Kenya: Zifahamu jamii mbili zenye nguvu nchini Kenya

Kenya: Zifahamu jamii mbili zenye nguvu nchini Kenya

[emoji87] [emoji86]

Kumbe ndiyo maana weusi mpaka wanatisha....
Dah sisteh, wanatisha eti? We acha bana angalia hela sura sisi tunatumiaga tu kujitambulisha kwenye I.D! Hehehe! Wah, kwa maneno haya, wenzangu wataniua aisee!🙂
 
Hahahahaaa,umenikumbusha jana Balile kwenye press conference anamtolea mfano eti mtoto wake anaingia chuo kikuu sijui kamuuliza nini eti,wahaya kwa kujisifu bwana.Ndo itakuwa wahaya unawafananisha na wajaluo.
 
[emoji31] [emoji30] [emoji119] [emoji119]
Hela ninazo nataka sura nzuri.
Ushapata, ukoo wangu unatoka Israel kwa hiyo sura si ya kikenya!😀 Una mambo we dada, itakuwa wewe ni wale wa Rombo, nakualika ntakupokea pale Namanga nikutembeze mitaa ya Nairobee! Si hela umesema unazo?Hehe!
 
Afu mnaongelea wanaume tu,au vipi? Wanawake wa kijaluo huwa nawaogopa,kwenye ugomvi wa nyumbani wao ni ving'ora aisee! Wanaitaga wapita njia hadi na majirani wote kwanza, afu ndo wanaanza zao, na kile kiswahili chao! ''Hii ndo manaume buure! Osiepna,huyu ni buuure kabisa, ang'oa! Manaume wanakula omena na ugali kilo mbili na avocado tatu na uji na hawashibi! Uuuuwi, alafu usiku wanachukua nyonyo yangu wanamaliza chakula wote wa matoto yangu Omoss! Hadi Omoss wameshikwa na marassmass! Uuuwi okethoree'' Hehe😀😀😀
😀 😀 😀 😀 😀 😀 Kwikwikwikwikwiiiiii... umenichekesha sana...
 
Rekee ngwere morio, ithue agikuyu twendete mbeca ciitu ta caitaani!😀 Umesahau tabia yetu ya kuongea kikikuyu hata tukiwa wawili tu katikati ya watu kumi wasiofahamu lugha hiyo? Kama haijakuudhi utakuwa unapenda kikikuyu wewe! Hapo kwa kuuana kwa sababu ya pesa ndo sasa umetia ukakasi!
Ahaaa ,kumbe wewe ni msapere ? Nyinyi watu bwana mmetushika koo kabisa kiuchumi hata pale kwetu nyumbani North Imenti kwa sisi waMeru.
Halafu nikija Nairobi nyumba ni yenu ,kampuni ya maji ni yenu ,maduka ni yenu ,magari ya usafiri ni yenu na mara nyingine unapata hata mwajiri kazi ni mkikuyu.Aisee sasa pesa zote unazo ingiza zinarudi tu kwa mkikuyu.
 
acha na nieleze kidogo uzoefu wangu kuhusu wajaluo na wakikuyu.

awali ya yote,kuna baadhi ya vijitabia vya wajaluo vinashabihiana kwa kiasi kikubwa sana na vijitabia vya jamaa fulani toka kabila moja maarufu kaskazini magharibi mwa tanzania kando kando mwa ziwa Victoria.

hakuna shaka kwamba wajaluo ni wasomi,wengi wamefanikiwa angalau kufika ngazi ya elimu ya chuo kikuu.

wajaluo ni watanashati sana,wanamajivuno sana,wanajisikia sana,wanapenda sifa sana.

ni kabila pekee nchini kenya ambalo watu wake hujisikia fahari sana kumudu kuzungumza kingereza hata kama kwa kuunda sentence mbili au tatu za lugha hiyo.

ni watu wanaopenda kuonyesha wanajua kila kitu.kwa mfano ukifika katikati ya nairobi, kuna vijiwe kabisa ambavyo wajaluo hukusanyika kuchambua siasa na masuala mbalimbali ya Kenya.

mkikuyu ni mfanyabiashara.
kielimu si msomi sana kama jaluo.ila ni wajasiriamali wakubwa sana.

karibia majumba yote ya kupangisha Nairobi ni ya wakikuyu.

matatu(daladala) za Nairobi karibia zote ni za wakikuyu.

maduka mkubwa ya bidhaa mbalimbali muhimu ni ya wakikuyu.

majumba ya starehe karibia yote katikati ya Nairobi ni ya wakikuyu.

