Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
are these suburbs?Mombasa, Kenya
![]()
Lamu, Kenya
![]()
![]()
Niweke picture ya Jinsi wenye kutawala dunia wanarudisha hela kuputia megaprojects dunaini kote.Soma report ya world bank kuhusu uchumi wa kenya unakuwa kwa speed gani pamoja na miradi mikubwa mnayojiingiza?weka picha uache longo longo wewe mswahili, unabisha nini? mbona tuandike na mate wakati wino iko?
bado ni fragments tuu.Dar ni pana sana na nyumba nzuri zipo scattered sana.Tofauti na Nairobi zipo karibu.No, nilimanisha kiswahili cha huyo jamaa ni safi cha kupendeza, yani alivyokiandika. Ndo nikauliza kama ni kutoka Mafia kwasababu naskia huko ndiko lahaja ngumu zaidi kuelewa. Anyway,kataa au kubali, huku ssAfrica, apart from SA, ni nchi gani lililo na such advanced real estate sector as Kenya?
bado ni fragments tuu.Dar ni pana sana na nyumba nzuri zipo scattered sana.Tofauti na Nairobi zipo karibu.
Zipo scattered na chache, ndo maana mmeshindwa kupost mapicha!
Badala yake wenzenu wakageukia kutukejeli na kupaste picha za slums za Nairobi badala ya kutumia that energy kutafuta hizo makao nzuri mnazojidai mko nazo na kuzipost.
Sasa Nicholas,wacha uswahili mingi na upeperushe picha za makao mazuri za Dar
We need to be frank, I'm from Tz living in NBI for the last 3yrs now. You can't compare Nairobi and Dar on suburbs development. NBI is far ahead.
It all starts from the history. In Kenya, particularly Nairobi and its outskirts, few people owned/are owning big lands (acres and acres) which have now been developed/are developing as real estates where Kenyan and foreigners buy them-mostly through mortgages. Banking industry has significantly contributed to the growth in real estates.
This is not the case to Tz and to be specific Dar where many people owned/are owning small lands/plots which are developed individually by building little by little through cash. This has led to many unplanned settlement too as many plots are not surveyed. Mortgage business started few yrs ago.
Therefore you will not see many real estate developments compared to NBI. However, things have started to change, real estate business is booming and in few years to come like 5-10yrs Dar will change and Tz at large will change.
This justifies why you can't see much from my fellow Tanzanians. Watch out my neighbors, we are coming...Tz is changing for better.!! Na nyinyi watz wenzangu hatuna haja ya kubishana na wenzetu wakenya, tuchape kazi, tuache uvivu and ufisadi. Better days are coming when you will have guts to show Kenyans not only the suburbs but also other mega infrastructures. May God heal and Bless Tz!
We need to be frank, I'm from Tz living in NBI for the last 3yrs now. You can't compare Nairobi and Dar on suburbs development. NBI is far ahead.
It all starts from the history. In Kenya, particularly Nairobi and its outskirts, few people owned/are owning big lands (acres and acres) which have now been developed/are developing as real estates where Kenyan and foreigners buy them-mostly through mortgages. Banking industry has significantly contributed to the growth in real estates.
This is not the case to Tz and to be specific Dar where many people owned/are owning small lands/plots which are developed individually by building little by little through cash. This has led to many unplanned settlement too as many plots are not surveyed. Mortgage business started few yrs ago.
Therefore you will not see many real estate developments compared to NBI. However, things have started to change, real estate business is booming and in few years to come like 5-10yrs Dar will change and Tz at large will change.
This justifies why you can't see much from my fellow Tanzanians. Watch out my neighbors, we are coming...Tz is changing for better.!! Na nyinyi watz wenzangu hatuna haja ya kubishana na wenzetu wakenya, tuchape kazi, tuache uvivu and ufisadi. Better days are coming when you will have guts to show Kenyans not only the suburbs but also other mega infrastructures. May God heal and Bless Tz!
Ngoja nikuuliza swali dogo sana hizo real estates unazoziongela ni aslimia ngapi ya Wakenya weusi kama mimi wanaishi humo? Kama inafika 50% basi nawavulia Wakenya kofia kwa hili lkn kama ni asilimia ndogo zaidi ya hapo, nbasi mimi kwangu ni Upuuzi tu!
More than 90%