Sasa wewe kijana, unafikiri wachina watakaa tuu na wewe uje uchukue kilicho ndani bila kukupa stop. Hakuna nchi iliyo protective of their internal Market like China. Ethiopia inafuatia kwa kulinda masoko yake. Kila mtu anatamani kuweka pesa yake hiko lakini wanakutana na mageti makali ya protectionlisim. Kumbuka kilicho ongelewa kwenye uzi huo ni jinsi Djibouti imepania kuchukuwa soko la logistics kwenye horn of Africa (and Djibouti ni nchi ya Afrika). Wewe unazungumzia waarabu na wachina, usijidanganye kama economy ya waarabu na Turkey zimeshuka kwasababu ya population decline, kumbuka kwamba wao bado wameshikilia pesa ya dunia kwa hivi sasa. Wanaweza kukununuwa wewe na familia yako yote ukaishi huko, jina na dini waka kubadilisha kama wale wakimbiaji wa Kenya walio huko na majina mapya.
Dar Na Somalia Na wengineo kwa coast ya EA.... Mko Na mlima mkubwa Sana wa kupanda! Kwasababu ya efficiency , ukubwa na upana wa Mombasa, meli za marsek,evergreen na nyenginezo zimeelezea nia yao ya kutuma meli zao kubwa zaidi, zipitie Mombasa pekee na kuangusha mizigo yote ya east Africa ilikuokoa wakati alafu meli ndogo ndogo zitawasambazia mizigo yenu pole pole vile mnavyo taka..... Ngoja tumalize port ya Lamu, tutachukua mizigo ya Horn yote manake dgibouti nao Ni gora moja Na dar kwa inefficiency
Several global shipping lines will deploy major vessels to the port of Mombasa next year in efforts to revive trade.
According to Kenya Ports Authority (KPA), big ships from Denmark's Maersk Line, Taiwan-listed Evergreen Marine Corp and French Shipping line CMA CGM will bring goods to Mombasa before they are re-exported to smaller ports in the region.
"The cargo will be re-exported to regional ports of Seychelles, Mauritius, Madagascar, Zanzibar, Dar es Salaam and Somalia by smaller ships," said KPA Managing Director Catherine Wairi-Mturi.
She added: "Maersk, Evergreen and CMA CGM have all committed to increase shipment business through Kenya even as Mombasa seeks to position itself as the region's transshipment hub."
She said construction of the Sh28 billion second container terminal, deepening of Likoni channel and widening of the basin to 300 metres will enable the port to handle bigger vessels.
Phase one of the second container terminal, commissioned in September this year, will increase the port's capacity by 450,000 Twenty-foot Equivalent Units (TEUs).
READMORE
*. Mombasa port will not be sold, Ruto assures
*. Trial of KPA managers to proceed, High Court rules
*. 13 KPA and KRA managers charged in Sh82m container scam
Bigger vessels have already started coming to Mombasa. In August, the port handled a 294-meters MV Ever Delight, so far the longest ship to call Mombasa after MV Ital Matina.
Ms Mturi said although global shipping trade is currently undergoing turbulent times, the future is bright.
"The shipping industry is currently going through trying times. The growth of container traffic is still very small, at 0.7 per cent this year, compared to last year," said Mturi.
According to KPA, the port handled 903,307 Twenty Equivalent Units (TEUs) of containers between January and October against 896, 717 over the same period last year, an increase of 6, 590 TEUs or 0.7 per cent.
In total, the port handled 22,895,408 tonnes of cargo this year against 22,224,369 tonnes last year.
"The recent removal of the custom bond is for instance a timely step that we believe will catalyse growth of this business and this will significantly boost Mombasa's quest to be a transshipment hub for the region," Mturi said.