tajiri namba moja mweusi nchini kenya,ni mkikuyu.

hawa watu ujasiriamali upo kwenye damu yao tangu kizazi kimoja mpaka kingine.ni watu ambao kwao ni kawaida kutoa uhai wa mtu ili tu awe tajiri.mkikuyu anatafuta utajiri kwa mbinu zozote,ziwe halali au haramu mradi tu atimize ndoto yake ya kuwa mtu mwenye mali nyingi.
Eti wajaluo ni watanashati?hilo nimesikia na wewe
 
acha na nieleze kidogo uzoefu wangu kuhusu wajaluo na wakikuyu.

awali ya yote,kuna baadhi ya vijitabia vya wajaluo vinashabihiana kwa kiasi kikubwa sana na vijitabia vya jamaa fulani toka kabila moja maarufu kaskazini magharibi mwa tanzania kando kando mwa ziwa Victoria.

hakuna shaka kwamba wajaluo ni wasomi,wengi wamefanikiwa angalau kufika ngazi ya elimu ya chuo kikuu.

wajaluo ni watanashati sana,wanamajivuno sana,wanajisikia sana,wanapenda sifa sana.

ni kabila pekee nchini kenya ambalo watu wake hujisikia fahari sana kumudu kuzungumza kingereza hata kama kwa kuunda sentence mbili au tatu za lugha hiyo.

ni watu wanaopenda kuonyesha wanajua kila kitu.kwa mfano ukifika katikati ya nairobi, kuna vijiwe kabisa ambavyo wajaluo hukusanyika kuchambua siasa na masuala mbalimbali ya Kenya.

mkikuyu ni mfanyabiashara.
kielimu si msomi sana kama jaluo.ila ni wajasiriamali wakubwa sana.

karibia majumba yote ya kupangisha Nairobi ni ya wakikuyu.

matatu(daladala) za Nairobi karibia zote ni za wakikuyu.

maduka mkubwa ya bidhaa mbalimbali muhimu ni ya wakikuyu.

majumba ya starehe karibia yote katikati ya Nairobi ni ya wakikuyu.

tajiri namba moja mweusi nchini kenya,ni mkikuyu.

hawa watu ujasiriamali upo kwenye damu yao tangu kizazi kimoja mpaka kingine.ni watu ambao kwao ni kawaida kutoa uhai wa mtu ili tu awe tajiri.mkikuyu anatafuta utajiri kwa mbinu zozote,ziwe halali au haramu mradi tu atimize ndoto yake ya kuwa mtu mwenye mali nyingi.
Eti wajaluo ni watanashati?hilo nimesikia na wewe
 
Ahaaa ,kumbe wewe ni msapere ? Nyinyi watu bwana mmetushika koo kabisa kiuchumi hata pale kwetu nyumbani North Imenti kwa sisi waMeru.
Halafu nikija Nairobi nyumba ni yenu ,kampuni ya maji ni yenu ,maduka ni yenu ,magari ya usafiri ni yenu na mara nyingine unapata hata mwajiri kazi ni mkikuyu.Aisee sasa pesa zote unazo ingiza zinarudi tu kwa mkikuyu.
Naatia mukuru? Muuga? Keke! Naatia ukuthithia eeh? Uriuga vionthe hadharani mukuru?Aiii!
 
Kweli kabisa, ukiondoa wale walio danganywa, waliobaki ni wahagaikaji wazuri. Halafu hao jamaa sio watu wa kulalala hovyo hovyo, kutwa wako macho.
pia wapo wengine kutoka Kigoma wanakuja kwa kasi sana...ni Waha hawa jamaa ni wavumilivu sana kwenye biashara...japo biashara zao maeneo mengi ni ndogo ndogo wengi wamejipanga vizuri...hata mbuyu ulianza kama mchicha
 
Afu mnaongelea wanaume tu,au vipi? Wanawake wa kijaluo huwa nawaogopa,kwenye ugomvi wa nyumbani wao ni ving'ora aisee! Wanaitaga wapita njia hadi na majirani wote kwanza, afu ndo wanaanza zao, na kile kiswahili chao! ''Hii ndo manaume buure! Osiepna,huyu ni buuure kabisa, ang'oa! Manaume wanakula omena na ugali kilo mbili na avocado tatu na uji na hawashibi! Uuuuwi, alafu usiku wanachukua nyonyo yangu wanamaliza chakula wote wa matoto yangu Omoss! Hadi Omoss wameshikwa na marassmass! Uuuwi okethoree'' Hehe😀😀😀
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Back
Top Bottom