Hawa vijana wanakosa kujua mambo meengi sana ya historia.
Hawajui hata kwamba Tanzania iliwahi kuwa na kiwanda cha magari, machine tools, Mang'ula.
Shirika la ndege lililorusha ndege mpaka Heathrow International Airport. Pia reli inayounganisha nchi jirani ya Zambia, mpaka Afrika Kusini. Orodha ni ndefu sana.