Kenya's military might

Kenya's military might

Eti Nigeria, Poor you.!!

Kwa taarifa yako, jeshi la Nigeria limekua bovu kuliko maelezo. Lina rushwa, mamluki, udini, ukabila. Kiufupi wamekua dhaifu sana. Hata mbele ya al- Wilāya al-Islāmiyya Gharb Afrīqiyyah.

Hawa hawawezi mziki wetu. Itabakia dhana tu kua wananguvu za kufikirika lakini hawawezi pambana na JWTZ.

Kule Afrika Magharibi, Libya ya Ghadafi ndio ilikua na nguvu.
Lakini walishaleta kikosi chao hapa bongo kumsaidi Nduli, wakachezea kichapo cha mbwa mwizi. Manake na wao walikua wana tu undermine uwezo wetu. Tuliwa-suprize sana tu.!!

Morocco na Algeria. I can assure you, hapa hakuna Jeshi..hawa waarabu hawana jipya. Mtu mweusi ni Balaa.

Jeshi la Tizedi lina mafunzo makali sana. Hawa waarabu hawawezi mziki wetu. Wako nyoronyoro sana kama wanawake.

Sisi Tanzania hatuko nje ya na 5 lakini kuna kila possibility sisi ndio namba moja Afrika.

Tuna jeshi lenye umoja, halijawahi kuingiliwa na siasa ndani wala blah blah zingine!!

Lenye nidhamu ya hali ya juu,ambayo hakuna jeshi AFRIKA wanayo
Mazoezi magumu utadhani ni SEAL wa USA.

Jeshi letu lina SIRI SANA katika uwezo wake WA juu. Hua hazivuji kama hayo mataifa mengine.

Nenda huko Morroco na Algeria utakuta mafunzo ni ya kuendesha kifaru na ndege. Lakini physicality wako kama wanawake.

Jeshi letu halijawahi kupoteza integrity yake kwa kila mkuu wa majeshi anayeingia nchini hadi huyu wa sasa Generally Mabeyo.

Hao wakenya, wanaukabila hadi ndani ya jeshi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi nimekaa Algeria... nakwambia Algeria wapo fresh kuliko unavyowaza...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kamulize huyo museveni kilichotokea kati ya wanajeshi wake na wafugaji kutoka pokot mwaka 2009
Mkuu ujue unanichekesha sana hao wanajeshi walitumia Utu tu na isitoshe kenya Jiran yao.Unataka kuniambia mtu ana Smg wafugaji wanamapanga ,mikuki wakawashinda?? acha Bwana usijidanganye tena jeshi la Uganda sasa hivi liko vizur kuliko unavyodhani wamenunua ndege za Sukhoi -30 kutoka Urusi zikovizur hakuna mfano Africa ni wao na Algeria tu ndiyo wanazo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kamulize huyo museveni kilichotokea kati ya wanajeshi wake na wafugaji kutoka pokot mwaka 2009
Museveni anawaletea ubabe kwenye kile kisiwa chenu cha migingo na hakuna kitu mnaweza mfanya.
 
Yaani mnatumia binduki za world war one.

Our forces are using variety of rifles. Let me show you through photos.

AK 47

4.JPG


IMI Tavor assault rifle


ot%2Bpic-8323.jpg


ot%2Bpic-8269-2.jpg


QCW-05 QBZ-95

ot%2Bpic-8283.jpg



MG GALIL RIFLE

1280px-thumbnail.jpg



FIB-training-23_(9311331417).jpg


1280px-thumbnail.jpg


1280px-thumbnail.jpg


1280px-thumbnail.jpg


FIB-training-22_(9311333487).jpg


Uzi

16.jpg
[/CENTER]

18.jpg


M4

ULINZI+KESI+YA+SHEIKHE+PONDA+ISSA+PONDA+MORO+PIX+NO+2.JPG


DSC03080.JPG



Flickr 上 jazzbeezyTanzanians

191.jpg



 
Most Kenyans are unaware of military issues and the crap you just posted attest to that. Angalia USA/France/UK/Germany wanatoa wanajeshi wachache sana.

Pia lazima ujue kuwa, Peacekeeping operation ni ujinga kwakua huruhusiwi hata kupiga risasi hewani.

