Hao wakenya wanatuma hela pesa nyingi kuliko pesa ambazo Tz inapata kwa utallii, ...... yani biashara ya mbuga,hoteli zote mapato yake hayafikii hela zinazotumwa na wakenya nyumbani!!!!!!
Wacha wawatumie juu mtakufa zaidi na njaa.
Wasipotuma unadhani mtaishije??
2018 tourism earnings za TZ was 2.4 billion, while Kenya diaspora remittance 2018 ni 2.7 billion.Tourism tulimake $2.3B mwaka 2017 nakushangaa wewe sijui unazungumzia nn
Sent using Jamii Forums mobile app
Cha kushangaza Kenya tuko na njaa, alshabaab, uhalifu.... Lakini mwisho wa siku, ni watanzania wengi wanakufa kuliko wakenya!!!Wacha wawatumie juu mtakufa zaidi na njaa.
Wasipotuma unadhani mtaishije??
Cha kushangaza Kenya tuko na njaa, alshabaab, uhalifu.... Lakini mwisho wa siku, ni watanzania wengi wanakufa kuliko wakenya!!!
Ni kweli watanzania ni mudomo mudomo, na makaunda suti yanayopwaya, shame on this countryLetβs just say Kenyans abroad send more MONEY back home than what TANZANIA makes from the whole TOURISM INDUSTRY
Hehehehe watoto wanakula meffi ya kuku na Mungu aliwabariki na ardhi mnashindwa kuzalisha chakula? Aliyewalaani nyie keshakufaTunakufa ila sio kwa njaa.
Remittances are not taxable. $2.4m Tourism money is taxes and revenues that directly hit the TRA accounts.2018 tourism earnings za TZ was 2.4 billion, while Kenya diaspora remittance 2018 ni 2.7 billion.
Case closed!
Tanzania earns $2.44 billion from Tourism in 2018
Remittances are not taxable. $2.4m Tourism money is taxes and revenues that directly hit the TRA accounts.2018 tourism earnings za TZ was 2.4 billion, while Kenya diaspora remittance 2018 ni 2.7 billion.
Case closed!
Tanzania earns $2.44 billion from Tourism in 2018
Hehehehe watoto wanakula meffi ya kuku na Mungu aliwabariki na ardhi mnashindwa kuzalisha chakula? Aliyewalaani nyie keshakufa
Ah wapi labda kama unazungumzia huko kwenu,huku haijawahi kutokea.
Mahindi ni mengi mpaka yanaharibika.
Kweli mahindi ni mengi! Inasikitisha [emoji58][emoji58]
Mh! Mahindi! Mnasaga unga mnapatia watoto ugali kavu na uji halafu mnacheka watoto wa kikenya kwa kula ugali kales na spinach??? Asubuhi watoto wanakula mihogo na chai ya mkandaa ilhali wa huko Kenya wanakunywa maziwa.Ndio maana mnaongoza kwa utapia mlo barani afrika!Ah wapi labda kama unazungumzia huko kwenu,huku haijawahi kutokea.
Mahindi ni mengi mpaka yanaharibika.
Wewe ni mjinga,nitakwambia kwanini wewe ni mjinga ili usirudie tena ujinga.
Povu ya nini tena mkuu [emoji846]
Weka hisia kando mkuu, hivyo wazazi wakiugua ina maana hamna chakula?Hamna povu hapa najaribu kukupa wasifu wako tu!!!
Hivi umeshindwa kufikiri kwamba hao watoto ni wa familia moja ambayo wazazi wanaumwa??nikuletee maelfu ya mama zako huko turkana wanaokufa kama nzige kwa kukosa kabisa mlo[emoji16][emoji16][emoji16].
Achana na hii vita huiwezi,nitakuvua ngua kabla hujafika bedroom.