Mimi naweka vitu ambavyo tayari viko kwenye public tayari. Na hiyo nayo ni siraha kama jirani anamilk gobore, mwoneshe AK47 yako. Atatulia kupiga kelele.
Mavi yako, umesikia malalamiko yao? Hawalipwi stahili zao, wanadanganywa, wanatishwa, wamejaa hofu na woga ungejua usingesemaThubutuuuu.
Hao mgambo wa alshabaabu tu wanawatoa Kamasi kule somali land
Tanzania ndio the Most powerful afrika mashariki na Kati yote
Na kwa bara la afrika nzima.
JWTZ Hatutoki nje ya 3 bora,
kama sio Namba Moja kabisa.
Labda Egypt na South Afrika.
Manake bajeti ya jeshi la Egypt linafadhiliwa na USA. Hawa watakua powerful kwasababu ya mgongo wa mwamerika.
South Afrika hawa wako vizuri kiuchumi tangu siku nyingi.
Namibia wanatengeneza ndege zao wenyewe, lakini bado hawazidi mziki wetu.
Nigeria wale washakua vimeo toka long time. Jeshi lao halina nidhamu. Lina mapungufu mengi.
Afrika imeisha yote. Kwishney..!!
Tumebaki sisi ambao ni strong and solid.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi sijui lakini ninahisi waliotusaidia ni USSR, North Korea na China.hahahaha unanikosha yaani we Unajua vitu vingi kuhusu hii nchi. vipi kuna sehemu Fulani nilisoma Inasema, Nyerere alinyimwa msaada na mataifa mengine Kwenye vita ya kagera, kutokana na shutuma za kujihisisha Kwenye mapinduzi ya Seychelles miaka ya 70. kama Unajua unaweza nifafanulia pm.
Proof please? Siyo kutuletea siasa za maji taka humu.Mavi yako, umesikia malalamiko yao? Hawalipwi stahili zao, wanadanganywa, wanatishwa, wamejaa hofu na woga ungejua usingesema
Sent using Jamii Forums mobile app
Leta yenu kwanza. Sisi silaha zetu tunatoa kutoka kwenye nchi za kijamaa bei nafuu. Nyie mnatoka toka kwa mabepari bei ya juu silaha mbovu.budget ya jeshi lenu ni ngapi kwanza?
Mimi sijui lakini ninahisi waliotusaidia ni USSR, North Korea na China.
Jaribu kufanya mahusiano nao, tena mambo kama haya hayafai labda kuna kitu unataka kujua kama kinajulikana, na kama ndivyo ukweli unaujua, nyamaza kimyaaaProof please? Siyo kutuletea siasa za maji taka humu.
Thubutuuuu.
Hao mgambo wa alshabaabu tu wanawatoa Kamasi kule somali land
Tanzania ndio the Most powerful afrika mashariki na Kati yote
Na kwa bara la afrika nzima.
JWTZ Hatutoki nje ya 3 bora,
kama sio Namba Moja kabisa.
Labda Egypt na South Afrika.
Manake bajeti ya jeshi la Egypt linafadhiliwa na USA. Hawa watakua powerful kwasababu ya mgongo wa mwamerika.
South Afrika hawa wako vizuri kiuchumi tangu siku nyingi.
Namibia wanatengeneza ndege zao wenyewe, lakini bado hawazidi mziki wetu.
Nigeria wale washakua vimeo toka long time. Jeshi lao halina nidhamu. Lina mapungufu mengi.
Afrika imeisha yote. Kwishney..!!
