Kenya's military might

Kenya's military might

Shida yako ni upumbavu mwingi na kukosa maalifa,ukikosa fact za kupinga unaanza utoto
Samahani lakini kwenye rangi nyekundu, nini maana yake?
Halafu kwanini uniite mpumbavu? Je unajuaje kwama wewe ndiye mpumbavu? Unawe kunipatia proof?
Hebu check hapa, Kenyan Police Force, kiuno kama nyigu. Kwikwikwikwi
images
 
Samahani lakini kwenye rangi nyekundu, nini maana yake?
Halafu kwanini uniite mpumbavu? Je unajuaje kwama wewe ndiye mpumbavu? Unawe kunipatia proof?
Hebu check hapa, Kenyan Police Force, kiuno kama nyigu. Kwikwikwikwi
images
Huyo akikukalia tu kifuani, unapoteza fahamu. Endelea tu kucheka ata sio lazima atumie bunduki Hehe
 
Hahaha ata sijui nianzie wapi. Waarabu wape heshima yao. Egypt ni wazimu kama bullshit. Nenda wikipedia type " Yom Kippur war". Kwa kifupi hii yom Kippur war ilipiganwa baina ya Israel na Egypt mwaka wa 1973. Egypt ilikuwa inalipiza kisasi baada ya Israel kuishinda katika 6 day war in 1967. Israel ilikuwa inapewa silaha na mafunzo na Wamarekani huku Egypt ikisaidiwa na Russia. Kwa kifupi ngoma ilitoka draw. Hata Israel hawakuamini
wakamlazimisha prime minister Golda Meir Kujiuzulu kwa aibu waliyopata. President wa Egypt aliyecheza ngoma hiyo ni shujaa ngozi nyeusi aliyeitwa Anwar Sadat na Alishinda Nobel peace prize kwa kutia mkataba wa amani na Israel. Israel walitandikwa hadi wakakubali kutia mkataba wa amani na kuregesha ardhi ya misri inayoitwa Sinai peninsular waliyokuwa wamenyakua. Misri ni nyoko apana leta machezo

Kumbuka October war (Yom kippur) Israel ilikuwa inapigana na mataifa yote ya kiarabu. It wasnt draw AT ALL. Jordan ililazimishwa kurudi nyuma Damascus was Hit by IAF, Misri waliokuwa KWELI wamevuka suez waligawanywa na Israel iliwarudisha nyuma Draw kwa muarabu ni kuvuka Suez japo pasipo FAIDA KWAKE Later Asaad was assasinated
 
Thread inahusu uwezo wa kijeshi, hizo picha za polisi zinahusiana vipi?
Kwetu tanzania Police linaitwa Jeshi (Jeshi la polisi Tanzania). Sawa
Wote hao ni jeshi.
Amiri Jeshi mkuu ni raisi
Majeshi yaliyopo Tanzania:-
1. Jeshi la Polisi
2. Jeshi la Uhamiaji
3. Jeshi la zima moto na uokoaji
4. Jeshi la magereza
5. Jeshi la mali asili
6. Jeshi la mgambo na kikosi cha akiba
7. Jeshi la kujenga Taifa
8. Jeshi la wananchi Tanzania
9. Jeshi la sungusungu


Mpaka hapo utakuwa umeelewa kuwa watanzania wote ni wanajeshi wanatofautiana idara zao tu.

Na kila Jeshi linavitengo vyake.
 
Kwetu tanzania Police linaitwa Jeshi (Jeshi la polisi Tanzania). Sawa
Wote hao ni jeshi.
Amiri Jeshi mkuu ni raisi
Majeshi yaliyopo Tanzania:-
1. Jeshi la Polisi
2. Jeshi la Uhamiaji
3. Jeshi la zima moto na uokoaji
4. Jeshi la magereza
5. Jeshi la mali asili
6. Jeshi la mgambo na kikosi cha akiba
7. Jeshi la kujenga Taifa
8. Jeshi la wananchi Tanzania
9. Jeshi la sungusungu


Mpaka hapo utakuwa umeelewa kuwa watanzania wote ni wanajeshi wanatofautina idara zao tu.

Na kila Jeshi linavitengo vyake.
Usichanganye mambo. Hivi hata maana ya military hujui? au unadhani neno force ndio ina maana ya jeshi?
 
Usichanganye mambo. Hivi hata maana ya military hujui? au unadhani neno force ndio ina maana ya jeshi?
Nani kachanganya hapo?
Force kwa kiswahili ni "kani"
Sisi tuna majeshi ya ulinzi na usalama.
Ndio maana General huwa ni mmoja tu.
Anaaitwa mkuu wa majeshi ya ulinzi na usalama. Majeshi maana yake mengi "Hayo hapo juu nimekutajia"

Jeshi la police linakazi ya kulinda Raia na mali zao

Soma hapa:

Mwanzo | Jeshi La Polisi Tanzania
 
Nani kachanganya hapo?
Force kwa kiswahili ni "kani"
Sisi tuna majeshi ya ulinzi na usalama.
Ndio maana General huwa ni mmoja tu.
Anaaitwa mkuu wa majeshi ya ulinzi na usalama. Majeshi maana yake mengi "Hayo hapo juu nimekutajia"

Jeshi la police linakazi ya kulinda Raia na mali zao

Soma hapa:

Mwanzo | Jeshi La Polisi Tanzania
Kwani jeshi ni nini? unaweza kuandika kwa kiingereza jeshi la magereza au uhamiaji?
 
Back
Top Bottom