Kamukhm
JF-Expert Member
- Aug 30, 2015
- 2,801
- 4,212
Njaa ipi!? Muache kufa nyie, tufe sisi tunaowaletea chakula!?Mwafa na njaa
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Njaa ipi!? Muache kufa nyie, tufe sisi tunaowaletea chakula!?Mwafa na njaa
Hakuna juice wala maziwa ya Kenya kwenye maduka ya TZHahah kama izo ndio wanaexport Kenya iko shida,
Biashara ya agrarian revolution
Wangefanya half year ungeona tulivyowazidi sasa hivi malimao wanaagiza maelfu kwa maelfu.Actually, it is the first quarter and not half a year.
Unakuka kika cku ila hujui tu kwakua ukirudi unaona mama yako kashakupikia hata duka alilonunua unga hujui utajua mahindi yametoka wapi au kitunguu kimetoka wapi au nyanya zimetoka wapi.Sijawai kula chakula kutoka Tanzania na sitawaikula hadi nife.
Mpaka wa namanga ukifungwa Kwa cku tu utasikia magari 1000 kutoka Tanzania kwenda Kenya yamekwama wakati ya Kenya ni 200.Ukiangalia mpakani magari mengi yanayoenda Kenya yamebeba vyakula... Halafu anapiga mbinja tu hapa..na githeri yake mdomoni... Hataweza 😀
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Ati mtapita Kenya kiuchumi?Huna akili wewe hamna anaesubir uchumi wakenya uanguke. Jua kutofautisha Kat ya kuanguka na kupitwa.
Tanzania will take the economic region power, not necessarily muanguke hata mwende na speed gan tutawapita tu.
Nyie slave wa wachina in ur own country.
Ulitaka tutengenezewe data na wazungu au? Vilema wa kiakili kwelidata mnajitengenezea wenyewe halafu unashingilia, hakuna big G wala Orbit
hahah nyinyi ni kusikia tu?..hadithi za vijiweni. Evidence?Mpaka wa namanga ukifungwa Kwa cku tu utasikia magari 1000 kutoka Tanzania kwenda Kenya yamekwama wakati ya Kenya ni 200.