Kenyans one among of the poorest people in the world

Kenyans one among of the poorest people in the world

Maskini wa tz ni yule wa kijijini mwenye mashamba asiyependa kuwa na cash but awe na mali, ukija dar maskini ni yule anaemiliki nyumba na kiwanja chake hana income ya kutosha kurepare na kumiliki gar. Ukienda kenya ukiona maskin bas hana kibarua hana.ardhi. but mabat na maboksi. [emoji23][emoji23][emoji23] atleast wamasai wa keenya wana mifugo japo wanakufa kwa ukame. So kwenye rank za umaskini tz tutakua juu sio kwasababu ni maskin zaid ya kenya bali tumewazid population na maskin wetu wanategemea kilimo kwa sana co mchele plastic wa china
 
Sasa kama dunia yote inajua Tanzania kuna masikini wengi kushinda Kenya mbona unatusumbua na hizi vitu ulizoandika kwa hisia? Ungefanya vizuri Kama ungeleta dhibitisho kwamba wakenya wengi ni masikini kuliko idadi ya masikini Tanzania. Mtafungua nyuzi nyingi sana na bado
This is one reason why they're still poorer bcoz they follow ma-feelings zao instead of dispassionate evidence and objective approach ,facing harsh reality and swallowing one's foolish pride.

Bado wako kwa "ujamaa thinking " where its everyone else's duty to solve all the problems of society na hiyo inaleta uvivu wa kifikra aka lacking mental fortitude.Umaskini is 90% mental.
 
These guys are still reeling from the failed oil pipeline, bagamoyo, koroshow, actl, wakombozi wa satafrica etc fiascos.. so please kenyans just stay away from their coping mechanisms they will create a hundred threads about kenya to deflect their own ccm failures as they clap for themselves by wanking thier own d*cks, we have our own independent news media that does its job so don't even mind.... Im very entertained by thier feeble attempts
 
Kama mimi ningekuwa mwalimu na wewe ni mwanafunzi na umeniandikia hiki kinyesi kama composition ningekupa 0 out of 40. Tragic gramatical errors. Atrocious spelling mistakes and disgusting grasp of basic sentence construction.
Hahaha well put brathee,i thought i was the only one who had an allergic reaction to the stinky essay.If he can't grasp simple grammar rules and spellings atawezaje kuelewa complicated economics kweli?
 
Umasikini nilio uona Kenya Nairobi , I confident to say I never ,ever seen in this modern world nimetembea nchi nyingi dunian lakin Kenyans slums residents which approach to more than 1,200 000millions , kuna umasikini wa kutisha jaman Kenya acheni , Kenya na India kwenye level za umasikini wapo level sawa tu aisee , nilizani India ,Bangladesh na Congo DRC ndio kuna umasikini ,dah kumbe majirani nishida , can u imagine watu wanaishi kwenye mabanda ya mabati no electricity, no running water # kuna slums south Africa ,Namibia but there better off ,full of good and basic infrastructure as well as social service's #ITS shameful for a someone to called himself a Kenyans @in other side Kenya is good and a very small country ,full of private investment, full of democracy , full of freedom of press,
We si ndo ulikuwa unakesha kuisifia nairobi,mapicha yalikuongopea leo umejionea mwenyewe the slum hub of africa
 
22 million Tanzanians vs 10 million Kenyans(wenye uliona kwa slums). So ukipayuka hapa about povery, kumbuka kwa hizo metrics zinapima poverty levels za India nk, Tanzania iko ranked juu. Only difference ya Nigeria na Kenya na India is they get more media attention. DRC na Tz nobody knows about themView attachment 1213012
Mbona jamaa unahangaika sana kujitetea na stats za years ago!!!..kwani unateseka??
 
Amna kuna time unatakiwa ufocus on the perimeters, hizo statistics zinaweza kukwambia 1 KES is 20 TSH lakini in reality hiyo sio Hoja sana, ukitaka kujua the reality unatakiwa kuchunguza ni kipi naweza nunua Kenya by 1 KES na kipi naweza nunua Tanzania by 1 KES hapo ndio unapata msawazo mzuri wa tafiti and how easy one could acquire such amount.
So sio hoja kiviile hayo makabrasha yanaelezea uhalisia, sivyo.

Hawezi elewa ye hudhani stats come from heaven.
 
Back
Top Bottom