Kenyans who eat Monkeys


Hamna kaka panya ni watamu kupindukia. Nimewala sana nilivyokuwa Zambia na Msumbiji.

Wale ukienda kwenye classification, ni ndugu na nguruwe maana hao wote ni omnivorous, pia wanafanana na sungura au kalulu kwa sababu wote ni rabbit.
Ahaaa
 
Iko wapi hiyo thread ??
 
Hamna kaka panya ni watamu kupindukia. Nimewala sana nilivyokuwa Zambia na Msumbiji. Wale ukienda kwenye classification, ni ndugu na nguruwe maana hao wote ni omnivorous, pia wanafanana na sungura au kalulu kwa sababu wote ni rabbit.
Ahaaa
Dah panya, kitimoto, kaka sungura, na sasa kalulu! Jamani. [emoji23][emoji23][emoji23] Wewe jamaa bana naona una nia mbaya na kiamsha kinywa changu wakati hata hakijafika kwenye magoti.
 
Monkeys are yummy like any other meatπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
Dah panya, kitimoto, kaka sungura, na sasa kalulu! Jamani. [emoji23][emoji23][emoji23] Wewe jamaa bana naona una nia mbaya na kiamsha kinywa changu wakati hata hakijafika kwenye magoti.

Braza tembea uone, nilipita pande za kongo na zambia wilaya ya nakonde nikakuta watu wanapiga viwavi jeshi shwari kabisa. vingine wanauza kwenye mafungu watu wananunua na nyanya wanaenda kuandaa mboga ya kupigia ugali.

ya viwavi niliipenda sana maana wenyewe kule viwavi wakivamia mashamba hawalalamiki eti wanaharibu mazao. wenyewe wanamshukuru mungu kuwa kawaletea neema kama vile tu sisi wahenga enzi zetu tulikuwa tunakula kumbikumbi. kwa hiyo kule hamna sijui serikali itafute helicopter ya kunyunyizia dawa mashamba yaliyovamiwa na wadudu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…