mkorinto
JF-Expert Member
- Jun 11, 2014
- 31,415
- 38,761
Hao wakenya wanatuma hela pesa nyingi kuliko pesa ambazo Tz inapata kwa utallii, ...... yani biashara ya mbuga,hoteli zote mapato yake hayafikii hela zinazotumwa na wakenya nyumbani!!!!!!
Wacha wawatumie juu mtakufa zaidi na njaa.
Wasipotuma unadhani mtaishije??