Kenya's highest building opens for business

Kenya's highest building opens for business

Hawapi kwa apartment nairobi haigusi dar hata kidogo.upanga yote imejaa apartment na ni majengo makubwa sana.nairobi nyie mna nyumba za chini nyingi.tuseme dar inaizid nairobi kwa magorofa mengi nyie mnaizidi dar kwa vinyumba vya chin.alaf wakati nyie mnajenga vicheap flyover dar wamejenga daraja kubwa hakuna east africa.
acheni ushamba wakenya kwa kupenda kusifia vyenu huku mkiona wengine hamna kitu.na ukitaka kujua mnapenda sifa angalia jinsi mnavosifia mlima kilimanjaro na wakati hata haupo kwenu,au mnavopenda kusifia wildbeest migration kutoka serengeti kuja eneo dogo la masai mara kila mtu atajua kuwa mnasifia.wakati wanyama wanaishi serengeti na huko wanakuja mda mfupi tena wanarudi kwao serengeti.lakin nyie ni misifa tuu.kila sehemu.kwaio hatushangai mnavosifia nairobi ivo.View attachment 419068tafuta image nzuri kama hii kqma utaiona nairobi hamna kabisa
hizo sio apartments....alafu hii picha inanikumbusha enzi zile wakati nairobi ilikuwa inakuwadefined na picha ya times na kicc.dar saii ni apa tu when nai imetoka kwa old cbd inaunda ingine upperhill yenye inaweza shindana na hapa.westlands nayo iko na ghorofa sita kwa mpigo yenye itatoa hii alafu wewe bado unaota
 
Hahahaha, bwahahahaha..
I like the way umetokwa povu,
BTW its wkend, karibu tuangalie mechi ya ATL VS GRA huku tukipata castle lagger baridi..

Then uniambie those flyovers are of what standard, na tel me if these photos of dar cbd are weirder than nai's

Dar cbd
View attachment 418660
View attachment 418662View attachment 418663View attachment 418664View attachment 418665View attachment 418666
Enjoy, n please do not hesitate to pm me if u need more photos[emoji16] [emoji16] [emoji16]
Duuu bongo yetu imenoga!!!
 
View attachment 419074nikisema dar ina majengo mengi namaanisha kama hapo.okey tafuta nairobi kama hapo uone kama utapata zaidi ya vipara vingi mjini.saiv dar ni kama sao paulo kwa density ya majengo yake. Sema saupaulo ni marefu sana[emoji2] [emoji2]

Dar hakuna lolote...From that aerial view...you can count only some ten true skyscrapers.The rest are Kariokorish death traps...zile zinaongezwa floors on an existing 3 storeys building.Now you know!!!!
 
Tz will always be full of morons! Jiepushe with arguing with fools, lest you want be fools. Nairobi will remain the commercial capital of Africa!
 
Dar hakuna lolote...From that aerial view...you can count only some ten true skyscrapers.The rest are Kariokorish death traps...zile zinaongezwa floors on an existing 3 storeys building.Now you know!!!!
Do me a favor, in that town of Nairobi search from all angles and bring me something like this,
1476641037879.jpg
 
hizo sio apartments....alafu hii picha inanikumbusha enzi zile wakati nairobi ilikuwa inakuwadefined na picha ya times na kicc.dar saii ni apa tu when nai imetoka kwa old cbd inaunda ingine upperhill yenye inaweza shindana na hapa.westlands nayo iko na ghorofa sita kwa mpigo yenye itatoa hii alafu wewe bado unaota
Hehehe eti ghorofa sita,
Kweli now Mnatia huruma,

BTW, in dar that cbd yu've been seeing inaanza kukosa umaarufu..
Now there is a massive construction of two new BD's in dar,
Victoria and Kawe city,
Achana na Kariakoo..
(As u r aware that Dar = nairobi*3)

Here is Victoria dsm
1476643379034.jpg


And here is Kawe city u/c
1476643455268.jpg
1476643461125.jpg
1476643464762.jpg


Hapo bado hatujazungumzia kigamboni..
 
If your city has no 3 hearts shut up once and for all, The main Nairobi CBD, monstrous upper Hill, and the pretty westlands! Nairobi is the city with 3 hearts Dar can only be compared to Kampala.
 
Nairobi is the headquarters Of multinationals investing in Africa, what of Dar? That's why you see super tall skyscrapers being erected in those 3 hearts.
 
The only city with a national park, in the world, a safety valve that filters the city atmosphere .
 
Talk of Cisco systems, Coca-Cola, World Bank, IMF, AVIC, STEPS,IBM,GOOGLE,...they're all here.
 
Kwani dar haina cbd nyingine? Aibu yenu wakenya wapenda sifa.hata hamuijui dar kazi kupiga kelele.kuna cbd victoria na pia kuna cbd osterbey.njooni muone ofisi siyo posta tuu
 
Hehehe eti ghorofa sita,
Kweli now Mnatia huruma,

BTW, in dar that cbd yu've been seeing inaanza kukosa umaarufu..
Now there is a massive construction of two new BD's in dar,
Victoria and Kawe city,
Achana na Kariakoo..
(As u r aware that Dar = nairobi*3)

Here is Victoria dsm
View attachment 419253

And here is Kawe city u/c
View attachment 419254View attachment 419255View attachment 419256

Hapo bado hatujazungumzia kigamboni..
Show us existing things please...................
 
Give me a break and get something better to do....Acha kutuonyesha aibu za kariokor
Unajisahaulisha kua kariakoo ndio mtaa mkubwa wa kibiashara Africa mashariki na kati ? Uku kwetu ndio kanda maalumu yakikodi maana tra wanavuna pesa nyingi sana pale kariakoo pekee na hapo hatujazungumzia sehemu zingne s daresalam. ....ukitaka kuiponda dar tafuta sehemu zingne tuachie kariakoo yetu sisi ndio tunaoelewa umuhimu wake kwa mapato ya serikali. .......ni ngumu kuja kua na ward kama kariakoo Kenya. .....hiyo imewezekana tu daresalam. ....nasema hivi msituchukulie poa
 
Back
Top Bottom