Kenyan marries fellow man in USA

Kenyan marries fellow man in USA

Do you know how big the universe is? It's most probably likely that there are other forms of life on planets in other galaxies.

Usijiskie special sana. Binadamu ni mnyama tu kama wengine; tofauti yake kuwa ubongo wake ume-develop zaidi.

Dunia yetu sio centre ya universe, na sisi binadamu hatuna uspesheli wowote; yaani, we're not "chosen".

Tafuta facts, sio hadithi za kidini. Angalia kazi ya watu kama George Abungu. Soma vitabu vya Richard Dawkins (ambaye alizaliwa Kenya), Bill Nye, etc. Kazi ya Louie Leakey pia itakuonyesha evidence ya binadamu ni mnyama tu na alibahatika kutokea on top of the food chain.

Ukisha fanya hayo, tazama kazi ya watu kama Elon Musk (space x), Jeff Bezos (blue origins) wakitafuta mbinu za kuhakikisha kwamba humanity survives disasters on Earth. Tazama kazi ya watu kama Peter M.B Waswa, Dr. John Njoroge Kimani, nk.



Haya mambo yote yanaendelea, na wewe bado umekazana na mambo ya dini yanayokuambia kwamba Earth pekee ndiyo "iliyobarikiwa na Mungu"?

There are many other planets that probably have life.
Mpeni huyu jamaa 2 years mtaskia na yeye kaolewa kwenye nchi kati ya marekani au uingireza.
Bloodybullsh**t
 
Mr Kararu Ririe, a close friend of the couple and a confessed gay Kenyan residing in California, tweeted shortly after attending the wedding: “This afternoon I had a chance to congratulate my friend, Ben and his husband, Steve on occasion of their marriage. It is a rare thing to see a Kenyan man so courageous! Congratulations.”
Yaka
 
It's his choice.
Love wins.

Kenya is becoming more and more tolerant to LGBT minorities, so, good for them.
Umesoma lakini huna logic ! ........ hivi hujui kuwa mkun.du ni wa kutolea kinyesi !?
 
Wapi MK254 Hii ndio foreign interest yenyu hahahhhhh! What a shame?!
 
Umaarufu wa kishenzi shenzi; mtoto siyo riziki kutoka Kenya kaharibu ile mbaya.
Kwa kifupi na ni bwege wa kutupwa.
 
FaizaFoxy, ume-notice jamaa kanyuti kimyaa...atakuwa honeymoon sasa jamaa anadownload

Ugumu wa maisha na tamaa zisizo za msingi zinasababisha Wakenya wengi kua wezi, waongo, wambea na hao wa USA wameamua kujitoa mazima kuliwa tigo in exchange na USA green card. Dah! Njaa kitu mbaya sana..
 
In my Life nimefundishwa kuthamini kila mtu kwa usawa, so long as wote ni Viumbe wa Mungu na Mungu alimuumba kila mtu katika ukamilifu,
That means sitakaa nione thamani ya mtu asiyemwamini Mungu..
And then kuna wengine naona wanasuport ushoga,
Nyie wakenya mnatutia aibu sasa.
Ndio elimu yenu hiyo?
 
In my Life nimefundishwa kuthamini kila mtu kwa usawa, so long as wote ni Viumbe wa Mungu na Mungu alimuumba kila mtu katika ukamilifu,
That means sitakaa nione thamani ya mtu asiyemwamini Mungu..
And then kuna wengine naona wanasuport ushoga,
Nyie wakenya mnatutia aibu sasa.
Ndio elimu yenu hiyo?
Unataka kutuambia Tz hakuna mashoga?
Wewe unajua mashoga wangapi?
Ukijua mtu ni shoga utafanyaje?
Mbona ikusumbue kama wewe si shoga?
Kwangu mimi navumilia dini bila ya kusumbua mtu yeyote na pia nawavumilia mashoga sababu kuu ikiwa hawanisumbui hence I will be right to say that ''Without Tolerance,our world would be CHAOS".
 
Unataka kutuambia Tz hakuna mashoga?
Wewe unajua mashoga wangapi?
Ukijua mtu ni shoga utafanyaje?
Mbona ikusumbue kama wewe si shoga?
Kwangu mimi navumilia dini bila ya kusumbua mtu yeyote na pia nawavumilia mashoga sababu kuu ikiwa hawanisumbui hence I will be right to say that ''Without Tolerance,our world would be CHAOS".
Sijasema Tz hakuna mashoga, ila nimeshangaa kwa jinsi unavyounga mkono mashoga..

Wakati mwingine tumia tu common sense, When you see a monster and you don't have to do a danm thing, that's ego dude.
We have to guide our societies in Proper manners,
Kama unaona ni sawa kwako basi funga bakuli lako na usiongee chochote hapa..
Mimi kama kijana, I have a responsibility to God, to my National and to my Family.
Vipi kama mwanao akiwa shoga? Utakaa kimya? Wacha uboya wewe.
Na hapo hata elimu uliyoipata haina maana tena, maana tunasoma shule ili tuzisaidie jamii zetu,
 
Sijasema Tz hakuna mashoga, ila nimeshangaa kwa jinsi unavyounga mkono mashoga..

Wakati mwingine tumia tu common sense, When you see a monster and you don't have to do a danm thing, that's ego dude.
We have to guide our societies in Proper manners,
Kama unaona ni sawa kwako basi funga bakuli lako na usiongee chochote hapa..
Mimi kama kijana, I have a responsibility to God, to my National and to my Family.
Vipi kama mwanao akiwa shoga? Utakaa kimya? Wacha uboya wewe.
Na hapo hata elimu uliyoipata haina maana tena, maana tunasoma shule ili tuzisaidie jamii zetu,
Responsibility on minding your own business......kama utatembea dunia mzima ukihubiri vile ushoga ni mbaya hiyo ni sawa but I doubt you will achieve anything cept for wasted time and resources. By minding your own business you will prosper financially, socially and grow in wisdom.
 
Sijasema Tz hakuna mashoga, ila nimeshangaa kwa jinsi unavyounga mkono mashoga..

Wakati mwingine tumia tu common sense, When you see a monster and you don't have to do a danm thing, that's ego dude.
We have to guide our societies in Proper manners,
Kama unaona ni sawa kwako basi funga bakuli lako na usiongee chochote hapa..
Mimi kama kijana, I have a responsibility to God, to my National and to my Family.
Vipi kama mwanao akiwa shoga? Utakaa kimya? Wacha uboya wewe.
Na hapo hata elimu uliyoipata haina maana tena, maana tunasoma shule ili tuzisaidie jamii zetu,
Kama mungu alishindwa na kuwamaliza mashoga sembuse wewe?
 
Back
Top Bottom