Nilikuwa sijui kama najadiliana na idiot, wewe hujui kuwa tangawizi ni anti viral na pia antibacterial???!!, Covid ina stage 3, katika stage ya kwanza na ya pili unaweza kuiangamiza kwa kutumia anti virals kama Tangawizi, Camphor (Vaporub), Mafuta ya karafuu nk, spikes za Corona Virus ni protein ambayo ikikutana na hizo antivirals huyeyushwa (dissolved) na hivyo huyo virus huangamia, katika stage ya 3 ni ngumu sana kuangamiza huyo virus sababu anakuwa kisha jichimbia ndani ya mapafu katika hali hiyo ni ngumu kuingiza hizo dawa ndani ya mapafu, kwahiyo Tangawizi in any form at preliminary stage while mixed with other antivirals can cure Covid 19 na ndiyo maana huyo Mkenya mwenzako alipona Covid 19 kwa kutumia Concoction yenye tangawizi, itakuwa ni UJUHA KALULU kubeza na kukejeli jambo lenye ukweli kisa tu sababu Maprof wa Tz wameshadidia kwamba Tangawizi iliyochanganywa na dawa zingine katika hatua za awali za Covid inaweza kutibu.
Njoo na hoja nyingine na sio hiyo ya Tangawizi iliyomponyesha nduguyo Covid.
Mwambieni huyo Phd holder wenu arudi Kenya na aache kazi ya ukororokoroni kwani kazi hiyo itaua TALANTA yake ya Astrophysics, na kwa upumbavu wenu mnamshabikia.