Kenya's military might

Kenya's military might

Mimi naweka vitu ambavyo tayari viko kwenye public tayari. Na hiyo nayo ni siraha kama jirani anamilk gobore, mwoneshe AK47 yako. Atatulia kupiga kelele.

hahahaha unanikosha yaani we Unajua vitu vingi kuhusu hii nchi. vipi kuna sehemu Fulani nilisoma Inasema, Nyerere alinyimwa msaada na mataifa mengine Kwenye vita ya kagera, kutokana na shutuma za kujihisisha Kwenye mapinduzi ya Seychelles miaka ya 70. kama Unajua unaweza nifafanulia pm.
 
Thubutuuuu.

Hao mgambo wa alshabaabu tu wanawatoa Kamasi kule somali land

Tanzania ndio the Most powerful afrika mashariki na Kati yote

Na kwa bara la afrika nzima.

JWTZ Hatutoki nje ya 3 bora,
kama sio Namba Moja kabisa.

Labda Egypt na South Afrika.
Manake bajeti ya jeshi la Egypt linafadhiliwa na USA. Hawa watakua powerful kwasababu ya mgongo wa mwamerika.

South Afrika hawa wako vizuri kiuchumi tangu siku nyingi.
Namibia wanatengeneza ndege zao wenyewe, lakini bado hawazidi mziki wetu.

Nigeria wale washakua vimeo toka long time. Jeshi lao halina nidhamu. Lina mapungufu mengi.

Afrika imeisha yote. Kwishney..!!

Tumebaki sisi ambao ni strong and solid.


Sent using Jamii Forums mobile app
Mavi yako, umesikia malalamiko yao? Hawalipwi stahili zao, wanadanganywa, wanatishwa, wamejaa hofu na woga ungejua usingesema

Sent using Jamii Forums mobile app
 
hahahaha unanikosha yaani we Unajua vitu vingi kuhusu hii nchi. vipi kuna sehemu Fulani nilisoma Inasema, Nyerere alinyimwa msaada na mataifa mengine Kwenye vita ya kagera, kutokana na shutuma za kujihisisha Kwenye mapinduzi ya Seychelles miaka ya 70. kama Unajua unaweza nifafanulia pm.
Mimi sijui lakini ninahisi waliotusaidia ni USSR, North Korea na China.
 
budget ya jeshi lenu ni ngapi kwanza?
Leta yenu kwanza. Sisi silaha zetu tunatoa kutoka kwenye nchi za kijamaa bei nafuu. Nyie mnatoka toka kwa mabepari bei ya juu silaha mbovu.
 
Thubutuuuu.

Hao mgambo wa alshabaabu tu wanawatoa Kamasi kule somali land

Tanzania ndio the Most powerful afrika mashariki na Kati yote

Na kwa bara la afrika nzima.

JWTZ Hatutoki nje ya 3 bora,
kama sio Namba Moja kabisa.

Labda Egypt na South Afrika.
Manake bajeti ya jeshi la Egypt linafadhiliwa na USA. Hawa watakua powerful kwasababu ya mgongo wa mwamerika.

South Afrika hawa wako vizuri kiuchumi tangu siku nyingi.
Namibia wanatengeneza ndege zao wenyewe, lakini bado hawazidi mziki wetu.

Nigeria wale washakua vimeo toka long time. Jeshi lao halina nidhamu. Lina mapungufu mengi.

Afrika imeisha yote. Kwishney..!!

Tumebaki sisi ambao ni strong and solid.


Sent using Jamii Forums mobile app

WELL SAID.

WE LEAD. OTHERS FOLLOW
 
Jaribu kufanya mahusiano nao, tena mambo kama haya hayafai labda kuna kitu unataka kujua kama kinajulikana, na kama ndivyo ukweli unaujua, nyamaza kimyaaa

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwanini unipangie cha kuongea ndugu. Wewe ongea issue zako. Hapa tunaongea vitu kwa proof. Siyo mbwembwe zako za kihuni. Ninataka ulete proof unaanza kulia lia. Hakuna Tanzania wafanyakazi wa umma wanaolipwa vizuri kama wanajeshi.
Wewe shida zako binafsi usizilete kwetu.
SISI TUMEFUNZWA UZALENDO
 
Nawapenda wambongo sana kwa ndomo na vitendo zero, hamjambo wambongolala
Vitendo vyako ni nini sasa?
kama wewe ni mtanzania,
Wazazi wako hawajafanya chochote kwako ndio maana upo hapo(Maana nao ni watanzania)
 
Eti Nigeria, Poor you.!!

Kwa taarifa yako, jeshi la Nigeria limekua bovu kuliko maelezo. Lina rushwa, mamluki, udini, ukabila. Kiufupi wamekua dhaifu sana. Hata mbele ya al- Wilāya al-Islāmiyya Gharb Afrīqiyyah.

Hawa hawawezi mziki wetu. Itabakia dhana tu kua wananguvu za kufikirika lakini hawawezi pambana na JWTZ.

Kule Afrika Magharibi, Libya ya Ghadafi ndio ilikua na nguvu.
Lakini walishaleta kikosi chao hapa bongo kumsaidi Nduli, wakachezea kichapo cha mbwa mwizi. Manake na wao walikua wana tu undermine uwezo wetu. Tuliwa-suprize sana tu.!!

Morocco na Algeria. I can assure you, hapa hakuna Jeshi..hawa waarabu hawana jipya. Mtu mweusi ni Balaa.

