Gamal Sankara
JF-Expert Member
- Jun 27, 2019
- 301
- 265
Ze ze zee...drimulaina,entapretentunyua...naona hii lafudhi tamu kwel[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Trust me lafudhi ya kingereza ya mbongo ni nzuri mara 100 kuliko mkenya
Ze ze zee...drimulaina,entapretentunyua...naona hii lafudhi tamu kwel[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Halafu tatizo la watanzania mtu akijua kingereza kidogo tu,utaona balaa..jamaa huaga anataka aongee km wamarekani...mfano diamond tayari
Tena umebadilisha upepo..si wewe uliyesema lafudhi yenu iko poa...na wakati wachache wanaokijua hutaka kuongea km wamarekani...Hatushobokei ndo maana tunaongea sehemu zinazoitaija tu tena siku hizi sio muhimu hata sio zile btw zenu kila baada ya maneno mawili
Yeah lafudhi yetu nzuriTena umebadilisha upepo..si wewe uliyesema lafudhi yenu iko poa...na wakati wachache wanaokijua hutaka kuongea km wamarekani...
We hueleweki...mara hamshobokei lugha, tena hv lafudhi yenu nzuri...Yeah lafudhi yetu nzuri
Nikuwekee clip ya msukuma hapa halafu umlinganishe na hyo jamaaKunguru+Ng'ombe kiswahili hiki mnataka mfundishe Sauzi nyang'au..
Wewe ni wa kupuuzwaWe hueleweki...mara hamshobokei lugha, tena hv lafudhi yenu nzuri...
Kwnza hyo lafudhi mbaipataje na kingereza cha kuanza form one...jiongeze wewe
Dada bhana wengi wapo hivyo..hilo halina ubishi..ama unabisha??Nikuwekee clip ya msukuma hapa halafu umlinganishe na hyo jamaa