Kenyan Security Minister George Saitoti Reported Killed

kuna mwili wa mmoja wa waliokufa uko porini kabisa....mbali na mahali helkopta ilipoangukia..sasa sijui alikuwa anaruka au vipi!!.mpaka sasa miili imepatikana ila huwezi kujua nani ni nani maana wameungua vibaya sana...
 
hivi waliokufa ni hao wawili pekee?
RIP Marubani na mapolisi waliokufa kwenye ajali hiyo.
 
kabla ya kupost angalia kwanza thread za wenzako mkuu,hiyo is no longer habari mvunjiko imetoka since saa tatu asubuhi mkuu
 
Poleni sana wakenya kwa kupoteza majembe yenu MUNGU atawasimamia. aiseeeeeee......
 
Hivi ni mimi peke yangu au kuna mtu mwingine hapa jamvini anaona very odd kwamba wale wadau wa Kenya hawaja-post chochote? Au pengine ni utamaduni wa jirani zetu kuomboleza 'kimya kimya'.

Mpaka mjadala uwe ligi nd'o utaona vigugumizi vya nguvu....:glasses-nerdy:
 
Reactions: FJM
Kuna ishu inaleta utata japo sitaki kuleta speculations hapa...there was an explosion/explosions before the chopper came down crashing...What caused the explosion?

...these are fairly brand new helicopters to just fall off the sky like that!

Tusubiri jeshi la polisi la Kenya waje na porojo zao za kila siku.
 
tukio likishatokea ukiona umechelewa dakika 5 kwa jf usijisumbue kupost, hiyo news itakuwa ipo on air tayari.
 
Alikuwa mshirika wa Laila odinga, ni very influential na icon ya Jamii ya kimasai ya Kenya, rip prof. Saitot
 
Alikuwa mshirika wa Laila odinga, ni very influential na icon ya Jamii ya kimasai ya Kenya, rip prof. Saitot

keep your politics out of this...Kenya needs healing, dark clouds everywhere.
 
Mola awalaze pema peponi. AMINA. Sasa uchaguzi itakuwaje? Jamani Wakenya poleni.

Mmmmh IFUNYA... Hivi hii avatar yako ni ya she au he?! Halafu mbona ka imevaa chupa juu ya kaptura?!
 
Kazi ya mungu aina makosa pole sana wafiwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…