UN kwa mara ya kwanza wameimplement peace-enforcing hii engagement ya mtitutu na kwa mara ya kwanza kwenye history ya Dunia imefanywa na kuongozwa na TPDF Congo dhidi ya M23.


"Therein lies the second point. Tanzania is actually doing a lot of the heavy lifting for the FIB. Its commander, Brigadier General James Aloizi Mwakibolwa has decades of command experience, and is well-suited for this kind of campaign. Beyond this, the Tanzanians are bringing an artillery company, Special Forces and a host of other useful detachments that will be valuable in locating and destroying M23. In total, Tanzania's bringing about 1,300 troops to this fight, actually making them the lead actors in the operation.” dailymaverick.co.za
Sawabingwa wa military issues..

Those countries that you mentioned are the biggest funders of UN peacekeeping missions, they usually send smaller contigents o thata they don''t get accused of taking over hose mission,because the country that sends most troops usually gets first priority in bieng overall command of all the troops i that mission, if the world power country that contributed money is also given command then it stops to be seen as UN mission, even the host country might refuse UN help if US or France or UK is leading the mission.
Kina US/France/German are world powers if they want to get really involved they don't ask for permission like the rest of us and subject themselves to UN peacekeeping rules of engagement FYI France has over 3,000 soldiers fighting in west Africa (Chad,Niger, Bukina faso), at the height of the war in Middle-east the US and its NATO allies (UK/Germany/Italy/Canada) hadover 50,000 troops including about 30,000 special forces!
The first 8 Months Kenya went to Somalia it did not ask permission from AU or UN, we justs sent a notification letter to the UN and theirfore we were never bound by peacekeeping rules of engagement.

Alafu hayo ya kupigana na wale child soldiers wa M23 hata usiseme, Did you read the story after that operation ended, told by SADF soldiers, according to them they did most of the work engaging the rebels, their airpower saved alot of soldiers from Tz and Malawi.

SAAF Orynx Utility helicopter and Rooivalk gunships did alot of transport/rescue and armed escorts to the FIB troops

UN_Oryx_DRC_400x300.jpg

images

Rooivalks_UN_DRC_400x300.jpg





On the other hand Tanzania special Forces when to DRC for other mission

More UN peacekeepers accused of sex crimes
Your soldiers did so much raping eventually the contigent had to be confined in the base camp while the rest of FIB continued fighting... what an embarracement, the first ever UN peace enforcement and here was Tanzania enforcing sex
A group of 11 Tanzanian peacekeepers accused of sexual exploitation and abuse in the Democratic Republic of Congo (DRC) also face paternity claims from their alleged victims, the United Nations said this week.

Troops from the mission’s Force Intervention Brigade in the village of Mavivi in the eastern DRC have been confined to their base camp pending an investigation, Stéphane Dujarric, a spokesperson for UN secretary general Ban Ki-moon, said.

Unlike other international peacekeeping troops, the brigade has an unprecedented mandate to take military action to neutralise and disarm rebel groups to help end the DRC’s long-running conflict.

Dujarric said the 11 accused peacekeepers included four from the mission’s current deployment and seven from a previous contingent.


And BTW, Just because you participated in the first UN FIB fighting power hungry rebels doesn't mean that other countries have not done some peace-enforcement in foreign land fighting religious extremist in a holy war who use suicide vest, IEDs, exploding cars (VBIED) thinking if they die they will be rewarded 72 virgins by God.


the writter twisted the reason why in that story but nonetheless........ would you call that peacekeeping or enforcement???

www.frontpagemag.com/point/148272/kenyan-forces-outperforming-us-forces-war-against-daniel-greenfield
KENYAN FORCES OUTPERFORMING US FORCES IN WAR AGAINST ISLAMISTS
Kenya is claiming to have killed over 3,000 al-Shabaab fIslamist ighters in Somalia in one year while losing only 22 soldiers and one helicopter. Or rather the Somali Defense Minister is claiming that on behalf of the Kenyans.

If true, those are some pretty good numbers. The NATO ISAF forces in Afghanistan have erratic policies on enemy body counts so that no true number of Taliban killed is available. General McChrystal suspended body counts completely because they were no longer meant to be a metric of success. Petraeus on occasion brought them back.

In a departure from past practice, U.S. and Afghan commanders released data that showed they had killed 2,448 insurgents over the past eight months - a 55 percent increase from the same period last year.

