Samahani lakini kwenye rangi nyekundu, nini maana yake?Shida yako ni upumbavu mwingi na kukosa maalifa,ukikosa fact za kupinga unaanza utoto
Huyo akikukalia tu kifuani, unapoteza fahamu. Endelea tu kucheka ata sio lazima atumie bunduki HeheSamahani lakini kwenye rangi nyekundu, nini maana yake?
Halafu kwanini uniite mpumbavu? Je unajuaje kwama wewe ndiye mpumbavu? Unawe kunipatia proof?
Hebu check hapa, Kenyan Police Force, kiuno kama nyigu. Kwikwikwikwi
Police Field Force Unit (FFU) TanzaniaHuyo akikukalia tu kifuani, unapoteza fahamu. Endelea tu kucheka ata sio lazima atumie bunduki Hehe
vile wanavaa uniform mbovu ka za KWSPolice FFU Tanzania
Kwikwikwikwikwikwi. Leta Uniform za kwenu hapavile wanavaa uniform mbovu ka za KWS
Naona kwa kujigamba, hawa wanaeza chukuwa kikombe bila tashwishi yoyotePolice FFU Tanzania
Al-shabab wamewashinda je tukiwaletea WATU WASIOJULIKANA kutoka Tz si watapindua nchi kabisa
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha ata sijui nianzie wapi. Waarabu wape heshima yao. Egypt ni wazimu kama bullshit. Nenda wikipedia type " Yom Kippur war". Kwa kifupi hii yom Kippur war ilipiganwa baina ya Israel na Egypt mwaka wa 1973. Egypt ilikuwa inalipiza kisasi baada ya Israel kuishinda katika 6 day war in 1967. Israel ilikuwa inapewa silaha na mafunzo na Wamarekani huku Egypt ikisaidiwa na Russia. Kwa kifupi ngoma ilitoka draw. Hata Israel hawakuamini
wakamlazimisha prime minister Golda Meir Kujiuzulu kwa aibu waliyopata. President wa Egypt aliyecheza ngoma hiyo ni shujaa ngozi nyeusi aliyeitwa Anwar Sadat na Alishinda Nobel peace prize kwa kutia mkataba wa amani na Israel. Israel walitandikwa hadi wakakubali kutia mkataba wa amani na kuregesha ardhi ya misri inayoitwa Sinai peninsular waliyokuwa wamenyakua. Misri ni nyoko apana leta machezo
Sio uniform za waimba kwaya hizi acheni masihara bwana waimba kwaya hawaKwikwikwikwikwikwi. Leta Uniform za kwenu hapa
Kenyan Police Uniforms
Thread inahusu uwezo wa kijeshi, hizo picha za polisi zinahusiana vipi?Our forces are using variety of rifles. Let me show you through photos.
AK 47
IMI Tavor assault rifle
QCW-05 QBZ-95
MG GALIL RIFLE
Uzi
[/CENTER]
M4
Flickr 上 jazzbeezy 的 Tanzanians
Kwetu tanzania Police linaitwa Jeshi (Jeshi la polisi Tanzania). SawaThread inahusu uwezo wa kijeshi, hizo picha za polisi zinahusiana vipi?
Karibu. Naona ndio post yako ya kwanza hii.FFU is nothing compared to recce
Usichanganye mambo. Hivi hata maana ya military hujui? au unadhani neno force ndio ina maana ya jeshi?Kwetu tanzania Police linaitwa Jeshi (Jeshi la polisi Tanzania). Sawa
Wote hao ni jeshi.
Amiri Jeshi mkuu ni raisi
Majeshi yaliyopo Tanzania:-
1. Jeshi la Polisi
2. Jeshi la Uhamiaji
3. Jeshi la zima moto na uokoaji
4. Jeshi la magereza
5. Jeshi la mali asili
6. Jeshi la mgambo na kikosi cha akiba
7. Jeshi la kujenga Taifa
8. Jeshi la wananchi Tanzania
9. Jeshi la sungusungu
Mpaka hapo utakuwa umeelewa kuwa watanzania wote ni wanajeshi wanatofautina idara zao tu.
Na kila Jeshi linavitengo vyake.
Nani kachanganya hapo?Usichanganye mambo. Hivi hata maana ya military hujui? au unadhani neno force ndio ina maana ya jeshi?
Kwani jeshi ni nini? unaweza kuandika kwa kiingereza jeshi la magereza au uhamiaji?Nani kachanganya hapo?
Force kwa kiswahili ni "kani"
Sisi tuna majeshi ya ulinzi na usalama.
Ndio maana General huwa ni mmoja tu.
Anaaitwa mkuu wa majeshi ya ulinzi na usalama. Majeshi maana yake mengi "Hayo hapo juu nimekutajia"
Jeshi la police linakazi ya kulinda Raia na mali zao
Soma hapa:
Mwanzo | Jeshi La Polisi Tanzania