Kenyaforum: Who is your best conversationalist?.

Kenyaforum: Who is your best conversationalist?.

Toyota escudo kwa kujazia tu,lawmaina ndio @MK254.alibadili ID
Aiseeeeeee, kumbe ndo maana kabadili ID maana hata tabia ilibadilika[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]


Hizi sifa nisingempa kwa ile ID ya lawmaina[emoji12] [emoji12] [emoji12]
 
kadoda 11, huyu Edward wanjala hata mimi nahisi ana unasaba na tz, hili jina lake la wanjala kwa asili ya kule kwetu walikuwa wanapewa watu wanaozaliwa wakati wa njaa[emoji23] [emoji23] [emoji23]

Sijui yeye ina maana gani


Off topic kidogo
 
kadoda 11, huyu Edward wanjala hata mimi nahisi ana unasaba na tz, hili jina lake la wanjala kwa asili ya kule kwetu walikuwa wanapewa watu wanaozaliwa wakati wa njaa[emoji23] [emoji23] [emoji23]

Sijui yeye ina maana gani


Off topic kidogo
Hahahaha....[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
kadoda 11, huyu Edward wanjala hata mimi nahisi ana unasaba na tz, hili jina lake la wanjala kwa asili ya kule kwetu walikuwa wanapewa watu wanaozaliwa wakati wa njaa[emoji23] [emoji23] [emoji23]

Sijui yeye ina maana gani


Off topic kidogo
Hahahaha! Daah! Wataita/Taveta huita Mwanjala au Wanjala tu hivyo hivyo, Wanyamwezi huwa nalo pia??
 
sisi kenya huwa pia na battalion kali ya mabango hao mimi huwaita frontline soldiers.Akina Depay na IanCruz yeyote mwenye beef na kenya na anarusha mabango hawa ndio hutuwakilisha.
 
Hahahaha! Daah! Wataita/Taveta huita Mwanjala au Wanjala tu hivyo hivyo, Wanyamwezi huwa nalo pia??
Una maana kabila la wanyamwezi? kama ni ndio Sina uhakika maana sio kabila langu na sikifaham kinyamwezi!

Lakini pia neno wanyamwezi/mnyamwezi huku tz lina maana nyingine[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Sijui una maanisha nini haswa
 
ulinicomfort sana nilipoibiwa chupi zangu na wakenya

Ha ha ha wewe Miss Natafuta ni shida!!!

Yaani umenifanya nicheke kwa sauti mpaka watu wamenishangaa, kumbe ndo kisa cha kuacha kuvaa chupi, wakenya noma sana
 
Hahahaha! Daah! Wataita/Taveta huita Mwanjala au Wanjala tu hivyo hivyo, Wanyamwezi huwa nalo pia??
tanzania pia kuna baadhi ya koo hutumia jina la wanjala.

miaka ya mwanzoni na 2000, kuliwahi kuwa na msichana aliyeshiriki miss tanzania na kuwa katika tano bora.alikuwa anaitwa rashida wanjala.
 
Nimeshikwa na mafua kali, tokea asubuhi nimeketi kwa nyumba napitia forum na simu.. Anyway sahii angalau imepungua, From my view.. Mwanzi1 ako very persistent, ukianzana na yeye mtaenda mpaka uamue wacha yaishe, I salenda! Haha,
Kadoda11 has pia hua ako sensible .... Geza nashuku hua anashikwa na wazimu mara nyengine hahahaha, anyway, tunampatia kwa kuhakikisha yeye ni enemy number 1 kwa wakenya


Kwa upande wa kenya, MK254 ye ndo nanga ya wakenya, siku akipotea basi hapa patakua hapana raha tena, Sam999 , Iconoclas... What? Hilo jina ulipata wapi? Hua nashindwa kulitaja, lakini sikuhizi hua unapotea potea, lakini pia mimi sikuhizi siko full time...Wanjala pia anarepresent,, Nairobiwalker, Nivlark lakini yeye hua ni part time but ako sawa...