As we can see from the Kenyan deployment in Somalia, those aren't really worth bragging about. During those same periods in Afghanistan, NATO/ISAF fatalities ranged somewhere in the 400-500 range. Trading the lives of highly trained and valued First World soldiers against desert fighters at a 1/5 ratio when the firepower on the US side is vastly superior is not a good exchange. Those aren't Tet Offensive numbers, but they're bad enough.

The Kenyan military isn't within spitting distance of the United States. The difference lies in the rules of engagement. In Somalia, Kenyan forces have casually bombed targets unmindful of civilian casualties. Meanwhile US forces are routinely denied air support and permission to engage enemy fighters.

Kenyan soldiers do not have to worry about being court martialed if they fire first. They don't have to worry about being told to retreat or hide because their lives are worth less than winning the hearts and minds of the locals.

The United States crushed the Taliban initially with the ruthless use of force. And then wasted that victory by trying to patrol and secure the country on the ground. The Surge was a waste of manpower because it sent soldiers with little protection to confront a disposable morass of enemy fighters. And the outcome was completely predictable.

The Taliban were driven out of power with a handful of casualties. As the Rules of Engagement tightened, US casualties increased and defeat became inevitable. Kenyan forces are able to do in Somalia what American forces are not longer allowed to do in Afghanistan.

But there is a final irony to the whole affair. The Prime Minister of Kenya, Raila Odingo, is a cousin of Barack Obama.
 
ki77.jpg
070CCE86-D7E7-4714-BFF1-24C145A637E4.jpg
119F56A8-A87F-45D0-A8CD-3D1A4113043A_cx0_cy9_cw0_mw1024_s_n_r1.jpg
 

Attachments

  • 070CCE86-D7E7-4714-BFF1-24C145A637E4.jpg
    070CCE86-D7E7-4714-BFF1-24C145A637E4.jpg
    59.8 KB · Views: 60
  • 119F56A8-A87F-45D0-A8CD-3D1A4113043A_cx0_cy9_cw0_mw1024_s_n_r1.jpg
    119F56A8-A87F-45D0-A8CD-3D1A4113043A_cx0_cy9_cw0_mw1024_s_n_r1.jpg
    39.8 KB · Views: 56
Mkuu ujue unanichekesha sana hao wanajeshi walitumia Utu tu na isitoshe kenya Jiran yao.Unataka kuniambia mtu ana Smg wafugaji wanamapanga ,mikuki wakawashinda?? acha Bwana usijidanganye tena jeshi la Uganda sasa hivi liko vizur kuliko unavyodhani wamenunua ndege za Sukhoi -30 kutoka Urusi zikovizur hakuna mfano Africa ni wao na Algeria tu ndiyo wanazo

Sent using Jamii Forums mobile app
Usithani hao ni masaai eti wabebe runga,hao wanamiliki hadi machine guns na tukija kwenye hilo swala la wanajeshi wa unganda waliuawa wanajeshi kumi na wawili hadi museveni akanza kulialia
 
Usithani hao ni masaai eti wabebe runga,hao wanamiliki hadi machine guns na tukija kwenye hilo swala la wanajeshi wa unganda waliuawa wanajeshi kumi na wawili hadi museveni akanza kulialia
Kwikwikwikwi
 
Maana ya spies itakosa maana kama nikiamini haya Maelezo yako.. Au hujui nchi inaweza kuwa na spy kwenye nchi nyingine hasa kujua nguvu halisi ya jeshi lake.? Hakuna nchi makini inayo onesha uhalisia wa nguvu zake
hahahaha....excuses...hamna nchi inayoweka nguvu zake za kijeshi kuwa siri...leta proof basi ndio nikuamini...yaani ulete proof kuwa serikali ya Tanzania inaficha nguvu zake za kivita toka kwa umma...nchi huwa zinajaribu kuonyesha kuwa ni kali kivita...sio kuficha....waone North Korea....kanchi kadogo tu ila inawakosesha Marekani, China na Russia usingizi...wanashinda wakitupa missiles kila uchao....jamaa nchi huwa hazifichi nguvu, instead huwa zina exaggerate nguvu zake za kijeshi ili kutisha magaidi na adui...
 
Back
Top Bottom