni watu wanaopenda kuonyesha wanajua kila kitu.kwa mfano ukifika katikati ya nairobi, kuna vijiwe kabisa ambavyo wajaluo hukusanyika kuchambua siasa na masuala mbalimbali ya Kenya.
mkikuyu ni mfanyabiashara.
kielimu si msomi sana kama jaluo.ila ni wajasiriamali wakubwa sana.
karibia majumba yote ya kupangisha Nairobi ni ya wakikuyu.
matatu(daladala) za Nairobi karibia zote ni za wakikuyu.
maduka mkubwa ya bidhaa mbalimbali muhimu ni ya wakikuyu.
majumba ya starehe karibia yote katikati ya Nairobi ni ya wakikuyu.
tajiri namba moja mweusi nchini kenya,ni mkikuyu.
hawa watu ujasiriamali upo kwenye damu yao tangu kizazi kimoja mpaka kingine.ni watu ambao kwao ni kawaida kutoa uhai wa mtu ili tu awe tajiri.mkikuyu anatafuta utajiri kwa mbinu zozote,ziwe halali au haramu mradi tu atimize ndoto yake ya kuwa mtu mwenye mali nyingi.
awali ya yote,kuna baadhi ya vijitabia vya wajaluo vinashabihiana kwa kiasi kikubwa sana na vijitabia vya jamaa fulani toka kabila moja maarufu kaskazini magharibi mwa tanzania kando kando mwa ziwa Victoria.
hakuna shaka kwamba wajaluo ni wasomi,wengi wamefanikiwa angalau kufika ngazi ya elimu ya chuo kikuu.
wajaluo ni watanashati sana,wanamajivuno sana,wanajisikia sana,wanapenda sifa sana.
ni kabila pekee nchini kenya ambalo watu wake hujisikia fahari sana kumudu kuzungumza kingereza hata kama kwa kuunda sentence mbili au tatu za lugha hiyo.
ni watu wanaopenda kuonyesha wanajua kila kitu.kwa mfano ukifika katikati ya nairobi, kuna vijiwe kabisa ambavyo wajaluo hukusanyika kuchambua siasa na masuala mbalimbali ya Kenya.
mkikuyu ni mfanyabiashara.
kielimu si msomi sana kama jaluo.ila ni wajasiriamali wakubwa sana.
karibia majumba yote ya kupangisha Nairobi ni ya wakikuyu.
matatu(daladala) za Nairobi karibia zote ni za wakikuyu.
maduka mkubwa ya bidhaa mbalimbali muhimu ni ya wakikuyu.
majumba ya starehe karibia yote katikati ya Nairobi ni ya wakikuyu.
tajiri namba moja mweusi nchini kenya,ni mkikuyu.
hawa watu ujasiriamali upo kwenye damu yao tangu kizazi kimoja mpaka kingine.ni watu ambao kwao ni kawaida kutoa uhai wa mtu ili tu awe tajiri.mkikuyu anatafuta utajiri kwa mbinu zozote,ziwe halali au haramu mradi tu atimize ndoto yake ya kuwa mtu mwenye mali nyingi.