Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo gavana aboreshe gatuzi lake asitake kutuharibia Nairobi, maana BRT kama ilvyo Tanzania ukianzisha Nairobi itakua majanga, tunafaa kuiga ile ya Colombia kama walivyofanya utafiti wa hivi majuzi.
Wivu utakuua.Huyo gavana aboreshe gatuzi lake asitake kutuharibia Nairobi, maana BRT kama ilvyo Tanzania ukianzisha Nairobi itakua majanga, tunafaa kuiga ile ya Colombia kama walivyofanya utafiti wa hivi majuzi.
Siunajua tu, lazima angetumia jina gavana ili hoja yake ionekane ya maana. Jamaa anafata umbea wa mashinani. Kesho yake atatuambia kwamba mwenyekiti wa nyumba kumi kule kijiji cha Olooyangalani amesifia shirika la ndege la ATCL, sijui kama lipo? Kenya ina heshima kubwa buana.Governor ???
Yani mbunge wa Kibera ndio unamwita Governor? Bongolala
Acha kukariri unaleta ujuaji wakati hata hujui tofauti kati ya Kibera slum na Kibra Constituency.Kwani kibera wanaishi watu au wanyama? Acheni dharau bana. Wananchi wa kibera ni sawa tu na wananchi wengine. Ila tu wenyewe kipato chao ni duni.
Go to thread # 9Acha kukariri unaleta ujuaji wakati hata hujui tofauti kati ya Kibera slum na Kibra Constituency.
Go to the IEBC website and check out where Kibra constituency and Kibera slum are located, before you start yapping and generalising.Go to thread # 9
Check out @okothkenneth’s Tweet: