Kenya's GDP debt ratio hit 60%

Kenya's GDP debt ratio hit 60%

Kusema ukweli, Rwanda ni nchi huru na wanahaki ya kubadilisha akili yao kuhusu mambo kama haya. Wakiamua kujiunga na Sgr ya Tanzania, pia ni sawa. Tunawaombea Wanyarwanda kila la kheri. Tanzania mumejaribu sana kutuny'ang'anya miradi yetu lakini haina shida. Bado tunazidi kupepea na Sgr yetu lazima ikamilike. Kumbuka miradi nyingi ya T.Z bado haijaanza au ndio tu imeanza kwa hivyo don't count your chicks before they hatch. Kenya itazidi kutamba ukanda huu na hatuendi kokote.
Ninampango wa kuhama hili jukwaa la Kenya siku za karibu, sitoendelea kuchangia kwasababu ya kiwango kidogo cha uwelewa wa mambo mnachokionyesha ninyi wakenya, haina maana kama mtu anatoa comment bila kuifanyia utafiti wa kina, Miradi yote mnayoipoteza sababu kubwa sio Tanzania.

Rwanda ilikua tayari kuunganisha na Kenya, lakini Uganda ilisema haitokuwa na uwezo wa kujenga vipande vitatu kwa wakati mmoja, hivyo walichagua kuchagua Kampala kwenda Juba badala ya Kigali kutokana na ukubwa wa biashara kuwa mkubwa kuliko ule wa Rwanda na Uganda, Rwanda haikua na choice nyingine zaidi ya kuigeukia Tanzania, je Tanzania inahusikaje katika hilo?
 
Ninampango wa kuhama hili jukwaa la Kenya siku za karibu, sitoendelea kuchangia kwasababu ya kiwango kidogo cha uwelewa wa mambo mnachokionyesha ninyi wakenya, haina maana kama mtu anatoa comment bila kuifanyia utafiti wa kina, Miradi yote mnayoipoteza sababu kubwa sio Tanzania.

Rwanda ilikua tayari kuunganisha na Kenya, lakini Uganda ilisema haitokuwa na uwezo wa kujenga vipande vitatu kwa wakati mmoja, hivyo walichagua kuchagua Kampala kwenda Juba badala ya Kigali kutokana na ukubwa wa biashara kuwa mkubwa kuliko ule wa Rwanda na Uganda, Rwanda haikua na choice nyingine zaidi ya kuigeukia Tanzania, je Tanzania inahusikaje katika hilo?
Okay. Sikuwa na huo ufahamu. Asante kwa kunirekebisha. Ukitaka kutoka Kenya forum haitakuwa eti kwa sababu sisi hatufanyi utafiti. Itakuwa ni kwa sababu uko very argumentative na hukubali kushindwa. Saa zingine uko sahihi ila saa zingine huwa umepotoka na watu wanakupa hadi data lakini unajitia hamnazo. Wakenya kwa kufanya utafiti mbona tupo vizuri tu. Na kuhusu kuondoka JF, mbona hio ni kitu cha kawaida. Wengine wetu tuko busy na saa zingine tunakosa hata muda wa kuingia hapa JF. Ya mwisho, Kwa kheri unapoenda mapenzi section, huku tunahitaji wanaume kamili wanaoweza kustahimili debate bila kulalamika
 
teh teh teh teh teh tihiii
since morning ok fine, but for you since I came to know you. you are known to be a comic guy. so no one is taking you serious.
This is social media man. I don't give a rat's ass about how you or anyone for that matter thinks about my anonymous username and its opinions. Thats what it is. Am not one of those people who get ulcers over such irrelevant stuff. Still waiting to hear even one opinion from you about the topic at hand. Anyways, relax take a sip of what you like and repeat after me; all is well, all is well!
 
Back
Top Bottom