Kenya’s economy to grow fastest in Africa in 2021 - World Bank

Kenya’s economy to grow fastest in Africa in 2021 - World Bank

Hawa vijana wanakosa kujua mambo meengi sana ya historia.

Hawajui hata kwamba Tanzania iliwahi kuwa na kiwanda cha magari, machine tools, Mang'ula.

Shirika la ndege lililorusha ndege mpaka Heathrow International Airport. Pia reli inayounganisha nchi jirani ya Zambia, mpaka Afrika Kusini. Orodha ni ndefu sana.
Na wewe umezukia wapi! Tazara ni Dar mpaka Zambia kwa wakati huo, East African Airways ndiyo ilikuwa ikienda Uingereza na kiwanda cha Mang'ula ni baada ya Tazara kujengwa, cha magari Scania Kibaha japo jakikudumu.

Pamoja na yote viwanda vya Kenya havijawahi kufa wala kufariki kama vyetu vinavyoeksipaya kama mananasi.
 
Wewe unaongelea maisha ya kupanga foleni baada ya vita vya Uganda ambapo IMF walikataa kumkopesha Nyerere. Tanzania ya miaka ya 1969 - 1979 watu walikuwa hawapangi foleni.
kaka inatosha unajua mpk unakera.
umetoa shule kubwa sana ila tatzo vinana wa siku hz much know sana.
 
Back
Top Bottom