Kenyan Security Minister George Saitoti Reported Killed

Kenyan Security Minister George Saitoti Reported Killed

Nilichoshangaa kwenye ule msiba ni kwamba sikuona VX V8 kama hizi za hapa kwetu... ule msiba ungekua hapa mngeshangaa jinsi Vx V8 zingepangana..
 
Eti na huyu anajiandaa kwa nguvu zote ili aje awe Rais wa Tz. Urais sasa umefanywa kama uwenyekiti wa kamati za arusi.
 
Nashindwa kutambua mpaka leo ni nani alikuja na wazo la kumtuma Nchimbi kwenye mazishi ya Saitoti, hivi hawa wenzetu wakenya wanatuonaje, wajinga au tahira, speech ambao ata wa darasa la nne hapa Arusha asingeshindwa kusoma. Hapo serikali ya JK linamtuma Nchimbi,huyu mtu alipata udokta wake wapi,siwezi kusema ni aibu sababu tumezoe aibu

Hata mimi nashindwa kuelewe nani kakutuma kuja ku post issue ambayo hata wewe mwenyewe hauilewi..
 
Nilichoshangaa kwenye ule msiba ni kwamba sikuona VX V8 kama hizi za hapa kwetu... ule msiba ungekua hapa mngeshangaa jinsi Vx V8 zingepangana..

Ndiyo maana bajeti yao imetuzidi kwa 44%, ingawa sisi ni wengi zaidi na tuna rasilimali lukuki.
 
Hata mimi nashindwa kuelewe nani kakutuma kuja ku post issue ambayo hata wewe mwenyewe hauilewi..

Ok, tunaomba mwenye copy ya hiyo speech tunaomba aipost nasi tuishuhudie kwa macho yetu. Tunaweza mlaumu Nchimbi kumbe iliandikwa vivyo hivyo..
 
mbona bungeni na kwenye hafla za hapa nchini huongea vizuri tu? au lugha?

katika mazishi ya prof saitot
waziri nchimbi ndiye alimuwakilisha rais wa tz....katika kusoma salamu
za rambi rambi nchimbi alisoma kwa kingereza....mbali ya kuwa misa ya
kumuombea marehemu kusomwa kwa kiswahili na salamu za pole kwa wageni
kuzitoa kwa kiswahili na shughuli nzima kuendeshwa kwa kiswahili kwa
aslimia kubwa ...bado nchimbi alisoma salamu kwa kimombo...

tatizo sio kusoma salamu kwa kimombo bali aina ya kimombo alichokuwa
anasoma...kilikuwa kibovu sana, alikuwa anatetemeka, hajiamini...kwa
kweli ilileta miguno toka wabaadhi ya watu waliokuwa pale ....

angesom kwa kiswahili angeeleweka pia...kama alivyosema yeye kuwa
amemwakilisha raisi wa nchi basi na hizo ndioz salamuzake basi
inaonyesha kuwa tatizo la lugha ni kubwa sana kuanzia kwa mwandishi hadi
kwa msomaji...nchimbi alianza kusoma salamu hizo akianzia juu kabisa
kwenye anauni ya mwandishi, akashuka chini kwenye tarehe nakuanza kusoma
akiwa anatetemeka na hofu kubwa......kwa kifupi ilikuwa aibu...

nadhani mwandishi wa thread alimaanisha hiki nilichosema...
 
.

tatizo sio kusoma salamu kwa kimombo bali aina ya kimombo alichokuwa anasoma...kilikuwa kibovu sana, alikuwa anatetemeka, hajiamini...kwa kweli ilileta miguno toka wabaadhi ya watu waliokuwa pale ....

angesom kwa kiswahili angeeleweka pia...kama alivyosema yeye kuwa amemwakilisha raisi wa nchi basi na hizo ndioz salamuzake basi inaonyesha kuwa tatizo la lugha ni kubwa sana kuanzia kwa mwandishi hadi kwa msomaji...nchimbi alianza kusoma salamu hizo akianzia juu kabisa kwenye anauni ya mwandishi, akashuka chini kwenye tarehe nakuanza kusoma akiwa anatetemeka na hofu kubwa......kwa kifupi ilikuwa aibu...

nadhani mwandishi wa thread alimaanisha hiki nilichosema...


:lalala:..hivi kweli mtu mzima kwa common sense ya kawaida kabisa..utaanza kusoma Hotuba ambayo ni ya bosi wako tena mbele za watu ukanza kuharisha kwa kusoma tarehe..hivi kwelia ana akili timamu au alikua na hang over??

 
From Kihaya to Kiswahili to Kingoni then finally English!.......OMG!

65.jpg
 
Nashindwa kutambua mpaka leo ni nani alikuja na wazo la kumtuma Nchimbi kwenye mazishi ya Saitoti, hivi hawa wenzetu wakenya wanatuonaje, wajinga au tahira, speech ambao ata wa darasa la nne hapa Arusha asingeshindwa kusoma. Hapo serikali ya JK linamtuma Nchimbi,huyu mtu alipata udokta wake wapi,siwezi kusema ni aibu sababu tumezoe aibu


eleza kwa kina kama uliisikia
 
Nashindwa kutambua mpaka leo ni nani alikuja na wazo la kumtuma Nchimbi kwenye mazishi ya Saitoti, hivi hawa wenzetu wakenya wanatuonaje, wajinga au tahira, speech ambao ata wa darasa la nne hapa Arusha asingeshindwa kusoma. Hapo serikali ya JK linamtuma Nchimbi,huyu mtu alipata udokta wake wapi,siwezi kusema ni aibu sababu tumezoe aibu

wewe mwenyewe unaonekana kuwa ni tatizo na ndo maana unashindwa hata kueleza nchimbi alitoa hotuba gani na ilikuwa na udhaifu gani, zaidi ya kuparamia "udokta wa nchimbi". kama hukumwelewa nchimbi huenda wewe ndo tatizo, usiseme eti wakenya watatutuonaje, kwani kuto kuelewa kwako wewe kuna weza kutengeneza muonekano wa watanzania kwa wakenya?
fikiri kabla ya kuropoka
 
