kenyans and their mistrusted hypocritical behavior

kenyans and their mistrusted hypocritical behavior

Sisi apan taka upus. Kaligraph ameanza utoto
 
Betty Kyalo amefurahi sana venye anaambiwa atafinywa. Atafinywa kwa airport na kwa kiti. She is a certified poko who couldn't last in her marriage for six months. She cheated on Dennis Okari with Joho.
 
ok, so wewe umeona matiti tu kwa huo wimbo na haujaangalia context iliyotumika.
so which song between the two is more explicit?
binafsi sina titizo na mashahiri ya wimbo,i'm ok with it.

shida yangu ni baadhi ya wakenya kulalamikia mashahiri yake wakati mashahiri ya nyegezi wali support.
 
Betty Kyalo amefurahi sana venye anaambiwa atafinywa. Atafinywa kwa airport na kwa kiti. She is a certified poko who couldn't last in her marriage for six months. She cheated on Dennis Okari with Joho.
kuna baadhi ya madem huvutiwa zaidi na wanaume wanao talk dirty.
so may be betty kyallo has a secret fantasy na wanaume wa aina hiyo...nobody knows.
 
binafsi sina titizo na mashahiri ya wimbo,i'm ok with it.

shida yangu ni baadhi ya wakenya kulalamikia mashahiri yake wakati mashahiri ya nyegezi wali support.
mi ninaona shida ni kumshirikisha Betty Kyalo kwenye hio clip. otherwise hio nyimbo nilishawai kuisikiliza kitambo sana alipokuwa anamwimbia gf yake na hakukuwa na uproar ya aina yoyote.
 
mi ninaona shida ni kumshirikisha Betty Kyalo kwenye hio clip. otherwise hio nyimbo nilishawai kuisikiliza kitambo sana alipokuwa anamwimbia gf yake na hakukuwa na uproar ya aina yoyote.
[emoji106][emoji106][emoji106][emoji106]
 
Two old gay geezers. Kupiga miti ni sheng, inamaanisha kurarua punani sio huo ushetani wenu.
Unajua hilo neno kupiga miti lilianzia Bongo! Kwakua mnasikiliza bongo fleva sana tuna influence kiswahili chenu. Wakina otile na Khaligraph wanachota maneno mapya na wenyewe wana yaimba ili waende na trend.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
LOL sasa unamfundisha mtanzania maana ya kupiga miti? Hilo neno nimeanza kulisikia from the my beginning inaonekana Kenya limepata umaarufu recently

Miti maana yake kwa kiswahili cha kihuni ni trees (dicks)
Ata mimi nimemwambia ilianza "ukuni" then ikaja "miti" kitambo sana kipindi hiko ata sijui what is Biology

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unajua hilo neno kupiga miti lilianzia Bongo! Kwakua mnasikiliza bongo fleva sana tuna influence kiswahili chenu. Wakina otile na Khaligraph wanachota maneno mapya na wenyewe wana yaimba ili waende na trend.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kupiga miti, 'kusaksua', 'kuthiokora', siku hizi wanasema 'kunyandua'. Sheng sio lugha constant, kila siku maneno mapya yanaibuka.
 
Betty kyalo nimempenda sana aisee

Sijawahi dhani Luna wakenya wazuri hivi .

Shes a black beauty with long dark hair

I loved her smile .

"Nataka kukupiga miti"

"Nataka kukushika matiti"

Hahahahahah

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kupiga miti, 'kusaksua', 'kuthiokora', siku hizi wanasema 'kunyandua'. Sheng sio lugha constant, kila siku maneno mapya yanaibuka.
Sisi huku kwa kiswahili fasaha tubaita misimu yaani maneno yanayozuka na kufa na Mara nyingi hukutumika kwa watu was jamii na rika fulani

Umenipata mkenya

Njoo tuwapige "msasa" kiswahili chenu kinyooke .

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sisi huku kwa kiswahili fasaha tubaita misimu yaani maneno yanayozuka na kufa na Mara nyingi hukutumika kwa watu was jamii na rika fulani

Umenipata mkenya

Njoo tuwapige "msasa" kiswahili chenu kinyooke .

Sent using Jamii Forums mobile app
Sijaongea kuhusu kiswahili, kuna tofauti kubwa sana kati lugha ya kiswahili na sheng.
 
Back
Top Bottom