Kenya's Oil to go through Hoima Tanga Pipeline

It is business, our interests involved.
Who in this region is as business minded as Kenyans?
 
We will go for the costlier option, its economic multiplier effect will be much more immense in the long run than that other cheaper option.

But I asked u about the terms of the Maersk/Tullow + Kenya deal.
i know but I cannot disclose it here, to give u a hint, go to the ministry's website and see your model production agreement (mpsa) .this looks exacly like maerks agreement

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Unajua wewe unaongea kwa jazba na hasira mingi bila kuangalia facts
Ngoja nikupe facts za mambo haya ya Madini, Mafuta na Natural gas,

Mtiririko uko hivi
1: Exploration aidha ya Madini, Mafuta au Natural Gas inafanywa kwenye maeneo yenye possibilities na hizo posibilities zinapatikana kwanza kwa aerial geophyics (Gravity, Resistivity, Magnetic and ElectroMagenetics surveys)

2: ground followup ya Anaomalies zilizopatikana kutoka kwenye Airborne Survey, hapa ita involve Geophysics, Geochemistry, Geology, Hydrogeology, Geotechnical pamoja na Drilling

3: hii ndio stage ya muhimu sana hapa wanaangalia Quality na Quantity ambayo ndio inapelekea kupata Resource and Reserve (indicated, infered na confirmed), hapa ndipo tunapofanya MINING/exploitation OPTIMIZATIONS, na hapa ndipo inapendekezwa ni methodolgy ya aiana gani itumike kumine na pia aina gani ya processing itumike kuchakata product yako

Quality ni kuangalia impurities (by products) zilizomo kwenye product yako unayoitafuta aidha mafuta ama Gas ama minerals, ambayo itakupelekea kuchagua aina ya uchakataji utakaotumika ili kutenganisha hizo byproducts

Kwenye issue ya quantity nayo ni sensitive sana unaweza kuwa na mzigo ardhini lakini gharama za kuutoa chini, kuchakata na kusafirisha zikawa kubwa hivyo mzigo ukawa declared non profit resources

Nimetoa maelezo mengi japo mengine hayana maana sana kwa mtu hasiyejua kinachoendelea lakini nimeamua nifanye hivyo kwa faida yenu Wakenya msiyejua haya mambo ya Mafuta, NG, na minerals business

Issue ya Kenya iko hivi
Maersky na hao Tullow, walikuwa na Lisence za utafutaji wa Mafuta na kweli walifanya stage zote nilizozieleza hapo juu, na walipofika kwenye Quantity (reserve estimation) hesabu ikawa inagoma, gharama zilizotumika mpaka walipofikia, wakija kwenye stage za expoitations, transportation, Market, tax, Salaries, Security na other charges ikaonekana kuwa mzigo ulioko chini haulipi ni Hasara, (Kitu cha Kawaida sana kwenye haya mambo ya utafiti wa Mafuta, gas na madini), hapa labda niwaambie kabisa kuwa gharama kubwa ya haya Mafuta ukitoa stages za utafiti(Exploration) ni stage ya Transportation hii stage iko sensitive sana, sasa kitendo cha Maersky na Tullow kujenga Bomba kutoka huko Turkana mpaka Lamu wakajikuta wanacheza kwenye profit margin na hiyo huwa ni risk kubwa sana, yaani bei ya mafuta ikishuka kidogo tu unapiga bonge la hasara, kwao project ikawa sio viable

Sasa Total alipopata go-ahead ya kujenga bomba lake la kusafirisha Mafuta kutoka Uganda kupitia TZ, akawa approached na Maersky na Tullow kwa sababu wao walikuwa hawana jinsi zaidi ya kuuza hizo project zao, na walimfata Total kwa sababu wanajua yeye atakuwa na facility muda si mrefu na pamoja na hiyo reserve kuwa ndogo lakini itamlipa kwa sababu hatakuwa na haja ya kujenga miundo mbinu mipya
Total wakafanya study zao na kuona kweli huo mzigo utawalipa, hata kama sio faida kubwa lakini hawatakuwa wanacheza kwenye profit margin ONLY IF MAFUTA YAKISAFIRISHWA KUPITIA HOIMA

