Mgagaa na Upwa
JF-Expert Member
- Sep 30, 2013
- 13,481
- 28,116
Kama hii ndiokuitwa uchumi wa karatasi basi ningependa tuongezwe makaratsi gunia nzima.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama hii ndiokuitwa uchumi wa karatasi basi ningependa tuongezwe makaratsi gunia nzima.
Uko Tanzania ipi kwani!? Na Ubaya based on what!? Hype ya mtandaoni!? Au have you seen people dead in political rallies!? Acha kutupa Jina Mbaya Bwana.Ni wapumbavu tu hao huku Tzn Hali yao ya kisiasa ni mbaya kwa kuharibu uchumi
Data mnajitengenezea wenyewe halafu unashingilia hakuna big G wala OrbitThe Kenya National Bureau of Statistics (KNBS) data shows that balance of payments
Eti hadi, we jamaa fara kweli, na kwa taarifa yako, ushakula.Sijawai kula chakula kutoka Tanzania na sitawaikula hadi nife.
Visingizio as usual,Hali ya kiushawishi ya mgombea wenu ni mbaya hakubaliki na kwenda gereji hakuishi Kama gari ya mkaa.Uchimi ni mbaya maisha ni Magumu ,mumechanganyikiwa kwa kuona mtu ambae hajaweka bango hata moja la uchaguzi anakubalika kuliko aliyefanya siasa pekeyake miaka 5 na kujigamba since day one akasahau kwamba we don't eat drimulaina.Uko Tanzania ipi kwani!? Na Ubaya based on what!? Hype ya mtandaoni!? Au have you seen people dead in political rallies!? Acha kutupa Jina Mbaya Bwana.
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Ati jamaa analeta tweet kuhusu honey .. wtf .Sasa hivi wamebaki na kurusha matusi. [emoji23] [emoji23]
Hahah kama izo ndio wanaexport Kenya iko shida. Biashara ya agrarian revolutionAti jamaa analeta tweet kuhusu honey .. wtf .
Eti agrarian revolution! 😂 😂 Inamaana bongo watu bado wanaishi 18th century?Hahah kama izo ndio wanaexport Kenya iko shida. Biashara ya agrarian revolution
Tanzania huwa inatuuzia raw materials which we use to make finished products which we later on sell to them at a higher price. Ubongo zimelala bongo!Watakuambia wanatuuzia maembe, hawajui kuwa hizo fruits tunaziturn to juice alafu tunauza kwao tena at an expensive price.
Kwan magufuli ndo anatumia bidhaa zoteNenda ukauliza Magufuli
Mwafa na njaaUko Tanzania ipi kwani!? Na Ubaya based on what!? Hype ya mtandaoni!? Au have you seen people dead in political rallies!? Acha kutupa Jina Mbaya Bwana.
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Huna akili wewe hamna anaesubir uchumi wakenya uanguke. Jua kutofautisha Kat ya kuanguka na kupitwa.Huwa wananibamba sana, yani venye wanangoja uchumi ya Kenya ianguke ndio gap inaendelea kuongezeka.
Ala!!Sikuizi mumeacha kutaja mabeberu sasa tune imekua ni wachina🙄.Haya wacha nyangau tusubiri dona kantri kutupita😂😂😂Huna akili wewe hamna anaesubir uchumi wakenya uanguke ...jua kutofautisha Kat ya kuanguka na kupitwa.
Tanzania will take the economic region power, not necessarily muanguke hata mwende na speed gan tutawapita tu.
Nyie slave wa wachina in ur own country