Edson, uko sahihi kabisa. Salam za rambirambi toka Tanzania zilisomwa na Dr Nchimbi kwa kiingereza, tena kiingereza kibovu, na hakuna cha maana kilichokuwa kwenye salam hizo. Lakini jambo lilinipa aibu ni kitendo cha Dr Nchimbi kusoma hadi Anuani ya State House! Nakumbuka alisema hivi "... I will read word for word..." ndipo akaanza ...anuani!
Imeleta aibu kweli, watu wa Foreign Affairs wajitahidi kutoa mafunzo kabla mtu hajavuka mipaka.

Hayo ndo maandalizi ya wanamtandao, kumuandaa kushika urais 2015,
 
Tuache unafiki,English ni janga la kitaifa Tanzania,nashauri kabla hujamtathmini Nchimbi anza kutathmini english yako kwanza,utagundua humfikii hata robo,Mwacheni mbunge wangu hata kama tupo chama tofauti
 
Huyu wa kulia ndo aliandika nini?


Huyo wa kulia ni Salva jamani? Haya mto mada ana kasoro kidogo. lakini hata mimi niliona wakati DR NCHMBI akosoma salamu hizo za rambi rambi. Kwa lweli nilikuwa naona haya mimi badala ya dr mwenyewe. Alikuwa anatetemeka sijui kama angeambiwa azungumze kutoka kichawani ingekuwaje. Maimuna afadhali. Nahiyo ndio PhD
 
katika mazishi ya prof saitot waziri nchimbi ndiye alimuwakilisha rais wa tz....katika kusoma salamu za rambi rambi nchimbi alisoma kwa kingereza....mbali ya kuwa misa ya kumuombea marehemu kusomwa kwa kiswahili na salamu za pole kwa wageni kuzitoa kwa kiswahili na shughuli nzima kuendeshwa kwa kiswahili kwa aslimia kubwa ...bado nchimbi alisoma salamu kwa kimombo...

tatizo sio kusoma salamu kwa kimombo bali aina ya kimombo alichokuwa anasoma...kilikuwa kibovu sana, alikuwa anatetemeka, hajiamini...kwa kweli ilileta miguno toka wabaadhi ya watu waliokuwa pale ....

angesom kwa kiswahili angeeleweka pia...kama alivyosema yeye kuwa amemwakilisha raisi wa nchi basi na hizo ndioz salamuzake basi inaonyesha kuwa tatizo la lugha ni kubwa sana kuanzia kwa mwandishi hadi kwa msomaji...nchimbi alianza kusoma salamu hizo akianzia juu kabisa kwenye anauni ya mwandishi, akashuka chini kwenye tarehe nakuanza kusoma akiwa anatetemeka na hofu kubwa......kwa kifupi ilikuwa aibu...

nadhani mwandishi wa thread alimaanisha hiki nilichosema...

Na huyo ndo candidate mtarajiwa wa kambi ya ma-mvi, maanda ndo anayetegemewa kama mamvi hata kuwa sawa!!

Shauri yako utaambiwa una wivu wa kike bure...maana mwenzio ana "PHD" Mzumbe University!!
 
alivyosoma kwa kitetemeshi wewe ulikosa nini kama sio udaku na um,bea tu.
au angefunguka kiufundi ungepata nini?

sidhani kama pale palikuwa na nia ya kumpata mshindi au gwiji wa confidence
 
Edson, uko sahihi kabisa. Salam za rambirambi toka Tanzania zilisomwa na Dr Nchimbi kwa kiingereza, tena kiingereza kibovu, na hakuna cha maana kilichokuwa kwenye salam hizo. Lakini jambo lilinipa aibu ni kitendo cha Dr Nchimbi kusoma hadi Anuani ya State House! Nakumbuka alisema hivi "... I will read word for word..." ndipo akaanza ...anuani!
Imeleta aibu kweli, watu wa Foreign Affairs wajitahidi kutoa mafunzo kabla mtu hajavuka mipaka.

Nilipo RED.

Siku zote napata mush'kira kidogo kuhusu waTz.

Mnasema alisoma, sasa vipi asome kiingereza kibovu. Kama kiingereza kilikuwa kibovu basi kosa lilikuwa la mwandishi aliyemwandikia hiyo risala na sio Dr Nchimbi.

WaTz msijidharaulishe kwa lakh'aja yenu kwenye kimombo. Hiyo ni nzuri tu kama ile ya Kiznz.

Poleni sana

 
alivyosoma kwa kitetemeshi wewe ulikosa nini kama sio udaku na um,bea tu.
au angefunguka kiufundi ungepata nini?

sidhani kama pale palikuwa na nia ya kumpata mshindi au gwiji wa confidence

Kidogo chetu, tatizo sio kusoma kwa kutetemeka. Dr Nchimbi alisoma barua ya salam za rambirambi kuanzia anuani! Hivi ukipewa barua ya rambirambi ukifika kwenye msiba utasimama na kuanza kusoma " S.L.P, State House, ...nimemtuma waziri wa mambo ya ndani na naibu waziri wa mambo ya nje ....)

Hiyo ni sehemu ya barua aliyosoma Dr Nchimbi. Kwa lugha ya kiungwana tu niseme hakuwakilisha vizuri. Kuna mambo ya kurekebisha
 
Back
Top Bottom