Kenyan & Tanzanian Surburbs

Kenyan & Tanzanian Surburbs

Kariakoo Apartments

apartments1.jpg
 
These are Suburbs, kwa hiyo post picha za Suburbs sio maofisi, Bongo people dont live maofisini.
:lol:

Stop being a lazy ass, just because Nairobi suburbs don't have high rise apartment houses that doesn't mean all suburbs in other cities are flat like pancakes. Dar es salaam is more of a business commercial residential kinda city so you'd expect something like that. If you've ever been in a city like Houston, Texas you'd understand what I mean.
 
tatizo watanzania tukipata hela tunafikilia kujenga guest, bar, business commercial residential au hotel, dah kenya wako mbali sana. sijui hawa matajiri wa tanzania kwa nini hawaigi mfano wa kenya wakashirikiana na mipango mji wakajenga apartment nzuri watu wakapata mahali pazuri pa kuishi ila kwa bei nafuu. ingawa baadhi ya apartments zimejengwa lakini wamejaa wahindi na waharabu mana mbongo uwezi gusa kutokana na bei kubwa ya rent. sijui nani katuloga watanzania. ni majonzi tu.
 
Kwa swala la suburbs Kenya wemetupiga tatu bila. Tukubali yaishe tujipange upya na viongozi makini.
 
Kila mtu apige nyumba anayoishi picha aweke apa. maendeleo ya mji si maendeleo yako.
 
hivi kenya ni nairobi tuuuuuuuu hakuna miji mingine huko kenya, mbona naona Tz kuna hadi mtwara imewekwa hapa.....vp kenyans mwageni na hivyo vingine.....au kwa vile vichafu....msihofu mbona wenzenu wamemwaga tu:focus:
 
Stop being a lazy ass, just because Nairobi suburbs don't have high rise apartment houses that doesn't mean all suburbs in other cities are flat like pancakes. Dar es salaam is more of a business commercial residential kinda city so you'd expect something like that. If you've ever been in a city like Houston, Texas you'd understand what I mean.

Mbona hasira na matusi? Pole, pumua mwenzangu.

Ukweli ni kwamba watu wanaweka picha za maofisi, milima, mabonde, misitu, bahari na proposed projects. Nimeishi Dar na nafahamu sehemu hizo zote, ukweli hata wewe wafahamu. Cha pili, ni wazi wewe hujatembea Nairobi kulingana na yale unayoyasema. Mwenzangu wew haujui niko wapi sasa hivi, Houston nitakutembeza mimi ili ufahamu suburbs ziko wapi. Kama umetembea Harris County ama Fort Bend basi suburbia huko!😛oa
 
hivi kenya ni nairobi tuuuuuuuu hakuna miji mingine huko kenya, mbona naona Tz kuna hadi mtwara imewekwa hapa.....vp kenyans mwageni na hivyo vingine.....au kwa vile vichafu....msihofu mbona wenzenu wamemwaga tu:focus:

Tazama uzi vizuri! wameweka picha za :


  1. [*=left]Nakuru

    [*=left]Nairobi

    [*=left]Mombasa

    [*=left]Lamu

    [*=left]Kisumu

    [*=left]Eldoret

    [*=left]Athi River

    [*=left]Kisii
    [*=left]Nyeri
    [*=left]Kakamega
    [*=left]Thika

mfano...



I dont think most of you have been to Nakuru, Kenya but it is Africa's fastest growing city and the fourth fastest in the world.

NAKURU, KENYA

NAKURU, KENYA by findingnimo, on Flickr


NAKURU, KENYA by findingnimo, on Flickr

MOMBASA, KENYA

MOMBASA, KENYA by findingnimo, on Flickr


MOMBASA, KENYA by findingnimo, on Flickr


MOMBASA, KENYA by findingnimo, on Flickr


MOMBASA, KENYA by findingnimo, on Flickr


MOMBASA, KENYA by findingnimo, on Flickr

LAMU KENYA


Lamu, kenya by findingnimo, on Flickr
 
Kakamega: Kenya

topview-large.jpg


Nyeri: Central Province

2937014028_5e6c19e9d4_b.jpg


3830245771_25582011cf_b.jpg

Apartment Blocks: Nyeri


2937452854_0f08cdf831_b.jpg


More apartments being constructed: Nyeri

3983452524_a63de11172_b.jpg
 
Tatizo Bongo ukipiga picha viota vya watu mfano Mbezi Beach, Mikocheni au Masaki watakuburuzaburuza mpaka ujute ila kuna maeneo mazuri na ya kuvutia hapa Dar, Arusha na Mwanza... La City planning bado tunahitaji tuition kwani kama mji ukiwa umepangwa unapendeza tu bila hata ya vikolombwezo..
 
Back
Top Bottom