MK254
JF-Expert Member
- May 11, 2013
- 32,408
- 50,809
Wameshaanza kuchoma matairi huko Korogocho. Na huu ni mwanzo tu, bado mafuriko ya Baringo na nzige wanaoendelea kuzaliana kwa maelfu. Nyie wakenya hebu tokeni hapa na mrudi kwenu haraka sana mkafie huko huko.
Mnazidi kutengwa