So total keshawanunua hao wakina Maersky na HAKUNA NJIA YOYOTE ATAKAYOFANYA KUSAFIRISHA HAYO MAFUTA ZAIDI YA KUJENGA BOMBA FUPI MPAKA HOIMA KISHA TANGA, kama ni kwenda Lamu basi Maersky na Tullow wangeshafanya, lakini HAILIPI

Next post ntakuja kukufahamisha lisencing zinakuwaje, Exploration, EIA, Minig/exploitation, closure plans, rehabilitation ect
 
Nothing illegal about those decisions, he is within his constitutional rights to make such decisions. But anybody who feels that such a decision is incorrect is at liberty to challenge the presidential executive order a la the US.

I dint say that the President has absolutely no powers to make give orders, however they are challengeable in parliament, in the courts of law and even in the streets thru picketing.

Now, the decision on how to manage our mineral resources requires the consultation of these groups.....

I forgot to mention the locals of the place where the minerals are located.

The decision of such potentially emotive issues cannot be decided unilaterally.
 
There's no Total in this article. Total already has a pipeline. Total cannot fund another pipeline take it from me. Total cannot use its shareholders money the way you want.

Sent using Jamii Forums mobile app
They have inherited everything, including the deal agreements. The only option for Total is to get into a renegotiation with Kenya govt.

But that Maersk/ Tullow deal still stands, regardless of the change of ownership and all.
 
international oil companies have the right to develop your oil. you gvt will only facilitate it. this is according to the agreement

Sent using Jamii Forums mobile app

I dont want to imagine that I am wasting my time engaging an underage, or even worse a buffoon online.

What do u mean that the oil companies have the right to develop our oil? How do they gain that right? Who grants it?

I am done with u. Quote me not again!
 
No one said those orders are illegal, but the point I was trying to make is that your wrong to say that Tanzania and Uganda presidents can just wake up in the morning and give orders that every men should start walking around bare footed. Those executive order are there as part of constitution, in all those countries KE TZ UG the president can make decision for the good of the country. And even in Tanzania there is mechanism to sue the decision made by president is unconstitutional. The only thing you can't do is sue the president personally for decision made by him as president.
 
They have inherited everything, including the deal agreements. The only option for Total is to get into a renegotiation with Kenya govt.

But that Maersk/ Tullow deal still stands, regardless of the change of ownership and all.
And Total decided to farm in the Kenyan fields because they can easily transport. the crude oil through tanga hoima pipeline and not for any other reason.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Usisahau South Sudan waliishiwa hela mpaka wameuza mafuta ambayo bado hayajachimbwa..
 


I shld u have told u that the issue u had raised was completely irrelevant, and had not in anyway negated my above explanation that the Kenya govt deals with the multinational companies such as Total can be overruled by parliament and the law court.

The law requires the govt to consult broadly with all these parties.

And yes, anybody can challenge those presidential directives if they feel that they are not in order.

But u cannot dispute that the president of Tanzania, Uganda, Rwanda have such enormous powers if u compare with the Kenyan president. The state bodies meant to check on their powers are impotent, so to speak.

Yes, Magufuli can order u all to walk around stark naked, only prevented by his sane state of mind.
 
I think you're loosing your mind, Magufulu can do what? With Magufuli being that bad, but it is Uhuru Kenyatta who sat in ICC dock, lying in from of the whole world that he has nothing to do with lost of 1500 pure innocent soles RIP.

Its you who wrote a false information I wanted to clarify. You have been writing irrelevant things and yet your being be for going of the rails. Go back to your post [HASHTAG]#104[/HASHTAG] were it all started. Tanzania is LDC country, Tanzania has all mineral and yet is poor, Magufuli is waiting money from ACACIA, how are all those things related to Kenyan oil or pipelines?

When it comes to presidential power even US president has more power than Kenyan president, at least US president can start nuclear war without political shenanigans. Thanks to Kenyan new conditions, Kenyatta can just sit back and let corruption run wild. If you asked him why, he points his finger to EACC as he has no power to fix anything.
 
Wakenya amna janja sasa Uganda na tz mtazilipa kupitisha mafuta yenu hiyo ni karata dume tumewachezea Noway out
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…