Kweli wakenya kwenye swala hili wametuzidi,inabidi tukubali tu,maana sisi tuna nyumba moja moja nzuri,si mtaa mzima,ndio maana swala la kuweka picha hapa yenye mitaa yetu inakuwa tatizo.
Huko tunakosifiaga oysterbay,masaki,sijui nyiro n.k hakuwezi wafikia hawa jamaa,wao wapo next level,kuanzia mpangilio wa mitaa,utunzaji wa maringira n.k.
Pili naona ndugu zangu watz wanakosea-kuna watu wamepost picha za maghorofa na majengo mengine ya biashara,naona wanakosea,wekeni picha za mitaa yenye makazi ya watu,si kupost picha za majengo kama za quality center