Aiseeeeeee, kumbe ndo maana kabadili ID maana hata tabia ilibadilika[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Toyota escudo kwa kujazia tu,lawmaina ndio @MK254.alibadili ID
Heri ya siku ya pentekostoNimechelewa kufikia huu uzi nilikuwa Kanisani kwa leo!
Hahahaha....[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]kadoda 11, huyu Edward wanjala hata mimi nahisi ana unasaba na tz, hili jina lake la wanjala kwa asili ya kule kwetu walikuwa wanapewa watu wanaozaliwa wakati wa njaa[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Sijui yeye ina maana gani
Off topic kidogo
Hahahaha! Daah! Wataita/Taveta huita Mwanjala au Wanjala tu hivyo hivyo, Wanyamwezi huwa nalo pia??kadoda 11, huyu Edward wanjala hata mimi nahisi ana unasaba na tz, hili jina lake la wanjala kwa asili ya kule kwetu walikuwa wanapewa watu wanaozaliwa wakati wa njaa[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Sijui yeye ina maana gani
Off topic kidogo
Una maana kabila la wanyamwezi? kama ni ndio Sina uhakika maana sio kabila langu na sikifaham kinyamwezi!Hahahaha! Daah! Wataita/Taveta huita Mwanjala au Wanjala tu hivyo hivyo, Wanyamwezi huwa nalo pia??
Mwanjala atakuwa mwanamke kama sikosei,Hahahaha! Daah! Wataita/Taveta huita Mwanjala au Wanjala tu hivyo hivyo, Wanyamwezi huwa nalo pia??
ulinicomfort sana nilipoibiwa chupi zangu na wakenya
tanzania pia kuna baadhi ya koo hutumia jina la wanjala.Hahahaha! Daah! Wataita/Taveta huita Mwanjala au Wanjala tu hivyo hivyo, Wanyamwezi huwa nalo pia??
Pole kwa mafua jirani!Nimeshikwa na mafua kali, tokea asubuhi nimeketi kwa nyumba napitia forum na simu.. Anyway sahii angalau imepungua, From my view.. Mwanzi1 ako very persistent, ukianzana na yeye mtaenda mpaka uamue wacha yaishe, I salenda! Haha,
Kadoda11 has pia hua ako sensible .... Geza nashuku hua anashikwa na wazimu mara nyengine hahahaha, anyway, tunampatia kwa kuhakikisha yeye ni enemy number 1 kwa wakenya
Kwa upande wa kenya, MK254 ye ndo nanga ya wakenya, siku akipotea basi hapa patakua hapana raha tena, Sam999 , Iconoclas... What? Hilo jina ulipata wapi? Hua nashindwa kulitaja, lakini sikuhizi hua unapotea potea, lakini pia mimi sikuhizi siko full time...Wanjala pia anarepresent,, Nairobiwalker, Nivlark lakini yeye hua ni part time but ako sawa...
Alafu kuna wale vichwa maji wanajijua, uharo kila Mahali, jamaa anaeza anzisha mada na ajijibu mwenyewe ukurasa 10 kabla mtu wa pili aongezee
kadoda 11, huyu Edward wanjala hata mimi nahisi ana unasaba na tz, hili jina lake la wanjala kwa asili ya kule kwetu walikuwa wanapewa watu wanaozaliwa wakati wa njaa[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Sijui yeye ina maana gani
Off topic kidogo
Unachokisema ni sahihi kabisa, ukizingatia wote ni wabantu na asili yetu ni moja!Mzungu alipokuja na kuweka mipaka na kusema upande mmoja wajiite Wakenya na wengine Watanganyika, alikuta Waafrika wanaishi kivyao. Kuna baadhi ya makabila huko Tanzania yana undugu na makabila ya Kenya kama ilivyo Nyasa wa Malawi.
Kwa mfano mimi hapa mke wangu ametokea kwa kabila la Waluhya Kenya, kligha chao nakielewa fika, niliwakuta Wanyambo na Wahaya wanaongea lugha yao ambayo inaendana na Kiluhya kwa mambo mengi. Yaani mimi hunisenenyi kwa Kinyambo cha Tanzania. Siku moja nilikua naongea kwa simu kwa lugha ya Kiluhya na Wanyambo waliokua karibu walinishangaa sana maana walielewa kila kitu nilichokisema, japo maeno yanahitilafiana lakini sio sana.
Ukiangalia pia tabia na mila za Wahaya, Waluhya na makabila fulani Uganda wanaendana sana.
Hivyo sio ajabu kukuta majina yanatumika pande zote mbili, mimi nimemkuta Mtanzania wa Kipare anatumia jina linalofanana na langu na nikashangaa kujua kwamba sio yeye pekee. Yaani akiitwa naitika wa kwanza.
Sympathetic? Mmh.....not so sure.My personal favorites are Samuel 999 and Kafrican. Kafrican seems unbiased and informed, Sam's posts are a nice read that you don't even notice the length and when some poor chap is ganged upon, Iconoclastes is the sympathetic one. Pingli- nywee (funny dude), Depay, Ian Cruz, Mk254. From across the border, Tuusan and Hoshea.
Just saw this,funny dude,seriously?Meen this is not good.I always thought am ever serious when debating!I dont agree with your conclusion,I was not consulted!My personal favorites are Samuel 999 and Kafrican. Kafrican seems unbiased and informed, Sam's posts are a nice read that you don't even notice the length and when some poor chap is ganged upon, Iconoclastes is the sympathetic one. Pingli- nywee (funny dude), Depay, Ian Cruz, Mk254. From across the border, Tuusan and Hoshea.