Tumebaki sisi ambao ni strong and solid.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nawapenda wambongo sana kwa ndomo na vitendo zero, hamjambo wambongolalaLeta ushahidi ndugu. Kwanza ujue tanzania(JWTZ) ni 27 duniani
JWTZ kushika nafasi ya 27 kwa ubora duniani
Kwanini unipangie cha kuongea ndugu. Wewe ongea issue zako. Hapa tunaongea vitu kwa proof. Siyo mbwembwe zako za kihuni. Ninataka ulete proof unaanza kulia lia. Hakuna Tanzania wafanyakazi wa umma wanaolipwa vizuri kama wanajeshi.Jaribu kufanya mahusiano nao, tena mambo kama haya hayafai labda kuna kitu unataka kujua kama kinajulikana, na kama ndivyo ukweli unaujua, nyamaza kimyaaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Vitendo vyako ni nini sasa?Nawapenda wambongo sana kwa ndomo na vitendo zero, hamjambo wambongolala
Hahaha ata sijui nianzie wapi. Waarabu wape heshima yao. Egypt ni wazimu kama bullshit. Nenda wikipedia type " Yom Kippur war". Kwa kifupi hii yom Kippur war ilipiganwa baina ya Israel na Egypt mwaka wa 1973. Egypt ilikuwa inalipiza kisasi baada ya Israel kuishinda katika 6 day war in 1967. Israel ilikuwa inapewa silaha na mafunzo na Wamarekani huku Egypt ikisaidiwa na Russia. Kwa kifupi ngoma ilitoka draw. Hata Israel hawakuaminiEti Nigeria, Poor you.!!
Kwa taarifa yako, jeshi la Nigeria limekua bovu kuliko maelezo. Lina rushwa, mamluki, udini, ukabila. Kiufupi wamekua dhaifu sana. Hata mbele ya al- Wilāya al-Islāmiyya Gharb Afrīqiyyah.
Hawa hawawezi mziki wetu. Itabakia dhana tu kua wananguvu za kufikirika lakini hawawezi pambana na JWTZ.
Kule Afrika Magharibi, Libya ya Ghadafi ndio ilikua na nguvu.
Lakini walishaleta kikosi chao hapa bongo kumsaidi Nduli, wakachezea kichapo cha mbwa mwizi. Manake na wao walikua wana tu undermine uwezo wetu. Tuliwa-suprize sana tu.!!
Morocco na Algeria. I can assure you, hapa hakuna Jeshi..hawa waarabu hawana jipya. Mtu mweusi ni Balaa.
Jeshi la Tizedi lina mafunzo makali sana. Hawa waarabu hawawezi mziki wetu. Wako nyoronyoro sana kama wanawake.
Sisi Tanzania hatuko nje ya na 5 lakini kuna kila possibility sisi ndio namba moja Afrika.
Tuna jeshi lenye umoja, halijawahi kuingiliwa na siasa ndani wala blah blah zingine!!
Lenye nidhamu ya hali ya juu,ambayo hakuna jeshi AFRIKA wanayo
Mazoezi magumu utadhani ni SEAL wa USA.
Jeshi letu lina SIRI SANA katika uwezo wake WA juu. Hua hazivuji kama hayo mataifa mengine.
Nenda huko Morroco na Algeria utakuta mafunzo ni ya kuendesha kifaru na ndege. Lakini physicality wako kama wanawake.
Jeshi letu halijawahi kupoteza integrity yake kwa kila mkuu wa majeshi anayeingia nchini hadi huyu wa sasa Generally Mabeyo.
Hao wakenya, wanaukabila hadi ndani ya jeshi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Utulivu wa nchi ni kwa sababu ulinzi uko imara.jambo la kwanza, TZ hamna uzoefu wa vita....mpo kweny nchi tulivu..sasa huwezi ukasema ww ni bora kijeshi na hamna uzoefu wowote...KDf wamekuwa kule somalia kwa miaka 5 sasa na pia wamekuwa Sudan kusini....tukasema sasa KDF vs TPDF tunawamaliza asubui na tunaelekea kula lunch tukicheka....hata muwe na missile launchers elfu moja na hamna uzoefu wa vita nyie ni bure tu...zile missile nikama kalamu tu...zimekaa tu pale barracks hazifanyi kazi...
si mjaribu tu...mtajua kuwa Kenya pia hatu bahatishi...please refer to thisUtulivu wa nchi ni kwa sababu ulinzi uko imara.
Wewe angalia tunazungukwa na nchi zilizo na mapigano kila kukicha lakini Tanzania ipo tulivu sana kwa sababu ya ulinzi ulio imara.
Congo, Mozambique, Burundi nk.
Halafu nyie mnaenda kule somalia kwa kihere here chenu tu.
Nairobi tunaishushia kipondo ndani ya sekunde inapotea.
Tunaweka mashine mbili tu pale Kilimanjaro (A-100 multiple rocket launchers) Nairobi inabaki majivu.