Jeshi la Tizedi lina mafunzo makali sana. Hawa waarabu hawawezi mziki wetu. Wako nyoronyoro sana kama wanawake.

Sisi Tanzania hatuko nje ya na 5 lakini kuna kila possibility sisi ndio namba moja Afrika.

Tuna jeshi lenye umoja, halijawahi kuingiliwa na siasa ndani wala blah blah zingine!!

Lenye nidhamu ya hali ya juu,ambayo hakuna jeshi AFRIKA wanayo
Mazoezi magumu utadhani ni SEAL wa USA.

Jeshi letu lina SIRI SANA katika uwezo wake WA juu. Hua hazivuji kama hayo mataifa mengine.

Nenda huko Morroco na Algeria utakuta mafunzo ni ya kuendesha kifaru na ndege. Lakini physicality wako kama wanawake.

Jeshi letu halijawahi kupoteza integrity yake kwa kila mkuu wa majeshi anayeingia nchini hadi huyu wa sasa Generally Mabeyo.

Hao wakenya, wanaukabila hadi ndani ya jeshi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha ata sijui nianzie wapi. Waarabu wape heshima yao. Egypt ni wazimu kama bullshit. Nenda wikipedia type " Yom Kippur war". Kwa kifupi hii yom Kippur war ilipiganwa baina ya Israel na Egypt mwaka wa 1973. Egypt ilikuwa inalipiza kisasi baada ya Israel kuishinda katika 6 day war in 1967. Israel ilikuwa inapewa silaha na mafunzo na Wamarekani huku Egypt ikisaidiwa na Russia. Kwa kifupi ngoma ilitoka draw. Hata Israel hawakuamini
wakamlazimisha prime minister Golda Meir Kujiuzulu kwa aibu waliyopata. President wa Egypt aliyecheza ngoma hiyo ni shujaa ngozi nyeusi aliyeitwa Anwar Sadat na Alishinda Nobel peace prize kwa kutia mkataba wa amani na Israel. Israel walitandikwa hadi wakakubali kutia mkataba wa amani na kuregesha ardhi ya misri inayoitwa Sinai peninsular waliyokuwa wamenyakua. Misri ni nyoko apana leta machezo
 
BM-21 multiple rocket launchers
Mpo nazo nyie kenya?
 
SA-6 surface-to-air missiles. Zipo Kenya?


full-30977-63694-26_208485_1a512fdb1da9572.jpg



32.jpg



300px-2K12_operators.png
 
jambo la kwanza, TZ hamna uzoefu wa vita....mpo kweny nchi tulivu..sasa huwezi ukasema ww ni bora kijeshi na hamna uzoefu wowote...KDf wamekuwa kule somalia kwa miaka 5 sasa na pia wamekuwa Sudan kusini....tukasema sasa KDF vs TPDF tunawamaliza asubui na tunaelekea kula lunch tukicheka....hata muwe na missile launchers elfu moja na hamna uzoefu wa vita nyie ni bure tu...zile missile nikama kalamu tu...zimekaa tu pale barracks hazifanyi kazi...
Pili, pesa zilizotengwa kwa ajili ya jeshi every financial year ni nyingi Kenya kuliko tanzania pmoja na training na facilities za kivita...juzi tu tumenunua zile ndege za kuangusha missile toka marekani...
 
jambo la kwanza, TZ hamna uzoefu wa vita....mpo kweny nchi tulivu..sasa huwezi ukasema ww ni bora kijeshi na hamna uzoefu wowote...KDf wamekuwa kule somalia kwa miaka 5 sasa na pia wamekuwa Sudan kusini....tukasema sasa KDF vs TPDF tunawamaliza asubui na tunaelekea kula lunch tukicheka....hata muwe na missile launchers elfu moja na hamna uzoefu wa vita nyie ni bure tu...zile missile nikama kalamu tu...zimekaa tu pale barracks hazifanyi kazi...
Utulivu wa nchi ni kwa sababu ulinzi uko imara.
Wewe angalia tunazungukwa na nchi zilizo na mapigano kila kukicha lakini Tanzania ipo tulivu sana kwa sababu ya ulinzi ulio imara.

Congo, Mozambique, Burundi nk.

Halafu nyie mnaenda kule somalia kwa kihere here chenu tu.
Nairobi tunaishushia kipondo ndani ya sekunde inapotea.
Tunaweka mashine mbili tu pale Kilimanjaro (A-100 multiple rocket launchers) Nairobi inabaki majivu.


2017.jpg




Tanzania%2BA100.JPG
 
Utulivu wa nchi ni kwa sababu ulinzi uko imara.
Wewe angalia tunazungukwa na nchi zilizo na mapigano kila kukicha lakini Tanzania ipo tulivu sana kwa sababu ya ulinzi ulio imara.

Congo, Mozambique, Burundi nk.

Halafu nyie mnaenda kule somalia kwa kihere here chenu tu.
Nairobi tunaishushia kipondo ndani ya sekunde inapotea.
Tunaweka mashine mbili tu pale Kilimanjaro (A-100 multiple rocket launchers) Nairobi inabaki majivu.


2017.jpg




Tanzania%2BA100.JPG
si mjaribu tu...mtajua kuwa Kenya pia hatu bahatishi...please refer to this
https://answersafrica.com/7-african-countries-with-highest-military-strength.html/8
hampo hata top 10 maskini
listi ni hivi top 6
1. Egypt
2. Algeria
3. Ethiopia
4. South Africa
5. Nigeria
6. Kenya
yaani tz huwa ni domo tu lakini hamna chochote wala lolote...
 
Back
Top Bottom