Kenyans one among of the poorest people in the world

Kenyans one among of the poorest people in the world

Wakenya wa humu jf wako bize na kusema nairobi inakaribia GDP nzima ya tz.
Sio sisi tunasema
Screenshot_20190921-190635.png
 
Hii post ina hisia nyingi kweli..lkn punguza jazba jomba...
Ni ya kupunguza makali ya huu uzi
 
Umasikini nilio uona Kenya Nairobi , I confident to say I never ,ever seen in this modern world nimetembea nchi nyingi dunian lakin Kenyans slums residents which approach to more than 1,200 000millions , kuna umasikini wa kutisha jaman Kenya acheni , Kenya na India kwenye level za umasikini wapo level sawa tu aisee , nilizani India ,Bangladesh na Congo DRC ndio kuna umasikini ,dah kumbe majirani nishida , can u imagine watu wanaishi kwenye mabanda ya mabati no electricity, no running water # kuna slums south Africa ,Namibia but there better off ,full of good and basic infrastructure as well as social service's #ITS shameful for a someone to called himself a Kenyans @in other side Kenya is good and a very small country ,full of private investment, full of democracy , full of freedom of press,
Kama mimi ningekuwa mwalimu na wewe ni mwanafunzi na umeniandikia hiki kinyesi kama composition ningekupa 0 out of 40. Tragic gramatical errors. Atrocious spelling mistakes and disgusting grasp of basic sentence construction.
 
I can rely on them more than I can rely on opinion of say a Kenyan about Tanzania or a Tanzanian on Kenya. Unajua wako more unbiased. Sijakataaa kuna extremely poor Kenyans, but when in comes to poverty, Tanzania mnakuwanga kwa zile extremely poor countries
Amna kuna time unatakiwa ufocus on the perimeters, hizo statistics zinaweza kukwambia 1 KES is 20 TSH lakini in reality hiyo sio Hoja sana, ukitaka kujua the reality unatakiwa kuchunguza ni kipi naweza nunua Kenya by 1 KES na kipi naweza nunua Tanzania by 1 KES hapo ndio unapata msawazo mzuri wa tafiti and how easy one could acquire such amount.

So sio hoja kiviile hayo makabrasha yanaelezea uhalisia, sivyo.
 
Pwahahahaa, Hii mbwa hata haijawahitoka nje ya mipaka ya wilaya ya Temeke. He is a cheat, a liar and a dog green with ENVY
 
Niliona kwa geah [emoji23][emoji23][emoji23]
Hajui kuwa sherehe haziishi uswahilini.
[emoji23][emoji23][emoji23] Uliona ile clip?
Hahaha yule Kenya ni pedesnjsheee ndama mtoto ya cow [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji202][emoji230]
 
Jamaa si tu masikini wa mwili wana umasikini wa akili na hata kiroho
 
Umasikini nilio uona Kenya Nairobi , I confident to say I never ,ever seen in this modern world nimetembea nchi nyingi dunian lakin Kenyans slums residents which approach to more than 1,200 000millions , kuna umasikini wa kutisha jaman Kenya acheni , Kenya na India kwenye level za umasikini wapo level sawa tu aisee , nilizani India ,Bangladesh na Congo DRC ndio kuna umasikini ,dah kumbe majirani nishida , can u imagine watu wanaishi kwenye mabanda ya mabati no electricity, no running water # kuna slums south Africa ,Namibia but there better off ,full of good and basic infrastructure as well as social service's #ITS shameful for a someone to called himself a Kenyans @in other side Kenya is good and a very small country ,full of private investment, full of democracy , full of freedom of press,
Ulianza na wabongo Leo umegeukia jirani...Wakati wazoefu wakisema kuhusu slums Za Nairobi wewe ulidhani Ni story za vijiweni
 
Bwahahaaa!!huaga wakipigwa za uso wanakasirika...
Matokeo yake nyuzi kibao za chuki huzifungua...facts mara kutoka youtube[emoji23][emoji23][emoji23]
Ni ya kupunguza makali ya huu uzi
 
Heheeee!!!middle class area sio...
Sasawa
Maisha ya uswazi Tanzania ambayo ndio yanachukuliwa kama maisha ya chini kabisa ni aheri mara million kuliko maisha ya mkenya kwenye hizo slums

Kuna video ilikua ikitrend juzi kati, huko uswazi uswazini mke kafanya sherehe kubwa kachoma mbuzi, vinywaji vya kila design na kukodi bendi kisa mmewe kaachana na hawara [emoji23][emoji23][emoji23]

Ukiangalia ile social status ya kule uswazi halafu uilete huko kwenye slums zilizotapakaa Nairobi nzima utajua tu mlalahoi wa Tanzania, Kenya ni Middle class citizen [emoji23][emoji23][emoji23]

Kama unataka hiyo video sema
 
Back
Top Bottom