Alafu kuna wale vichwa maji wanajijua, uharo kila Mahali, jamaa anaeza anzisha mada na ajijibu mwenyewe ukurasa 10 kabla mtu wa pili aongezee
Pole kwa mafua jirani!
 
kadoda 11, huyu Edward wanjala hata mimi nahisi ana unasaba na tz, hili jina lake la wanjala kwa asili ya kule kwetu walikuwa wanapewa watu wanaozaliwa wakati wa njaa[emoji23] [emoji23] [emoji23]

Sijui yeye ina maana gani


Off topic kidogo

Mzungu alipokuja na kuweka mipaka na kusema upande mmoja wajiite Wakenya na wengine Watanganyika, alikuta Waafrika wanaishi kivyao. Kuna baadhi ya makabila huko Tanzania yana undugu na makabila ya Kenya kama ilivyo Nyasa wa Malawi.
Kwa mfano mimi hapa mke wangu ametokea kwa kabila la Waluhya Kenya, kligha chao nakielewa fika, niliwakuta Wanyambo na Wahaya wanaongea lugha yao ambayo inaendana na Kiluhya kwa mambo mengi. Yaani mimi hunisenenyi kwa Kinyambo cha Tanzania. Siku moja nilikua naongea kwa simu kwa lugha ya Kiluhya na Wanyambo waliokua karibu walinishangaa sana maana walielewa kila kitu nilichokisema, japo maeno yanahitilafiana lakini sio sana.

Ukiangalia pia tabia na mila za Wahaya, Waluhya na makabila fulani Uganda wanaendana sana.

Hivyo sio ajabu kukuta majina yanatumika pande zote mbili, mimi nimemkuta Mtanzania wa Kipare anatumia jina linalofanana na langu na nikashangaa kujua kwamba sio yeye pekee. Yaani akiitwa naitika wa kwanza.
 
Mzungu alipokuja na kuweka mipaka na kusema upande mmoja wajiite Wakenya na wengine Watanganyika, alikuta Waafrika wanaishi kivyao. Kuna baadhi ya makabila huko Tanzania yana undugu na makabila ya Kenya kama ilivyo Nyasa wa Malawi.
Kwa mfano mimi hapa mke wangu ametokea kwa kabila la Waluhya Kenya, kligha chao nakielewa fika, niliwakuta Wanyambo na Wahaya wanaongea lugha yao ambayo inaendana na Kiluhya kwa mambo mengi. Yaani mimi hunisenenyi kwa Kinyambo cha Tanzania. Siku moja nilikua naongea kwa simu kwa lugha ya Kiluhya na Wanyambo waliokua karibu walinishangaa sana maana walielewa kila kitu nilichokisema, japo maeno yanahitilafiana lakini sio sana.

Ukiangalia pia tabia na mila za Wahaya, Waluhya na makabila fulani Uganda wanaendana sana.

Hivyo sio ajabu kukuta majina yanatumika pande zote mbili, mimi nimemkuta Mtanzania wa Kipare anatumia jina linalofanana na langu na nikashangaa kujua kwamba sio yeye pekee. Yaani akiitwa naitika wa kwanza.
Unachokisema ni sahihi kabisa, ukizingatia wote ni wabantu na asili yetu ni moja!
 
Dah Dani5 umekuwa wapi?Uko vipi sisteh,naona tabia yangu ya kupitia jf kimya kimya ulishai'adopt' kabisaa.
 
Hongera ni kwako Kadoda11 ukija na nyuzi kama hizi za kupatanisha watu kila weekend, mbona nisichangie? Kula like yangu, kwa heshima jombaa. Hii nayo nimeipenda. Kura yangu sitajipigia, nampa MK254 huyu jamaa ameiwakilisha Kenya vilivyo, hapa jf. Big up to the guy.
 
My personal favorites are Samuel 999 and Kafrican. Kafrican seems unbiased and informed, Sam's posts are a nice read that you don't even notice the length and when some poor chap is ganged upon, Iconoclastes is the sympathetic one. Pingli- nywee (funny dude), Depay, Ian Cruz, Mk254. From across the border, Tuusan and Hoshea.
Sympathetic? Mmh.....not so sure.

Lakini wewe nawe ulipoteleanga wapi?
 
My personal favorites are Samuel 999 and Kafrican. Kafrican seems unbiased and informed, Sam's posts are a nice read that you don't even notice the length and when some poor chap is ganged upon, Iconoclastes is the sympathetic one. Pingli- nywee (funny dude), Depay, Ian Cruz, Mk254. From across the border, Tuusan and Hoshea.
Just saw this,funny dude,seriously?Meen this is not good.I always thought am ever serious when debating!I dont agree with your conclusion,I was not consulted!
 
Back
Top Bottom