pingli-nywee
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 11,923
- 13,350
Inaitwa Kenyan News. 😀😀😀 Usione tunachapana makonde kama WWIII ukadhani tuna chuki na mtu. Gumzo mitaani tu. Wenzako wanatoa povu extra leo, sijui kunani? 🙂Kwa mapovu hamujambo. Nmecheka sana japo nimejifunza mengi sana
Karne hii,LMC,mnakufa kwa njaa,mnauana kwa ukabila, mnapokea food donation kutoka nchi ya kijamaa,now who is 'shithole'?Hasira kwani unaniona? Swallow the bitter pill my friend, tz is a least developed shithole country! 😀😀😀
[emoji23] [emoji23] [emoji23] ,dah!Sasa kama tutakua tunazungumza mambo bila ushahidi itakuwaje?, unataka ukisema kitu tuamini bila kuthibitisha, sidhani hata wewe unaweza kuamini nitakalo sema bila kuomba ushahidi, ngoja nijaribu nione kama utaniamini bila kuomba ushahidi; kuanzia leo ninakuambia mimi ni baba yako mzazi[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Wewe nawe bana leta ushahidi kwamba hilo ni povu au unataka tuamini tu kwasababu umeeka emoji kama 50? Kila kitu sasa kinataka ushahidi. Mambo ya joto la jiwe hayo. 😀😀😀Kwa povu hili, inaonyesha umuhimu wa kutoa ushahidi kwa lile unalolisema umeelewa[emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122]
umesahau yule rais mwingine atakayeapishwa January 30, 2018 eti na bunge la wananchi. duu mido inkamu bana.Karne hii,LMC,mnakufa kwa njaa,mnauana kwa ukabila, mnapokea food donation kutoka nchi ya kijamaa,now who is 'shithole'?
You are the bigger shithole for consuming albino meat and being led by a dictator.Karne hii,LMC,mnakufa kwa njaa,mnauana kwa ukabila, mnapokea food donation kutoka nchi ya kijamaa,now who is 'shithole'?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Wewe nawe bana leta ushahidi kwamba hilo ni povu au unataka tuamini tu kwasababu umeeka emoji kama 50? Kila kitu sasa kinataka ushahidi. Mambo ya joto la jiwe hayo. 😀😀😀
My friend don't change the channel, acha tungoje hiyo januari 30. I also can't wait!umesahau yule rais mwingine atakayeapishwa January 30, 2018 eti na bunge la wananchi. duu mido inkamu bana.
Albino are attached in both countries kenya n TZ.You are the bigger shithole for consuming albino meat and being led by a dictator.
You are the bigger shithole for consuming albino meat and being led by a dictator.
Albinos are holed up in Kenya after running away from tz. Hehe ati ICC wants who? Let them come and take them.Albino are attached in both countries kenya n TZ.
How is our President a dictator? do you have a clue that UHURUTO r eagerly wanted at ICC after their terms elapse?endeleni kufuga criminals state house
Kwenye pipeline mlikenua meno hivyo, na sasa mnalia,subirini na hili.
Kweli ni fala kwahyo kenya sio masikini ,?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sio kwa kukopa huko usijae upepoNyinyi mna pesa gani ya kutukopesha? Mbona unaongea kana kwamba ulizaliwa jana? TRA inacollect pesa kidogo kushinda KRA. Hiyo ni kama masikini kumkopesha mtu aliye middle-class. Tanzania inahitaji mikopo zaidi ilI mjinasue kutoka kwa umasikini. Hakuna nchi iliyoendelea bila mikopo except the gulf countries juu ya mafuta . Najua wengi wenu hamjui kuwa Marekani ina debt to GDP ratio ya zaidi ya asilimia mia. Yaani (Debt: GDP =100%). Tafakari hayo
You are the bigger shithole for consuming albino meat and being led by a dictator.
Naona nimekugusa pabaya ndio maana, kwa mara ya kwanza naona ukitokwa na povu katika kila tundu la mwili. Nilidhani wewe ni kompyuta kwani unajibu maswali yote unayoulizwa. Unashinda JF usiku na mchana. Hujawahi kuwa mgonjwa au kuenda safari. Kila siku uko JF ukijibishana na watu. Umejaza server, kama ni kitabu, ungekuwa umeandika kitabu cha kurasa 10, 000. It is a waste of your talent my friend. With such passion for writing, you should have been either an academic or a serious author. Mimi kupata dakika 30 ya kuja hapa JF ni tabu lakini wewe, huku ndio nyumbani. Ama pengine wewe ni kompyuta na kazi yako ni kujibu kila mtu hapa JF. Hongera Toshiba Pentium 4 duo core, Windows 10.Katika watu wapuuzi na wajinga, wewe unaweza kuongoza humu JF, sisi hatujali mnakusanya pesa kiasi gani, tunachotaka kujua ni hizo pesa zinafanya nini, sio kujisifia unakusanya pesa wakati huna chakula, sasa hiyo pesa mnayokusanya inawasaidiaje kama hata kurudisha mikopo mnashindwa?
Wewe akili yako ni hovyo kabisa, hakuna nchi yoyote ile duniani ambayo inakopa pesa ili kulipa madeni ya nyuma, au kulipa recurrent expenditures, nchi ikifikia kiwango hicho, basi ujue hiyo nchi uchumi wake haukui kiasi cha kuweza kulipa madeni na haikopesheki tena na inakaribia kufilisika
Wewe akili yako ni boya kabisa, hivi unadhani Bill Gate hata deni lake likiwa ni 300% atakuwa sawa na wewe ambaye deni lako ni 1%?, wewe hata kama hudaiwi chochote bado hukopesheki, wakati Bill Gate bado ataendelea kukopesheka hata deni lake likifika 500%.
teh teh teh teh teh tihiii
ukiona hivi ujue hoja kwisha kabisa kichwani.
amehama toka hoja ya debt to GDP ratio hadi kwenye povu.
Naona hoja yako ya teh teh tihi tihi inanoga sana. Asee usiwe unarukia comment ambazo zilikuwa zinaelekezwa kwa mtu mwingine bila ya kufata mjadala wenyewe kutoka mwanzo. Its just dumb.teh teh teh teh teh tihiii
ukiona hivi ujue hoja kwisha kabisa kichwani.
amehama toka hoja ya debt to GDP ratio hadi kwenye povu.
Albinos r done what in kenya?Albinos are holed up in Kenya after running away from tz. Hehe ati ICC wants who? Let them come and take them.
PovuNaona nimekugusa pabaya ndio maana, kwa mara ya kwanza naona ukitokwa na povu katika kila tundu la mwili. Nilidhani wewe ni kompyuta kwani unajibu maswali yote unayoulizwa. Unashinda JF usiku na mchana. Hujawahi kuwa mgonjwa au kuenda safari. Kila siku uko JF ukijibishana na watu. Umejaza server, kama ni kitabu, ungekuwa umeandika kitabu cha kurasa 10, 000. It is a waste of your talent my friend. With such passion for writing, you should have been either an academic or a serious author. Mimi kupata dakika 30 ya kuja hapa JF ni tabu lakini wewe, huku ndio nyumbani. Ama pengine wewe ni kompyuta na kazi yako ni kujibu kila mtu hapa JF. Hongera Toshiba Pentium 4 duo core, Windows 10.
Naona hoja yako ya teh teh tihi tihi inanoga sana. Asee usiwe unarukia comment ambazo zilikuwa zinaelekezwa kwa mtu mwingine bila ya kufata mjadala wenyewe kutoka mwanzo. Its just dumb.